Recent content by zhang laoshi

  1. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Me natafuta hii nyimbo ya zilipendwa nakumbuka baadhi ya mashairi..... nakutafuta Dar es salaam nzima sikuoni wapi wewe ulipo....kosa gani nililofanya kwako..... sheri wangu mama nakuomba unihurumieee....
  2. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    Hii nyimbo natafuta naomba mnisaidie inaimbwa.... nakutafuta Dar es salaam nzima sikuoni wapi wewe ulipo....kosa gani nililofanya kwako.... Sheri wangu mama nakuomba unihurumie.....
  3. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania ZILIPENDWA TANZANIA - quality bomba, remastered by Natty Bongoman

    Natafuta nyimbo ya vijana jazz penzi haligawanyiki part 1-3 ambayo ina sikika vzr
  4. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Unasema unapenda Hip-Hop na huujui wimbo wa Dead Presidents ll wa Jay Z. Wewe ni wack nigga

    J NI hatari, me nakukubal never change
  5. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Ukanda pwani kuoa na kuacha ni kama kumsukuma mlevi. Yaani mwanamke anaachika nakuolewa hata mara tano, kwao kawaida sana

    Ndo mana hata idadi ya watu wenye magonjwa ya moyo NI wachache sn sababu hawajipi stress za kipumbavu....gusa ...hagusiki... achia...
  6. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Apata mimba ghafla akiwa madhabahuni kwa Mwamposa

    Hii nchi ina ujinga sn , Yani tangia asubuh Hadi jion NI mpira, mpira, mpira na mahubiri ya ajabu kuwapa watu ujinga na kuwapiga pesa zai, watawala wanalijua Hili so wanaenjoy jinsi tunapofocus kwenye ujinga badala ya mambo yenye tija......unatengenezewa umasikini ili uamini kwenye miujiza na...
  7. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania ATTENTION kwa wanawake ndio SEX kama ilivyo kwa wanaume

    Tuna mambo mengi ya kufanya hataki akwende
  8. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Punguza presha ya kununua gari jipya, Unaweza kununua gari mtaani, ukalifanyia matengenezo ya kiwango cha juu na ulitumie kama jipya kwa bei ya chini

    Magari mengi now NI ya biashara, wewe nunua diffender, nissan patrol y60, land cruiser, rav 4 old, Suzuki escudo....hutolalamika kamwe
  9. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Marekani yamaliza 65% ya makombora kwenye vita ya Iran

    Hiv bado mnafikiri hii vita Iran atatoboa? Kinachowafanya wanakaza NI imani Tu ya kidini ambayo wanayo,....na ndo inayoimaliza Iran,
  10. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wadau natafuta Yale mashairi yaliyokuwa yanaimbwa radio Tanzania kipindi hicho, nitayapata wapi
  11. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wadau natafuta Yale mashairi yaliyokuwa yanaimbwa radio Tanzania kipindi hicho, nitayapata wapi
  12. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

    Natafuta Yale mashairi ya zamani yaliyokuwa unaumwa radio Tanzania
  13. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Kuna nyimbo ya zilipendwa inaimbwa Nakutafuta dar es salaam nzima sikuoni...sherry wangu mama nakuomba unihurumie... Kosa gani nililotenda kwako....
  14. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Kilele cha Trump-Putin nchini Alaska kinafanana na kushindwa kwa taratibu kwa Ukraine

    Nimejitahidi kusoma, napoteza....
  15. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Kikwete aliongoza kikao hiki kama nani?

    Me nitakuwa wa mwisho kumuamini slow slow, why.... Japokuwa remote wanazo wao, ila bado wanataka kuwa TV, maana kuwa TV ni opportunity kubwa katika upigaji na kijilimbikizia Mali. Remote wameshtuka TV haiuziki tena, wanatengeneza propaganda ili waivunje na wanamtumia slow slow, ili pia kupoteza...
Back
Top Bottom