umejitanabaisha kuwa kigezo chako kikuu cha uzuri ni sura, its fine. Ila nikueleze kitu... unayoiona wewe 6 wenzako wanaiona 9. Umesema Bongo hakuna star mzuri, kuna warembo tu siyo? Ila mimi nawaona wazuri wengi mno... akiwemo Uwoya(kwa sura na umbo), Kajala pia, mimi Mars nk... hao wote ni kwa...
ndiyo, anajulikana na yule anayemuona mzuri. Nitajie star(s) wa kike Bongo unayemkubali kuwa ni mzuri, ambaye anafanana na kukaribiana na huyo mpenzi wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.