Me nitakuwa wa mwisho kumuamini slow slow, why.... Japokuwa remote wanazo wao, ila bado wanataka kuwa TV, maana kuwa TV ni opportunity kubwa katika upigaji na kijilimbikizia Mali.
Remote wameshtuka TV haiuziki tena, wanatengeneza propaganda ili waivunje na wanamtumia slow slow, ili pia kupoteza...