Baada ya Gwajima Kakobe jiandae

Baada ya Gwajima Kakobe jiandae

Hata kabla Askofu hajaenda ikulu tumekuwa tukimwombea. Inaonyesha hujapenda jinsi alivyoenda ikulu.
Tunakupa mambo ya jikoni sasa wewe subiri uone atakavyodhalilishwa , hakuna siri
 
Tunakupa mambo ya jikoni sasa wewe subiri uone atakavyodhalilishwa , hakuna siri
Narudia tena kusema kwamba kama unaongelea Askofu Zakary Kakobe kukutwa na anguko kama hilo(kuzini) mtasubiri sana. Si kwamba yeye ni malaika lakini kwa maombi tunayomwombea usiku na mchana haitokaa itokee. Nakuhakikishia.
 
Hivyo kazi yenu kuwaombea wasaliti na Wanafiki??
Kazi yetu ni kuwaombea watumishi wa Mungu kwamba awalinde na yule mwovu asiwaweze, maana shetani hapendi kuona kazi ya Mungu ikiendelea. Kimsingi kila muumini anapaswa kumwombea Mchungaji wake anayemchunga kiroho, wengine wanaangushwa na dhambi kama hizo za uzinzi kwasababu waumini hawasimami katika zamu zao kuwaombea kwa uchungu na bidii.
 
Ulimuombea alipozuia umeme na kuapa kuwa hautawaka, na ukapita na kuwaka pia. Acha kuwatumainia bindamu, mtumainie Mungu
Kunatofauti kubwa kati ya kumwombea na kumtumaini mtu. Sisi tunamwombea ili Mungu azidi kumlinda. Mungu ndiye tunaye mtumaini peke yake kwakuwa tunajua anayemtumaini mwanadamu amelaaniwa.
Nyaya za umeme pale makao makuu zilizopitishwa kwa nguvu na Tanesco haziwaki mpaka hivi sasa tunavyoongea.
 
Umalaya wa huyu Mchungaji hauhusiani na siasa. Mtakuja na kila njia ya kumtetea lakini ukweli uko wazi kabisa.
 
Umalaya wa huyu Mchungaji hauhusiani na siasa. Mtakuja na kila njia ya kumtetea lakini ukweli uko wazi kabisa.
Majebere karibu tena JF , naona ccm mpya imewatimua Lumumba mnakosa hata hela za bando .
 
Back
Top Bottom