Habarini ndugu Wanabodi wa JF!
Naenda kwenye kiini cha mada moja kwa moja.
Nina changamoto... hata nikiongea kwa upole na kawaida, wasikilizaji wangu wanadai kuwa nimechukia na nafoka,, yaani nikiongea seriously mfano kwenye jambo nyeti na la msingi, naonekana kama nafoka. Hali hii inanitatiza...
Habarini ndugu zangu wa thamani sana, wa jukwaa zuri za Habari na Matukio. Nimekumbuka maisha ya miaka ya nyuma mno leo, kuna journal niliwahi kusoma inayohusu maisha.
Kuna kauli ukisikia watu wanasema juu yako, ni lazima ujitafakari upya.. or otherwise you're already dead.
Sisemi kwa nini ila...
urembo ni tofauti na uzuri. unaweza ukajua kujiremba ila ukawa 'mbovu'.
pia, uzuri upo machoni mwa mtu.
kila kabila lina wanawake wazuri na warembo, maadamu ni binadamu.
sasa je, ikitokea huyo mtoto amepata ajali au hali mbaya kiuchumi, na wazazi wakawa na access ya kumsaidia ila wakaamua kutomsaidia, wazazi watakuwa na hatia mbele ya jamii?
celebrates (not right based on grammar, it's a verb)
celebrants (right based on grammar, it's a noun)
celebrities (right based on grammar, it's a noun)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.