Mkuu,US ni tofauti na uku kwetu. Kwao Rais ni taasisi inayoshirikiana na taasisi nyingine kuleta maendeleo na kutatua shida za wananchi.
Rais hana kazi kubwa za kufanya/kuzunguka ovyo kama uku kwetu.
"We scientists,we don't believe in blaming but we believe on solving problems by laws and principles zinazotawala katika jambo husika" naomba ulinganishe sakata la Sukari,Bandari na kuficha pesa.
Kama hauna kitu cha kuandika bora usihaibishe taaluma yako.
Pongezi ziende kwa JK kwa kutuletea mradi wa mabasi ya haraka na miradi mingine kama fly over ya TAZARA, na Reli ya Kati.
Kula pensheni yako kwa amani Mzee wetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.