Recent content by Zikomo Songea

  1. Zikomo Songea

    Nimekereka Sana Leo

    So sina nyumba..., so kuna zenye room mbili.., so kuna huyo dada kaolewa... Yaani nimechoka na hizo so, so kabla sijamaliza hata kusoma. Ila, samahani, mimi nahisi wewe ndio chanzo cha tatizo kama siyo tatizo lenyewe. Msema kweli mpenzi was Mungu.
  2. Zikomo Songea

    Hili lipoje? Msaada wa mawazo

    Kwani shilingi inazama wakati meli inaelea? Kwa nini kisu kikali kinakata na kisu butu hakikati? MImi si mtaalam lakini majibu ya maswali haya yananianbia kuwa inawezakana wewe ni mwembamba kupitia kiasi. Kwa hiyo ukilala unatengeneza mgandamizo mkubwa kwenye godoro kuliko mtu mwenye ujazo...
  3. Zikomo Songea

    Kwa muonekano wa nje, Ikulu ya Dar es Salaam ni nzuri kuliko Ikulu ya Dodoma

    Ni kweli Ikulu ya Dodoma haivutii sana Kama ile ya Dar es Salaam. Hata hivyo, napenda kukusahihisha kidogo kuhusu ikulu ya Afrika ya Kusini. Ni hivi, majengo yanayotumika kama ikulu ya South Africa yanaitwa Union Buildings yaani Majengo ya Muungano. Na Muungano wenyewe ulifanyika mwakabe1910...
  4. Zikomo Songea

    Wataalamu, ina maana gani kupandisha mapato ya mwajiriwa kutoka 170,000/= mpaka 270,000/=?

    Basic ya 750? Kima cha chini mpaka Sasa ni sh. 170,000/- kwa mwezi. Sasa wewe unamaana gani na hiyo 750 yako? Unamaana ya 750,000/- au kitu kingine? Unaweza ukapata jibu lisilo sahihi kutokana na ulichokiandika.
  5. Zikomo Songea

    Wataalamu, ina maana gani kupandisha mapato ya mwajiriwa kutoka 170,000/= mpaka 270,000/=?

    Kwa ufupi kabisa ni kwamba serikali inapendekeza kuongeza kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wake kutoka sh. 2,040,000 kwa mwaka (sawa na sh. 170,000/- kwa mwezi) hadi kufikia sh. 3,240,000/- kwa mwaka (yaani sh. 270,000/- kwa mwezi) kuanzia Julai 2020. Hapo utaona kuwa kima cha chini cha...
  6. Zikomo Songea

    Anataka kulipa fadhila kwa wema ninaomuonesha mwanaye

    Hongera mkuu kwa miyo wa utu. Huyo msaidie kuondoa guilty kwa kumwonyesha kuwa kuna jambo unakwama na yeye ndiye anayeweza kukusaidia. Kisha mwombe msaada wa jambo la kawaida tu ambalo liko ndani ya uwezo wake. Mfano, unaweza ukamwambia kuwa unatamani sana kula ugali na mrenda au dagaa au...
  7. Zikomo Songea

    Mdogo angu kadanganywa mimba yake

    Msije mkamdanganya kuwa mtoto ni wake. Mtoto anayezaliwa na miezi saba atakuwa hajakomaa (premature au njiti). Kwa maelezo yako ni kwamba mtoto amezaliwa na afya njema. Hii ni kusema mimba ilitungwa kabla ya mwezi Desemba 2018 (kwa vyovyote vile ni mwezi Novemba au hata kabla). Huyo shemeji yenu...
  8. Zikomo Songea

    Wajue wanawake ambao usipotumia Condom inakula kwako

    Amevaa mapete kibao kila kila kidole ... Kwenye sikio moja ana matundu zaidi ya mitatu ya kuvalia heleni ...
  9. Zikomo Songea

    Utata Utekelezwaji wa Agizo la Ndugai Kumhusu Masele

    I agree with you. Strong institutions are all what we need.
  10. Zikomo Songea

    Wakuu nilikuwa nauliza je ni kweli kuna wanaume vibamia?

    Kukataa kuwa hamna maumbile madogo ya kiume (silipendi neno "vibamia") ni kunitia upofu. Ni sawa na kusema hakuna watu marefu/wafupi, wanene/wembamba, weusi/weupe, wanaume/wanawake. Hivyo vitu vipo na kwa kiasi kikubwa ni function of genetics. Ni kama tu unavyowaona wanaweke. Wapi wenyewe...
  11. Zikomo Songea

    Insha Maridadi 4: Mtaani Kwetu Wazazi Walifanya "Birthdays" za Watoto Marehemu... na siyo ya aliye hai...

    Mkuu Mwanakiji, nimebaini kuwa kila mmoja kati ya wale wazazi anampenda zaidi mtoto wake marehemu aliyemzaa nje ya ndoa na mwanamke/mwanaume mwingine alipokuwa kijana. Japokuwa si rahisi kwa mtu kumsahau mtoto wake aliyefariki, ni ajabu kidogo kufanya hizo kumbukumbu on the expense of the living...
  12. Zikomo Songea

    CAG sio Muongo kwa vigezo hivi

    CAG yuko vizuri. Kama madai ya hao wengine ni ya kweli basi mifumo na taasisi nyingi za serikali zina udhaifu mkubwa.
  13. Zikomo Songea

    Wapi Sugu?

    Itakapompendeza Mungu na Rais wa JMT nikateuliwa kuwa mkuu wa mkoa au hata wa wilaya, nitapiga marufuku watu kuvaa sare za chama katika matukio muhimu ya kitaifa kama Haya. Naamini kuwa hii itasaidia kuleta umoja na mshikamano wa kitaifa bila kujali itikadi za kisiasa na kulinda hadhi ya Rais...
  14. Zikomo Songea

    Serikali: ATCL kupata ndege nyingine mbili mwishoni mwa mwaka huu ili kuongeza ufanisi

    Yaani mbunge anadai kuwa usafiri wa ndege utasaidia kushusha gharama za usafiri? Usafiri gani anaouzungumzia? Labda angesema usafiri wa ndege utaokoa muda kwa watakaoweza kuutumia.
Back
Top Bottom