Kisheria, mtu au taasisi yoyote iliyoathiriwa na jambo fulani wana haki ya kushtaki na kulalamika.
CHADEMA ni mwathirika wa jambo walilofanya Yanga wana haki ya kulalamika kwa mamlaka husika.
Hii sio kuingilia mpira ni kutafuta haki na kusimamia sheria zilizowekwa.
Kama CHADEMA wangetoa...
Kwanini Hao viongozi wakichaguliwa kwenye nyadhfa za kisiasa wanaapa kwa kutumia Biblia na Quran
Wao hawachanganyi siasa na dini?
Kwanini Bungeni kuna wachungaji na masheikh hao hawachanganyi dini na siasa?
Kwanini kwenye mikutano yao mikubwa wanawaita viongozi wa dini kuwaombea hapo...
Kati ya wazungu na Waarabu waliowafanya watumwa na kuwatoboa miguu kwa minyororo, Kuwaua na kuwafanya watumwa na Leo mmewapa Bandari, mbuga za wanyama, viwanja vya ndege kwa mikono yenu.
Nani aliwatesa zaidi watu weusi?!
Mkuu,
Kwanza nikupongeze kwa kuuliza swali sahihi
Kwakuwa tayari unajua unachokitaka.
Wengi wanaokuja humu huwa wanauliza wafanye biashara gani
( Swali gumu sana)
Kwanza kama uko mkoani nakushauri upange safari ufike Dar (kariakoo)
Ni vyema ukafanya utafiti ukiwa sokoni.
Mikoa ya...
Mimi niko kinyume na wewe
Ninaamini jinsi mtu alivyo anavutia watu wa aina yake kuja kwake na kushirikiana naye.
Ndio maana mtu anayekunywa pombe hapendi kukaa na anayekunywa soda, mtu anayependa majungu na ujinga huamini kila anyemzunguka yuko hivyo. Hata mtu akicheka huhisi anachekwa yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.