Recent content by zee_latown

  1. zee_latown

    Mikopo ya Mabenki kwa Watumishi

    sasa wewe ulitaka ulipe hiyo milioni 50 baada ya muda gani? miaka 15?
  2. zee_latown

    Mikopo ya Mabenki kwa Watumishi

    maelezo yako hayajakaa sawa. ukikopa 25M utadaiwa 100M? 50% ya 25M siyo 12.5M? sasa ukichukua 25M ukijumlisha 12.5M jibu ni 100M????????
  3. zee_latown

    Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    ni kwamba alikuwa period siku hiyo au?????? kama hakuwa period its more likely she was PID positive
  4. zee_latown

    Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    hapana, ametoa kero ili kama wahusika wapo na humu pia, wabadilike.
  5. zee_latown

    Ukiisikia kauli hii kutoka kwa Mwanamke jua amesharudiana nae au soon atarudiana nae na pia anakubali sana 'Shoo' ya Mwanaume husika Kitandani

    wewe unahisi una hicho kipya kitandani? ndo wanavyokudanganya watoto wa mjini ili wale pesa zako au?
  6. zee_latown

    Naam kwa sasa dunia inaelekea kutimiza mpango wao wa siri wa kumaliza wanaume

    Enyi binti za Yerusalemu, msinililie mimi. Jililieni nyie na watoto wenu.
  7. zee_latown

    Ni kweli Wanawake wana akili kuliko wanaume wengi. Kwa sababu zifuatazo…

    yeah, nakumbuka kuna feminist fulani mtoto wa aliyekuwa mkubwa fulani niliwahi kutoka naye enzi hizooo,,, off course kichwani zipo mno...alikuwa anajua vingi na exposure ilikuwa ni kubwa. lakini nilimla mara kibao just like other cheapy girls... na hela alikuwa anapiga mizinga kwa mzee wake ili...
  8. zee_latown

    Ni kweli Wanawake wana akili kuliko wanaume wengi. Kwa sababu zifuatazo…

    kwa hizi theories zenu huenda wanawake wenyewe wakawa wanawashangaa. mpaka formula mnawatengenezea... mbona ni watu simple tu
  9. zee_latown

    Wazazi tubadilike, tuache kuwapa watoto majina ya kizamani. Kuna majina yamepitwa na wakati

    sioni ubaya wake. hata jina lako la Hance kwa macho ya wengine linaweza kuonekana ni outdated
  10. zee_latown

    Uwekezaji wa majengo haulipi

    kila biashara ina changamoto zake. namfahamu mtu ame inject 1+ bil tzs kwenye hiyo biashara pale Kariakoo na Upanga, mtaji haujarudi bado ila baada ya miaka chini ya kumi utakuwa umerudi. ni commitment tu.
  11. zee_latown

    Mkiwapima wanafunzi mimba pimeni na bikra mjue walioanza ngono ni kiasi gani

    mpaka kupimwa mimba maana yake kuna mgogoro possibly wa kisheria. maana yake uthibitisho ni mimba na si mwaka ambao bikra yake ilitolewa. Ukimpa mimba mwanafunzi uthibitisho ni mimba.
  12. zee_latown

    Being broke is hell — nobody cares about you

    if they no care then you gotta no care
Back
Top Bottom