Recent content by zhang laoshi

  1. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wadau natafuta Yale mashairi yaliyokuwa yanaimbwa radio Tanzania kipindi hicho, nitayapata wapi
  2. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wadau natafuta Yale mashairi yaliyokuwa yanaimbwa radio Tanzania kipindi hicho, nitayapata wapi
  3. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

    Natafuta Yale mashairi ya zamani yaliyokuwa unaumwa radio Tanzania
  4. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Kuna nyimbo ya zilipendwa inaimbwa Nakutafuta dar es salaam nzima sikuoni...sherry wangu mama nakuomba unihurumie... Kosa gani nililotenda kwako....
  5. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Kilele cha Trump-Putin nchini Alaska kinafanana na kushindwa kwa taratibu kwa Ukraine

    Nimejitahidi kusoma, napoteza....
  6. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Kikwete aliongoza kikao hiki kama nani?

    Me nitakuwa wa mwisho kumuamini slow slow, why.... Japokuwa remote wanazo wao, ila bado wanataka kuwa TV, maana kuwa TV ni opportunity kubwa katika upigaji na kijilimbikizia Mali. Remote wameshtuka TV haiuziki tena, wanatengeneza propaganda ili waivunje na wanamtumia slow slow, ili pia kupoteza...
  7. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Kuna kila dalili Marekani itajiunga na vita ya Iran-Israel. Rais Trump akatisha ziara ya G7

    Ilikuwa inasubiriwa hii point, kikao kinasema Iran ndo tishio... Iran haitaki kukaa mezani.... Iran haitaki kufuta kauli ya kuifuta Israel katika uso wa dunia...,swala la Iran kupigwa haikwepeki at this point..., hatoweza utawala wa iran utaenda kuangushwa na kuwekwa vibaraka wa kutoa rasilimali...
  8. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa intelejensia wa Iran na naibu wake wauawa baada ya Israel kulipua chumba chao cha siri katika jengo la wizara ya intelejensia

    Na walitaka kumuua Ayatollah, wakamwarifu Trump, ila alikataa wasimuue, so akachwa
  9. zhang laoshi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni Jumamosi nyingine, siku nyingine wanaume wapumbavu kwa gharama wanaoa wanawake waliotumika

    Ww jamaa ww dah umenifikirisha sn, tumepigiwa na tunaendelea kupigiwa....
  10. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Je ni kweli muislam akitangulia kunyanyua kichwa kabla ya Imam wakati wa swala anageuka punda kama Sahih Bukhari inavyosema? Nani amewahi geuka punda?

    Waislam wengi hawajui vzr kitabu chao, kuna mambo ya ajabu sn pindi ukianza kujiuliza maswali, lakin hiki kikazi kina maswali mengi, pindi Shekh akiulizwa swali hili mbele ya waumini na akijibu kiwepesi wepesi wengi watapoteza interest, sababu watategemea kuona Punda wengi mtaani sababu ni wengi...
  11. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Silaha mpya ya kutisha inayobadilisha vita nchini Ukraine

    Urusi ana silaha ambazo huwez hata kuziwazia, wengi hawamjui Russia vizuri, tena walimkosa kumuua Putin.. Majemedari wa jeshi wamemwambia onyesha ww ni nani, na hakuna wa kupiga Moscow now, hakuna Mrusi amechukia na yupo serious this time... West wana mabomu ya kufika Moscow, wajaribu waone
  12. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

    Wanampoteza mwenyekiti, wanamshauri vibaya ili kuharibu public image yake kwa wananchi, ili soon achukue kiti chake....
  13. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Mtambo wa mfumo wa ulinzi wa anga wa thaad watua israel tayari kwa kazi maalum!!

    Iran vs US, Israel, patachafuka sn, wasimchukulie poa Iran, nafikiri ndo itakuwa vita ngumu katika ulimwengu huu wa teknolojia,
  14. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Marekani kuishambulia Iran ndo utakua mwisho wa taifa hilo!!

    Link ya YouTube mkuu
  15. zhang laoshi

    JamiiForums Tanzania Trump ameshare video ya shambulio la mlipuko kutoka kwa jeshi lake dhidi Wahouthis waliokuwa katika mkusanyiko huko Yemen

    Well said Mkuu, wakiiga hilo tu watakuwa salama, shida yao kubwa kuchanganya dini na siasa, Trump na Marekani wamewaweka kwenye vitabu vyao jibu likaja ni KAFIRI apigwe na lazima apigwe na atashindwa, na atakayemuua au tukifa vitani tunaenda FRIDAUS Sasa katika wanamgambo wao wengi washatenda...
Back
Top Bottom