Recent content by Zilpah

  1. Zilpah

    Sipendi mwanamke mchafu kabisa

    😂😂😂 anajasho kali siyo??..
  2. Zilpah

    Je, ni sawa mwanaume kumwambia mwanaume mwenzie especially kwa msg kuwa i love you so much?

    Hapana si sawa. Its so awkward..!kuna ukakasi flani hivi
  3. Zilpah

    Tujuzane: Je, ni samaki gani mtamu kuliko wote?

    Kolekole pia mtamu sana hasa akikutana na tui la nazi
  4. Zilpah

    Kiporo kipi kitamu zaidi?

    Mother Confessor, Kipolo cha wali na kisamvu kilicholala
  5. Zilpah

    Baada ya Gwajima Kakobe jiandae

    Kunatofauti kubwa kati ya kumwombea na kumtumaini mtu. Sisi tunamwombea ili Mungu azidi kumlinda. Mungu ndiye tunaye mtumaini peke yake kwakuwa tunajua anayemtumaini mwanadamu amelaaniwa. Nyaya za umeme pale makao makuu zilizopitishwa kwa nguvu na Tanesco haziwaki mpaka hivi sasa tunavyoongea.
  6. Zilpah

    Baada ya Gwajima Kakobe jiandae

    Kazi yetu ni kuwaombea watumishi wa Mungu kwamba awalinde na yule mwovu asiwaweze, maana shetani hapendi kuona kazi ya Mungu ikiendelea. Kimsingi kila muumini anapaswa kumwombea Mchungaji wake anayemchunga kiroho, wengine wanaangushwa na dhambi kama hizo za uzinzi kwasababu waumini hawasimami...
  7. Zilpah

    Baada ya Gwajima Kakobe jiandae

    Ndiyo, najiombea kadiri ninavyopata neema.
  8. Zilpah

    Baada ya Gwajima Kakobe jiandae

    Narudia tena kusema kwamba kama unaongelea Askofu Zakary Kakobe kukutwa na anguko kama hilo(kuzini) mtasubiri sana. Si kwamba yeye ni malaika lakini kwa maombi tunayomwombea usiku na mchana haitokaa itokee. Nakuhakikishia.
  9. Zilpah

    Baada ya Gwajima Kakobe jiandae

    Hata kabla Askofu hajaenda ikulu tumekuwa tukimwombea. Inaonyesha hujapenda jinsi alivyoenda ikulu.
  10. Zilpah

    Baada ya Gwajima Kakobe jiandae

    Ninakuhakikishia kwa Zachary Kakobe utasubiri sana tunamuombea Baba yetu huyu wa kiroho usiku na mchana.
  11. Zilpah

    Vigezo muhimu vya kununua Laptop or PC(Personal Computer)

    Habari zenu wana jf. Napenda kujua ni vigezo gani muhimu natakiwa nivizingatie katika uchaguzi wa laptop? Natanguliza shukrani.
  12. Zilpah

    Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

    Swali zuri sana. Tunapochambua Biblia tunasoma na kufahamu ni nini mapenzi ya Mungu. Pia tunafahamu namna shetani anavyodanganya ulimwengu ili siku ya mwisho asitupwe pekeyake motoni. Na pia tunafahamu jinsi ya kumshinda shetani ili tuweze kumwona Mungu mbinguni.
  13. Zilpah

    Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

    Mojawapo ni hili Kuiabudu sanamu na kuiomba wakati haisikii, haioni, haipumui, haitembei. Mnazitengeneza wenyewe halafu mnaziabudu. Eti hata wasomi, maprofesa pamoja na elimu zao, hata wengine ni maraisi, hawaoni kuwa siyo sawa kumfananisha Mungu aliye mkuu sana kumfananisha na sanamu...
Back
Top Bottom