Hawatufundishi katiba inavyopswa kuwa bali wanatukumbusha tulioyataka wakati wa warioba
Katiba ya wananchi tayari ipo wanachofanya ni kutukumbusha tu ili isibadilishwe
Uchaguzi wa 2025 bila rushwa hupiti na sisi wapiga kura tumeisha wasoma sio laki moja ni hela ya miaka mitano tunamalizana kabisaaaa maana tunajua ukipita utapata zingine kwa kuwa sisi hatuna uwezo wa kuwazuia msichote
Usemayo ni kweli lkn ili warudi na wasamehewe ni lazima kwanza wajiuzulu ubunge itawezekana?maana ili uende mbinguni ni lazima ufe nani yu tayari kufa ili aende mbinguni au ni rahisi kuacha mishahara, posho na kiinua mgongo ili arudi chadema?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.