Recent content by zee_latown

  1. zee_latown

    JamiiForums Tanzania Hata nikiongea kawaida wanasema nafoka

    Habarini ndugu Wanabodi wa JF! Naenda kwenye kiini cha mada moja kwa moja. Nina changamoto... hata nikiongea kwa upole na kawaida, wasikilizaji wangu wanadai kuwa nimechukia na nafoka,, yaani nikiongea seriously mfano kwenye jambo nyeti na la msingi, naonekana kama nafoka. Hali hii inanitatiza...
  2. zee_latown

    JamiiForums Tanzania Ukisikia kauli hizi, jua umekwishakufa, bado kuzikwa tu

    Habarini ndugu zangu wa thamani sana, wa jukwaa zuri za Habari na Matukio. Nimekumbuka maisha ya miaka ya nyuma mno leo, kuna journal niliwahi kusoma inayohusu maisha. Kuna kauli ukisikia watu wanasema juu yako, ni lazima ujitafakari upya.. or otherwise you're already dead. Sisemi kwa nini ila...
  3. zee_latown

    JamiiForums Tanzania Nataka kutoka familia ya Nyerere

    private (not right based on grammar) privacy (right on your context, grammatically)
  4. zee_latown

    JamiiForums Tanzania Wanawake tunapenda hivi...

    usiwaongelee wengine, jiongelee wewe.
  5. zee_latown

    JamiiForums Tanzania mchagga kamwe hamkuti mnyaturu kwa urembo.

    nimemjibu hii kitu
  6. zee_latown

    JamiiForums Tanzania mchagga kamwe hamkuti mnyaturu kwa urembo.

    urembo ni tofauti na uzuri. unaweza ukajua kujiremba ila ukawa 'mbovu'. pia, uzuri upo machoni mwa mtu. kila kabila lina wanawake wazuri na warembo, maadamu ni binadamu.
  7. zee_latown

    JamiiForums Tanzania Enyi wanaume wenye wazazi kumbukeni na wazazi wenu sio mna base upande wa wake zenu tu

    sasa je, ikitokea huyo mtoto amepata ajali au hali mbaya kiuchumi, na wazazi wakawa na access ya kumsaidia ila wakaamua kutomsaidia, wazazi watakuwa na hatia mbele ya jamii?
  8. zee_latown

    JamiiForums Tanzania Seran na celebrates wenzio njoo tule bata wikeend

    celebrates (not right based on grammar, it's a verb) celebrants (right based on grammar, it's a noun) celebrities (right based on grammar, it's a noun)
  9. zee_latown

    JamiiForums Tanzania Enyi wanaume wenye wazazi kumbukeni na wazazi wenu sio mna base upande wa wake zenu tu

    kama ni hivyo basi hata familia ya upande wa mke haitakiwi kusaidiwa.
  10. zee_latown

    JamiiForums Tanzania Nilitoa kafara miaka mitano kujifunza Forex

    nitakujibu
  11. zee_latown

    JamiiForums Tanzania This is clearly a smear campaign meant to distract and weaken the opposition. Let us deal with facts, not cheap politics against HECHE

    prosperous (not right based on grammar) prosperity (right based on grammar)
  12. zee_latown

    JamiiForums Tanzania Sitakuja kuoa kamwe. Siamini kwenye Mapenzi

    safi, ni uhuru wako. acha tunaovutiwa nao nasi tutumie uhuru wetu kuwashenyenta!
Back
Top Bottom