Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 3,642
- 6,567
Kwa muda mrefu, Uingereza ndiyo walikuwa kinara wa uwekezaji kutoka nje nchini Tanzania. Inaonyesha wapo low key sana kwenye uwekezaji wao hauna makeke kama wa waChina na Marekani, kwa muda mrefu nimekuwa najiuliza uwekezaji wao upo katika sekta gani. Ilichukua muda mrefu mpaka China kuweza kuwapiku miaka michache iliyopita.
Natambua uwepo kwa mabenki ya Barclays na Standard Chartered ambao nao hawana hata muda mrefu Tanzania (huku nikisikia Barclays wapo kwenye mikakati ya kuondoka Afrika). Ningeomba mwongozo ni sekta zipi ambazo Uingereza wamewekeza Tanzania na ikiwezekana makampuni yanayohusika yatajwe.
Natambua uwepo kwa mabenki ya Barclays na Standard Chartered ambao nao hawana hata muda mrefu Tanzania (huku nikisikia Barclays wapo kwenye mikakati ya kuondoka Afrika). Ningeomba mwongozo ni sekta zipi ambazo Uingereza wamewekeza Tanzania na ikiwezekana makampuni yanayohusika yatajwe.