Mkuu,
Wakoloni waliwekeza Moshi kuliko Bukoba? wakoloni waliwekeza Iringa, Bukoba, Arusha, Njombe nk
Tofauti na mikoa mingine mandeleo unayoyaona Kilimanjaro yameletwa na wazawa wanajenga shule wenyewe hospitali, barabara na wanahakikisha watoto wanakula shuleni (kitu ambacho kimeshindikana...
Mkuu hongera uko vizuri sana
Huu uzi ninaufanyia kazi kwa muda sasa,ninatafiti kipengele kimoja baada ya kingine japo gharama zinapanda kwasababu ya upatikanaji wa Dola bado ni biashara nzuri sana na nitawekeza nikimaliza utafiti wangu.
Kwanini kwenye kulipa kodi TRA wasikusanye kwa wana CCM pekee?
Acheni upuuzi hii nchi sio ya CCM
Hii nchi ni mali ya Watanzania
Ni lini Watanzania tuliwamilikisha CCM nchi yetu?
Huu ujinga mnaoendelea nao nyie "machawa" bado kidogo tutawafundisha maana ya siasa.
Shida yetu kubwa sisi watanzania hatuna elimu ya biashara
Uzi huu ni ushahidi tosha kuthibitisha hilo.
Ukitaka kuwa mfanyabiashara ni LAZIMA ujiulize haya maswali na upate majibu
1. Kwanini nataka kufanya biashara?
2. Nina ujuzi wa kutosha wa biashara ninayotaka kufanya?
3. Nina muda wa...
Ni kweli wanafanana mambo mengi
Wote ni wauwaji,
Wote elimu zao ni za kufoji (mmoja PhD, mwingine cheti cha kidato cha nne.)
Wote wana ushamba na ulimbukeni wa madaraka
Wote hawana uwezo kujibu hoja ni watu wa vihoja
Wote ni watu wabinafsi na wakabila
Wote hawajui chochote kuhusu uchumi...
1. Biashara ni Passion mkuu,
Kama kweli unapenda kufanya biashara acha kazi fanya biashara.
2. Biashara lazima itoke ndani mwako (idea yako)
Ulichopaswa kuleta hapa ni wazo lako la biashara ili uombe ushauri kwa wazoefu wanaoifanya wa namna ya kuifanya, mambo muhimu ya kuzingatia, changamoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.