yeah, nakumbuka kuna feminist fulani mtoto wa aliyekuwa mkubwa fulani niliwahi kutoka naye enzi hizooo,,, off course kichwani zipo mno...alikuwa anajua vingi na exposure ilikuwa ni kubwa. lakini nilimla mara kibao just like other cheapy girls... na hela alikuwa anapiga mizinga kwa mzee wake ili...
kila biashara ina changamoto zake. namfahamu mtu ame inject 1+ bil tzs kwenye hiyo biashara pale Kariakoo na Upanga, mtaji haujarudi bado ila baada ya miaka chini ya kumi utakuwa umerudi. ni commitment tu.
mpaka kupimwa mimba maana yake kuna mgogoro possibly wa kisheria. maana yake uthibitisho ni mimba na si mwaka ambao bikra yake ilitolewa. Ukimpa mimba mwanafunzi uthibitisho ni mimba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.