Recent content by Zillion

  1. Zillion

    Wachaga nini siri ya mafanikio yenu?

    Mkuu, Wakoloni waliwekeza Moshi kuliko Bukoba? wakoloni waliwekeza Iringa, Bukoba, Arusha, Njombe nk Tofauti na mikoa mingine mandeleo unayoyaona Kilimanjaro yameletwa na wazawa wanajenga shule wenyewe hospitali, barabara na wanahakikisha watoto wanakula shuleni (kitu ambacho kimeshindikana...
  2. Zillion

    Biashara ya kusafirisha petroleum Tanzania

    Mkuu hongera uko vizuri sana Huu uzi ninaufanyia kazi kwa muda sasa,ninatafiti kipengele kimoja baada ya kingine japo gharama zinapanda kwasababu ya upatikanaji wa Dola bado ni biashara nzuri sana na nitawekeza nikimaliza utafiti wangu.
  3. Zillion

    Nashauri kuwepo na somo maalumu la uzalendo kwa nchi yetu

    Hii nchi haihitaji uzalendo inahitaji MAPINDUZI
  4. Zillion

    MwanaCHADEMA mwenye nia ya kugombea ubunge 2025 kwenye majimbo yafuatayo ni vyema akaachana na huo mpango. Tayari yana wenyewe

    Kwanini kwenye kulipa kodi TRA wasikusanye kwa wana CCM pekee? Acheni upuuzi hii nchi sio ya CCM Hii nchi ni mali ya Watanzania Ni lini Watanzania tuliwamilikisha CCM nchi yetu? Huu ujinga mnaoendelea nao nyie "machawa" bado kidogo tutawafundisha maana ya siasa.
  5. Zillion

    Biashara ikianza kuwa ngumu unaanza kujikosoa, "hivi ni mimi niliesema ajira ya kupokea mshahara kila mwezi na posho za kila wiki ni utumwa ?"

    Shida yetu kubwa sisi watanzania hatuna elimu ya biashara Uzi huu ni ushahidi tosha kuthibitisha hilo. Ukitaka kuwa mfanyabiashara ni LAZIMA ujiulize haya maswali na upate majibu 1. Kwanini nataka kufanya biashara? 2. Nina ujuzi wa kutosha wa biashara ninayotaka kufanya? 3. Nina muda wa...
  6. Zillion

    JF True Life Stories: Unaikubali ipi kati ya hizi?

    Maashallah kipenzi, unaniweza! Ukisikia wife madesa ndio wewe sasa
  7. Zillion

    JF True Life Stories: Unaikubali ipi kati ya hizi?

    Yani ni kimya kimya mwendo wa Magwea wife Ila sasa najiuliza tutaanza na story au storii[emoji39]
  8. Zillion

    JF True Life Stories: Unaikubali ipi kati ya hizi?

    Halafu vijana wanaimba humu "Kataa ndoa" Wangejua ninavyofaidi..
  9. Zillion

    JF True Life Stories: Unaikubali ipi kati ya hizi?

    Huu uzi ungependeza zaidi kama mngeweka link ya kila story Natanguliza shukrani.
  10. Zillion

    Makonda ana tabia zote za Hayati Magufuli

    Ni kweli wanafanana mambo mengi Wote ni wauwaji, Wote elimu zao ni za kufoji (mmoja PhD, mwingine cheti cha kidato cha nne.) Wote wana ushamba na ulimbukeni wa madaraka Wote hawana uwezo kujibu hoja ni watu wa vihoja Wote ni watu wabinafsi na wakabila Wote hawajui chochote kuhusu uchumi...
  11. Zillion

    Nina mpango wa kukopa benki milioni 17, biashara gani inanifaa?

    1. Biashara ni Passion mkuu, Kama kweli unapenda kufanya biashara acha kazi fanya biashara. 2. Biashara lazima itoke ndani mwako (idea yako) Ulichopaswa kuleta hapa ni wazo lako la biashara ili uombe ushauri kwa wazoefu wanaoifanya wa namna ya kuifanya, mambo muhimu ya kuzingatia, changamoto...
  12. Zillion

    Mumeo akiku-cheat na wewe m-cheat

    Kama ishu ni usawa wale wenye wake wanne Wake zao nao waanze kutafuta wanaume Kila mmoja awe na wanaume wanne?!
  13. Zillion

    Mumeo akiku-cheat na wewe m-cheat

    Ndipo ninapokupendea hapo mke mtarajiwa. Kwa ufupi mtoa mada anasema mwenza wako akitafuta UKIMWI nawewe utafute uupate ili muwe sawa.
Back
Top Bottom