Achan na na mambo ya pind bro tuongelee vitu practical ushawahi download anything ikaandika hyo speed ya hata 30mbps starlink last yeae wame achieve 100mbps UK!
Acha bas bro star link wanatumia sattelite na bael speed yao iko faster comlare to hyo 4g yako unayl ongelewa kama ulifundishwa darasan haimaanishi dunia itaabk kama ilivyo andikwa kaanagalia mfano neurolink project zake zipoje utakuja gundua ukimwambia mtu atabisha kulinga na alivyo kalilishwa
Unaengelea miaka gan hyo mkuu?! Ujue zama zmebadilika hata dhaman watu walikua wana jistili tuu sehemu za siri then wana ingia mtaani fanya hvo sahv uone kama hautaonekana kichaa the inshu zama zilipita na hyo practice ilionekama siyo poa sasa sis tunataka kurud hukooo😂😂😂
Sasa kwa nn msiulize kujua hzo taarifa zinabukwel gan kama zinaskikika siyo kusubiria tena wakutumie ujumbe watu wana mambo meng na hii corona wanajua kuba waelewa washa elewa japo hawajui kama kuna ngombe tz bado hazijui dunia iko katika hali gan
Nop but unaza kuambukiza ambae hana chanja yani alie chanjwa anaeza trmbea na hao virus corona ila wasimletee yeye ogonjwa but akaweza kusambaza hao virus kwa wengne
And mtu inabd ajifukize mara ngap kila baada ya mda gan ile iwe effective maana unaeza kuta inabd kila siku sasa ni wangap wataweza ku affird 5k kila siku kisa kujfukiza plus naul za kumfikisha huko
Duh huyu bwana mbona sasa hatoi zawad kwa wanao msema vzyr huko mitandaoni?! Teye amekua nan kila mtu am support kwa kila maamuz yake yesu mwenyewe alikuatana na changamoto
Mara corona haija athiri uchumi mara watalii wanaongezeka mara hatuna corona sasa na hii imetokea wap kama hatuna corona wala madhara yake mbona kama wana nichanganya
Acha zako za ebora zilitumia mika mingap kutengenezwa je haizikufanyabkaz je watu hawakutumia!? Siyo kila dawa itatumia mda mrefu kutengenezwa! And angalia by the time of technology huwez fananaisha kioind cha hzo polio na sasa hv so cool down hao wameongelea variant za soith africa wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.