Kuendelea kushuka kwa Utalii: Serikali yaombwa kuangalia upya tozo zilizowekwa kwenye Hifadhi

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,498
9,279
Wakati Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo akiomba Serikali ipunguze tozo za kuingia katiba hifadhi ya wanyama ya Serengeti, Spika wa Bunge Job Ndugai naye amesisitiza ombi hilo akiitaka Wizara ya Maliasili na Utalii kuangalia viwango vyao kwani grafu ya utalii inashuka.

Hata hivyo, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Damas Ndumbaro amesema viwango hivyo haviwezi kushuka kwa kuwa hifadhi ya Serikali ni bora zaidi duniani alipokuwa akijibu swali la Gambo leo Jumatatu Februari 8,2021 bungeni jijini Dodoma.

Dk Ndumbaro alisema tozo ya sasa katika hifadhi ya Ngorongoro ni dolla 60 ambazo ni ndogo ukilinganisha na ubora na viwango vya vivutio ndani ya hifadhi hiyo.

Katika swali la nyongeza Gambo amehoji ni kwa nini Serikali isione umuhimu wa kupunguza tozo hiyo ili kuwavutia watalii.

Gambo alitolea mfano wa Kenya na Rwanda kwamba wamepunguza tozo kwa ajili ya kuwavutia watalii ambao wamepungua kwa kiwango kikubwa kutokana na tishio la ugonjwa wa Uviko.

"Ni kweli kuwa ugonjwa wa korona umepunguza idadi ya watalii kuingia nchini ni kwa nini msilione hilo kama walivyofanya mataifa mengine jirani," amehoji Gambo.
 
Gambo , zungumzia pia miundombinu mibovu ya barabara ndani ya hifadhi za Taiga, mfano Kule ngorongoro na serengeti barabara ni mbovu , senyewe nazo zimekua utalii kwa wageni. Ukumbuke pia ulijulisha ubovu wa barabara hapa ngorongoro ukiwa mkuu wa mkoa wa Arusha, ukakasirika na kuwekwa watu lockup. Watalii wanahitaji barabara nzuri kuwavutia
 
Gambo , zungumzia pia miundombinu mibovu ya barabara ndani ya hifadhi za Taiga, mfano Kule ngorongoro na serengeti barabara ni mbovu , senyewe nazo zimekua utalii kwa wageni. Ukumbuke pia ulijulisha ubovu wa barabara hapa ngorongoro ukiwa mkuu wa mkoa wa Arusha, ukakasirika na kuwekwa watu lockup. Watalii wanahitaji barabara nzuri kuwavutia
Labda grader wapitishe huko ila siyo kuweka lami

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Kweli Serengeti ina haki kuwa mbuga bora duniani, maana wana bidii kukarabati barabara zao, pamoja na budget kupungua lakini yale magreda yao huwa nayaona yakirekebisha barabara kila wakati.

Ngorongoro sijui wana shida gani, pamoja na kuwa na mapato makubwa (hapo nyuma) ila hili shirika ni shida kwenye fedha!.
 
Kweli Serengeti ina haki kuwa mbuga bora duniani, maana wana bidii kukarabati barabara zao, pamoja na budget kupungua lakini yale magreda yao huwa nayaona yakirekebisha barabara kila wakati.

Ngorongoro sijui wana shida gani, pamoja na kuwa na mapato makubwa (hapo nyuma) ila hili shirika ni shida kwenye fedha!.
Kama serengeti Wana fedha,kwanini barabara wasiziweke pevin badala ya lami? Ukitembelea serengeti, ukirudi kwenu kazi inayofuata ni kulazwa
 
Kama serengeti Wana fedha,kwanini barabara wasiziweke pevin badala ya lami? Ukitembelea serengeti, ukirudi kwenu kazi inayofuata ni kulazwa
Aseee wewe nadhani mgeni kwenye haya mambo ya utalii au ukae kimya tu, kwanza nipe mfano wa barabara ya mbugani afrika iliyowekea pevin.

Pili mimi Serengeti ni sawa na mpemba na jahazi, sasa uniambie kwenda kwenu utalazwa daaa pole sana😷!!
 
Wakati Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo akiomba Serikali ipunguze tozo za kuingia katiba hifadhi ya wanyama ya Serengeti, Spika wa Bunge Job Ndugai naye amesisitiza ombi hilo akiitaka Wizara ya Maliasili na Utalii kuangalia viwango vyao kwani grafu ya utalii inashuka.

