Uwekezaji wa Uingereza nchini Tanzania

Uwekezaji wa Uingereza nchini Tanzania

Keynez

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
3,642
Reaction score
6,567
Kwa muda mrefu, Uingereza ndiyo walikuwa kinara wa uwekezaji kutoka nje nchini Tanzania. Inaonyesha wapo low key sana kwenye uwekezaji wao hauna makeke kama wa waChina na Marekani, kwa muda mrefu nimekuwa najiuliza uwekezaji wao upo katika sekta gani. Ilichukua muda mrefu mpaka China kuweza kuwapiku miaka michache iliyopita.

Natambua uwepo kwa mabenki ya Barclays na Standard Chartered ambao nao hawana hata muda mrefu Tanzania (huku nikisikia Barclays wapo kwenye mikakati ya kuondoka Afrika). Ningeomba mwongozo ni sekta zipi ambazo Uingereza wamewekeza Tanzania na ikiwezekana makampuni yanayohusika yatajwe.
 
Uingereza wamewekeza pia kwenye utafutaji wa mafuta na gesi, pia wana NGOs mbalimbali zinazotoa huduma kwa watanzania
 
Waingereza hawawezi 10%. Wanaogopa kuchomeana hata ikipita miaka 10 bado kuna atakaye choma. Angalia lile swala la Chenge na Rada au BAE systems.
Lakini kwenye Oil and gas wapo, e.g. Ophir
 
Sawa, naanza kupata mwanga. Yeyote anayeweza kuongezea? Hivi wawekezaji wa NMB wanatokea wapi?
 
Sawa, naanza kupata mwanga. Yeyote anayeweza kuongezea? Hivi wawekezaji wa NMB wanatokea wapi?

NMP ni public limited company,inamilikiwa na Rabobank ya Uholanzi kwa 39.4%,serikali ya Tz kwa 30%,private investors kupitia soko la hisi ni 21%,NICOL 6.6%, Exim Bank 5.8% Na TCCIA kwa 1.7%
 
BP Petroleum, shell oil (british people hav a significant stake), British American Tobacco, Ilovo sugar, Serengeti breweries (a Deageo subsidiary), Petra diamonds, AngloAshanti gold, PWC n so many
 
Kiukweli ni kwamba haiwezi kupita siku bila kutumia bidhaa yao! Take example of Unilever products Colgate, milo, Blueband, Knoor noodles, Knoor recipes, Mchuzi mix, Omo, Vaseline, Johnson & Johnson, cerelac, panadol, vixkingo, revola, Cussons imperial leather, Omo, Jirk, Always, Yu perfumes n so many. Pia Nescafe n cardbury products r all british kuna zile chocolate huzipenda
 
ni bora tukareview vizuri hiyo mikataba mara nyingi sana waingereza wako fair ukilinganisha na mataifa yaliyobaki kwenye European Eunion . na mtoa uzi nimuulize wachina ni lini waliwapiku uingereza uwekezaji Tanzania?
 
Kiukweli ni kwamba haiwezi kupita siku bila kutumia bidhaa yao! Take example of Unilever products Colgate, milo, blueband, Knoor noodles, Knoor recipes, mchuzi mix, omo, vaseline, Johnson & Johnson, cerelac, panadol, vixkingo, revola, coussons imperial leather, Omo, Jirk, Always, yu n so many. Pia Nescafe n cardbury products r all british kuna zile chocolate huzipenda
TUNAVYOSEMA TUNAENDA KWENYE NCHI YA VIWANDA KAMA NCHI TUMEJIPANGA VIPI KUPAMBANA NA HIZO BIDHAA KWENYE SOKO AU VITA YA SOKO NDIO ILE VIONGOZI WA EAC WAMEANZISHA JANA PALE FERRY JIRANI NA KIGAMBONI WANAPOSEMA EPA
 
Kiukweli ni kwamba haiwezi kupita siku bila kutumia bidhaa yao! Take example of Unilever products Colgate, milo, blueband, Knoor noodles, Knoor recipes, mchuzi mix, omo, vaseline, Johnson & Johnson, cerelac, panadol, vixkingo, revola, coussons imperial leather, Omo, Jirk, Always, yu n so many. Pia Nescafe n cardbury products r all british kuna zile chocolate huzipenda
HIVI VIWANDA VIPO HAPA NDANI YA NCHI NA SIE TUNA MALIGHAFI YOYOTE TUNAZALISHA NA KUWAUZIA HAO WENYE VIWANDA VILIVYOTAJWA HAPO JUU
 
Tunapoelekea kwenye uchumi wa gesi, mapato ya mwaka ya kampuni ya Uingereza la BG pekee, yanatosha kuendesha serikali ya Tanzania kwa miaka 10!.

Kati ya nchi zinazoisaidia Tanzania, Uingereza ndio nchi inayoongoza kuisaidia Tanzania ambapo ndio mchangiaji Mkuu wa General Budget Support, GBS, na miradi inayofadhiliwa na Uingereza kupitia mashirika yake, DFID, UKAID, British Council, CDC, Oxfam, Save The Children Fund, ni msaada mkubwa kwa Tanzania.
Pasco
 
Labda hao EU wakiongozwa na Ujerumani, watueleze investment zao hapa Tanzania! Kabla ya kutaka bidhaa zao kuingia bure..najua mjerumani sera zake za kiuchumi haziipi priority Africa, outside SA na Northern Africa.

BTW hata Mfaransa anamshinda, Total, BIC, Radio France Kiswahili, Mauren n Prom, Cowbell
 
MABAKULI, ukijaribu kuchunguza utajua kwann vita ya kuchimba soda ash kule lake Natron ilikuwa vita ya Wakenya na si mazingira vingi ya hivyo juu raw material yake ni soda ash kwa sabuni na tooth paste. Lakini still they buy tobacco, tea n coffee from us aside cacao of recently.
 
Uingereza wamewekeza pia kwenye utafutaji wa mafuta na gesi, pia wana NGOs mbalimbali zinazotoa huduma kwa watanzania
NGOs sijui kama huwa zina mchango kimaendeleo maana nyingi zinaajiri vijana wazungukezunguke eti wanafanya utafiti ili wawapotezee muda wa kufikiria kuunda viwanda/mashine/applications na kutoa matokeo yanayohamasisha mletewe msaada, na msaada utakuta una masharti fulani.
 
TUNAVYOSEMA TUNAENDA KWENYE NCHI YA VIWANDA KAMA NCHI TUMEJIPANGA VIPI KUPAMBANA NA HIZO BIDHAA KWENYE SOKO AU VITA YA SOKO NDIO ILE VIONGOZI WA EAC WAMEANZISHA JANA PALE FERRY JIRANI NA KIGAMBONI WANAPOSEMA EPA
tumejipanga sana,MO,gsm,barhesa wamedhamilia kuporomosha maviwanda ya kila aina ndani ya miaka 3,
kwa kanda ya ziwa yupo JAMBO nae anakuja juu kwa speed ya nyati aliejeruhiwa
 
Back
Top Bottom