Recent content by Zimpombe

  1. Zimpombe

    Mijadala ya Tundu Lissu na porojo zake zinawapotezea muda baadhi watanzania kuwajibika

    Vibaka wa UVCCM, mtaacha lini kufikiri kwa kutumia makalio? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Zimpombe

    DC Kigamboni: Serikali ya Tanzania haina askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa Lissu

    Hawa wanazidi kujianika. Sasahivi hata watoto wadogo wanajua suspect ni nani Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Zimpombe

    Wanaohitaji bidhaa kutoka China kwa bei ya jumla.

    Naomba kueleweshwa, hii kwamba mzigo unapimwa kwa CBM ni nini hasa? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Zimpombe

    Msaada wa dawa nzuri ya minyoo

    Habari wanaJF Nimesumbuliwa sana na minyoo mwaka jana. Hadi kuja kugundua kuwa ni minyoo, ni baada ya kuwa napata kichefuchefu mara kwa mara baada ya kula au kabla ya kula, najikuna sana sehemu za ugoko za miguu yangu yote miwili, tumbo kunisumbua mara kwa mara samba na miungurumo ya sauti...
  5. Zimpombe

    Iran na Israeli zajibizana kuhusu Tel Aviv

    Na wakifute hiki ki-nchi uchwara cha Israel, hakika nitafurahi sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Zimpombe

    Mwakyembe acha siasa, waache wanasheria wachague rais wao wa TLS

    Maana unaweza kuwa msomi ila hujaelimika. Yaani mi ccm bana!
  7. Zimpombe

    Gitaa linauzwa kwa 100000 tu

    Mkuu kama upo serous njoo inbox basi
  8. Zimpombe

    Gitaa linauzwa kwa 100000 tu

    Wahi sasa, kwa Tsh 100000 tu. Kwa mawasiliano njoo inbox tupange
  9. Zimpombe

    Rais Magufuli, yatafakari upya mahusiano Yako na Mungu

    Mwandosya alishuku uwezo wake mapema sana. Leo hii tunashuhudia.
  10. Zimpombe

    Watu weusi tunatatizo gani? Kwanini sisi tu?

    "We are not obliged even the last to prove to anybody and to the black that we are superior people. We have demonstrated that to the Blacks in southands and one ways". Kauli hii sio tu kwamba inanitweza utu wangu kama mtu mweusi, bali inaongelea ukweli ambao ni mchungu kuumeza. Pieter Willem...
  11. Zimpombe

    Matumaini ya ajira mpya za ualimu 2016

    Ajira hana hadi 2019, rais alikuwa anatumbua majipu sasa anahamia kutumbua vitambi ambavyo vitachukua miaka mitatu, kwa hiyo mnaombwa mvumilie kidogo kwa miaka mitatu
  12. Zimpombe

    Nani anavunja amani?

    Nimesoma maneno ya waziri mkuu sehemu nyingi anazopita na kuchagiza kuwa mwanasiasa atakaye thubutu kuvunja amani hatavumiliwa hata kidogo. Wananchi kwa hiari yetu, kwa upendo wetu na kwa ajili ya kuilinda Tanzania, tuliamua kuwa na katiba yetu, ambayo ndiyo dira yetu katika maisha yetu ya hapa...
Back
Top Bottom