Hata hivyo, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Damas Ndumbaro amesema viwango hivyo haviwezi kushuka kwa kuwa hifadhi ya Serikali ni bora zaidi duniani alipokuwa akijibu swali la Gambo leo Jumatatu Februari 8,2021 bungeni jijini Dodoma.

Dk Ndumbaro alisema tozo ya sasa katika hifadhi ya Ngorongoro ni dolla 60 ambazo ni ndogo ukilinganisha na ubora na viwango vya vivutio ndani ya hifadhi hiyo.

Katika swali la nyongeza Gambo amehoji ni kwa nini Serikali isione umuhimu wa kupunguza tozo hiyo ili kuwavutia watalii.

Gambo alitolea mfano wa Kenya na Rwanda kwamba wamepunguza tozo kwa ajili ya kuwavutia watalii ambao wamepungua kwa kiwango kikubwa kutokana na tishio la ugonjwa wa Uviko.

"Ni kweli kuwa ugonjwa wa korona umepunguza idadi ya watalii kuingia nchini ni kwa nini msilione hilo kama walivyofanya mataifa mengine jirani," amehoji Gambo.
Hii ndo michango mfu! Hao watu wanajua ni kiasi gani kinalipwa kwenye beach za Acapulco? Au kwenye diving club za Mediterranean? Tozo, tozo tozo rubbish! Badala ya kuongeza ubora wa huduma, wartu wanaamini ukipunguza watalii wataongezeka.
Halafu hakuna hata anayeangalia hali ya dunia na Corona, waje kuambukizwa na huduma mbovu za afya? Kwa ujumla dunia imesimama. Tusitake kuunda hadithi.
 
Wakati Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo akiomba Serikali ipunguze tozo za kuingia katiba hifadhi ya wanyama ya Serengeti, Spika wa Bunge Job Ndugai naye amesisitiza ombi hilo akiitaka Wizara ya Maliasili na Utalii kuangalia viwango vyao kwani grafu ya utalii inashuka.

Hata hivyo, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Damas Ndumbaro amesema viwango hivyo haviwezi kushuka kwa kuwa hifadhi ya Serikali ni bora zaidi duniani alipokuwa akijibu swali la Gambo leo Jumatatu Februari 8,2021 bungeni jijini Dodoma.

Dk Ndumbaro alisema tozo ya sasa katika hifadhi ya Ngorongoro ni dolla 60 ambazo ni ndogo ukilinganisha na ubora na viwango vya vivutio ndani ya hifadhi hiyo.

Katika swali la nyongeza Gambo amehoji ni kwa nini Serikali isione umuhimu wa kupunguza tozo hiyo ili kuwavutia watalii.

Gambo alitolea mfano wa Kenya na Rwanda kwamba wamepunguza tozo kwa ajili ya kuwavutia watalii ambao wamepungua kwa kiwango kikubwa kutokana na tishio la ugonjwa wa Uviko.

"Ni kweli kuwa ugonjwa wa korona umepunguza idadi ya watalii kuingia nchini ni kwa nini msilione hilo kama walivyofanya mataifa mengine jirani," amehoji Gambo.
Inaumiza sana huku Chugga yaani tumerudi kwenye msoto ule ule na ni zaidi ya last year
 
Wakati Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo akiomba Serikali ipunguze tozo za kuingia katiba hifadhi ya wanyama ya Serengeti, Spika wa Bunge Job Ndugai naye amesisitiza ombi hilo akiitaka Wizara ya Maliasili na Utalii kuangalia viwango vyao kwani grafu ya utalii inashuka.

Hata hivyo, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Damas Ndumbaro amesema viwango hivyo haviwezi kushuka kwa kuwa hifadhi ya Serikali ni bora zaidi duniani alipokuwa akijibu swali la Gambo leo Jumatatu Februari 8,2021 bungeni jijini Dodoma.

Dk Ndumbaro alisema tozo ya sasa katika hifadhi ya Ngorongoro ni dolla 60 ambazo ni ndogo ukilinganisha na ubora na viwango vya vivutio ndani ya hifadhi hiyo.

Katika swali la nyongeza Gambo amehoji ni kwa nini Serikali isione umuhimu wa kupunguza tozo hiyo ili kuwavutia watalii.

