Kutosha kwake kunategemea na biashara unayotaka kuifanya"ila usisahau kuandaa hela nyingine kama hiyo kwaajili ya kukombolea mzigo wako kwa kaisari wa tz maana hapa hutapita mpka ulipe senti yako ya mwisho.
Na baadhi yenu wanawake hampigi mswaki vizuri mnapiga haraka haraka kuwahi kwenye kioo kujipaka makeup mnatupashida wenzenu mnapotubusu harufu kali mpka mizuka inapotea mtu unakua kama unakiwanda cha kusindika ngozi bwana.
Jirani yangu mimi hapa nyumbani tunafanya kazi mtaa mmoj huko mjini ye anagari basi kila asubuhi anajinunisha ili nisimwombe lifti huyu haendi mbinguni. Na siku nikikuta yupo mbinguni ntagombana na mrinzi wa getini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.