rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,164
- 43,855
Watu walifukuzwa wakarudishwa na magari kabisa ntwaraa hukoo wewe unawatafutaa...!!Acha uboya wewe


Watu walifukuzwa wakarudishwa na magari kabisa ntwaraa hukoo wewe unawatafutaa...!!Acha uboya wewe


Anaitafute kwa muda wake nimpe simulizi yaliyotukuta huko.yaliyowkuta wenzako mwaka wa jana na juzi huko Msumbiji umeyasahau au hukuwa na access ya habari?
Madawa ya kulevyaKaribu mtwara mkuu vp upo maeneo gani nikuletee korosho kidogo utafune


akiambiwa akaonyeshe shamba?LIKUD siyo propaganda mzee wangu mi nilikutana nayo ana kwa ana asikwambie mtu. Una habari adi majeshi yetu yalitua mpani?Hizo propaganda tu mkuu hakuna kitu kama hicho
Hahaha!!! lbda useme mizimu yalisahaulika lkn c propaganda.Mabaya yanawakuta kwa sababu mmeisahau mizimu yenu. Mimi sijaisahau kama wewe mkuu siwezi kukutwa na baya lolote in the name of Jesus Christ Of Nazareth. AMEN!
Mi Niko mangaka jirani na mtambaswala "kwenye daraja LA umoja" kifupi fursa ni nyingi ingawa security kwa wageni ni ndogo mno kudhulumiwa, kuibiwa hata kuuwawa in kitu cha kawaida sana. Ingawa wanaojiatach na wenyeji kidogo wana nafuu.Sawa. Labda pamebadilika.
Halafu mimi nilikuwa naongea na watu wa migodini sana, labda mambo hayo yapo kwenye mawe zaidi.
Asante kwa kutupa habari kutoka sehemu halisi mkuu.Mi Niko mangaka jirani na mtambaswala "kwenye daraja LA umoja" kifupi fursa ni nyingi ingawa security kwa wageni ni ndogo mno kudhulumiwa, kuibiwa hata kuuwawa in kitu cha kawaida sana. Ingawa wanaojiatach na wenyeji kidogo wana nafuu.
Mama yako akisoma hili atajisikiaje?Bogus mama ako
Jesus Christ na mizimu yenu wapi na wapi sasa?Mabaya yanawakuta kwa sababu mmeisahau mizimu yenu. Mimi sijaisahau kama wewe mkuu siwezi kukutwa na baya lolote in the name of Jesus Christ Of Nazareth. AMEN!
Hapo mtamba swala napajuwa msalie mzee pakacha yupo upande wa msumbiji karibu na Daraja la umojaMi Niko mangaka jirani na mtambaswala "kwenye daraja LA umoja" kifupi fursa ni nyingi ingawa security kwa wageni ni ndogo mno kudhulumiwa, kuibiwa hata kuuwawa in kitu cha kawaida sana. Ingawa wanaojiatach na wenyeji kidogo wana nafuu.
Duhhh!!!!!Mabaya yanawakuta kwa sababu mmeisahau mizimu yenu. Mimi sijaisahau kama wewe mkuu siwezi kukutwa na baya lolote in the name of Jesus Christ Of Nazareth. AMEN!
Mizimu na Mungu wa wazungu wapi afadhaliJesus Christ na mizimu yenu wapi na wapi sasa?
Afadhali katika nini?Mizimu na Mungu wa wazungu wapi afadhali
Afadhali katika nini?
Wote mule mule tu.Katika kuamini pasipo na contradiction
Mhhhhhhh kwaiyo vyote matatizo tu sasa tuamini nini sasaWote mule mule tu.
Contradiction ni kama mimba.
Ama unayo, ama una.
Mwanamke hawezi kusema "mimba yangu afadhali nina mimba nusu, mwenzangu ana mimba kamili".
Sitaki kuamini, nataka kujua.Mhhhhhhh kwaiyo vyote matatizo tu sasa tuamini nini sasa
Tuamini science tu.Mhhhhhhh kwaiyo vyote matatizo tu sasa tuamini nini sasa