Gambo alitolea mfano wa Kenya na Rwanda kwamba wamepunguza tozo kwa ajili ya kuwavutia watalii ambao wamepungua kwa kiwango kikubwa kutokana na tishio la ugonjwa wa Uviko.

"Ni kweli kuwa ugonjwa wa korona umepunguza idadi ya watalii kuingia nchini ni kwa nini msilione hilo kama walivyofanya mataifa mengine jirani," amehoji Gambo.
Mara corona haija athiri uchumi mara watalii wanaongezeka mara hatuna corona sasa na hii imetokea wap kama hatuna corona wala madhara yake mbona kama wana nichanganya
 
Kuweka paving au lami ni kuharibu ecosystem ya eneo na wanyama wako sensitive na exotic kwa lugha ingine alien changes na hili litabadilisha tabia ya wanyama mfano, ukiweka lami harufu hufukuza wa nyama na wakati mwengine hasa kipindi cha baridi kali wanyama kama simba hulala kwenye lami nyakati za mchana kwaajili ya joto la lami eg Kruger National Park South Africa sasa kwa namna barabara ya serengeti ilivyo ile ni high was na ni corridor ya kwenda upande wa pili wa mbuga na hii italeta ajali nyingi zaidi za wanyama kugongwa na magari.
Kama serengeti Wana fedha,kwanini barabara wasiziweke pevin badala ya lami? Ukitembelea serengeti, ukirudi kwenu kazi inayofuata ni kulazwa
 
$60 sio hela nyingi kutembelea mbuga kama Serengeti lakini hiyo gate-fee inakupa pass ya siku ngapi? Kama utazunguka kwa siku kumi kwa gharama ya $60 kwa siku hapo ndipo shida inaweza kuwepo.

Anyway kwa watu wanaokuja Serengeti most can afford that price na si ajabu wengi wanalipia kabla ya kuja, tatizo labda wale waliokuja kwa mengine baada kufika Tanzania wakataka wapite Serengeti hiyo bei inaweza kuwa changamoto.

Ila hoja ya waziri kupandisha bei ni kwa sababu ya ku-balance seasonal variation eti watalii wengine waje low season aina mantiki watu wengi wanakuja peak time kwa sababu ya migration period za wanyama or other seasonal events; plus holiday calendar za nchi zao.

Kwa ivyo seasonal variation will always be there kupandisha bei kunaweza punguza idadi ya watalii lakini aina maana hao wanaoshindwa kuja kuona main events during high season watarudi in low season; the pulling factors are not the same (at least in theory).
 
Aseee wewe nadhani mgeni kwenye haya mambo ya utalii au ukae kimya tu, kwanza nipe mfano wa barabara ya mbugani afrika iliyowekea pevin.

Pili mimi Serengeti ni sawa na mpemba na jahazi, sasa uniambie kwenda kwenu utalazwa daaa pole sana😷!!
Kuweka barabara pevin kutaharibu utalii? Au lazima kulinganisha serengeti na mbuga zingine africa? Gharama kubwa za kupelekwa watalii serengeti kutoka Arusha zinachangia watalii kukukimbia serengeti. Kuwa mpole, watalii watahukia mwanza airport after two hours watakuwa serengeti kupitia mkoa wa Mara. Huko Arusha mtalii anatumia masaa 9 kuingia serengeti. Bakini na ubishi mtavuna mabua.
 
Inaumiza sana huku Chugga yaani tumerudi kwenye msoto ule ule na ni zaidi ya last year
Vijana wa Chuga jaribuni kufikiria njia nyingine ya kujiingizia kipato, maana hii Corona kwa Wazungu imewachapa hadi wamekuwa waoga sana kuja Africa!!
 
Wanaongea kama vile hawajui huko dunia ya kwanza wamefungiwa ndani, hawatoki
 
Kuweka barabara pevin kutaharibu utalii? Au lazima kulinganisha serengeti na mbuga zingine africa? Gharama kubwa za kupelekwa watalii serengeti kutoka Arusha zinachangia watalii kukukimbia serengeti. Kuwa mpole, watalii watahukia mwanza airport after two hours watakuwa serengeti kupitia mkoa wa Mara. Huko Arusha mtalii anatumia masaa 9 kuingia serengeti. Bakini na ubishi mtavuna mabua.
We chungu kweli aseee do!!.

Naona hauelewi kitu, endelea kusoma comments.
 
Back
Top Bottom