Kuingia uwanjani kwa mashabiki na kumfuata mchezaji mkubwa ni kawaida sana duniani kote .. Ndio maana unaona Rooney hakushituka ....
Sent from my Cynus_F9_4G using JamiiForums mobile app
Kwani tulikua hatuhakikishi kinachotoka kupitia ile body ya TMAA sijui inaitwaje ..ile ilivunjwa Siku ile ya live kutoka ikulu
Sent from my Cynus_F9_4G using JamiiForums mobile app
Jaman hawa accacia si hawajasajiliwa na hawana vibali vya kufanya kazi nchini!?? Wameanza pata kibali lini!?
Sent from my Cynus_F9_4G using JamiiForums mobile app
BIASHARA ya natural resources(madini&Mafuta) ni Miongoni Mwa BIASHARA zinazohitaji mtaji mkumbwa(sijasema hatuwezi kuzifanya) .Kwakawaida zinaendeshwa na kampuni kubwa kubwa aka big fish. Tukumbuke katika eneo LA mgodi kuna sehemu za high grade na low grade. Na kila kampuny INA strategy zake...
Mbona ameshajibu hili!???
herrera ni mzuri at the middle ambapo kwa sasa hakuna shida hapo...anahitaji mtu anayeweza kusimama as sec strike akimsaidia wyne.... mtu ambae anaweza kuswitch pembeme coz mempy hua anatokea pembeni kuingia ndani...je nani mwingine anaweza fit ka sio adinani!!??
Mchezaji gani ameshindikana kufika!???
pedro ni mzuri lakin hakutakiwa united...united inahtaji strika mkali sa pedro unamuweka ktk kundi hilo!???
uwezo wa kupush team mbele wa pedro haufikii hata wa Young.
Mtu ameshndwa kucheza hspain ataweza epl!??
achen ushabiki...na mashabik wa united tusiwe...
Nashindwa kutomuamin prof....nashindwa kuto tafakar mara mbili mawazo ya dr..hapa kunakitu kwa mbaali namkumbuka ZITTO kwa mbaali napata mashaka juu ya mbowe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.