Recent content by Zee la Tetesi

  1. Zee la Tetesi

    Manji sema usiposema...

    Alimwambia "Dere" (Baba Jesca) enz za Baba Riz wakat huo Dere akiwa kama Waziri mwny dhamana..!
  2. Zee la Tetesi

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Muosha huoshwa..!
  3. Zee la Tetesi

    AJIRA: Nafasi za kazi 400 ktk Mamlaka ya Mapato (TRA)

    Nahc itakuwa vyote vyote mkuu, anaziba ufa na kujenga ukuta pia..!
  4. Zee la Tetesi

    Chenja za JKT zilituhamasisha sana tusitoroke,tukumbushane chenja!

    Polisi hamna jipya small square majungu master parade ndo ucseme, mkikutana uwanja wa damu ni unanga co unaa.. na kutishana msalimie Meja Mtigandi Coplo kashinje na cpl Machumu na Ssgt Omari HQ Coy..!
  5. Zee la Tetesi

    Mti wa ajabu wa mwembe washindikana kukatwa

    Cdhani kama kuna atakaebaki wakati mti huo unaongea na kutoka machoz ya damu, any way hv vitu vpo mkuu kule visiwani ukala kuna mawe yanacheza ukiyaimbia so yanatumika kama utalii wa ndani wa jadi..!
  6. Zee la Tetesi

    Mti wa ajabu wa mwembe washindikana kukatwa

    kweli kabisa mkuu mwanzo ilinishtusha ila imenibidi kusogea eneo la tukio kujionea maajabu haya..
  7. Zee la Tetesi

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Kadiri miaka inavyosonga ndo taratibu znavobadilika mkuu.. coz miaka ya juz kat kama 2014 kipind kama hiki raia wapo either mkoani au wilayan ama wameshaatend vipimo ila naona mwaka huu mchakato umelate haupo "Static" Ila kwa tetes za kunyampia nyampia mzigo utadondoka kat ya tar 15-20 chek...
  8. Zee la Tetesi

    Uvamizi Hatari wa Kimtandao Duniani: Tishio la Usalama wa Taifa Tuchukue Hatua Haraka

    usisahau kufanya backup mkuu kwa marejeo ya Data na Taarifa zako
  9. Zee la Tetesi

    Rais Magufuli, CDF mpelekeni Tundu Lissu mahakama ya kijeshi - court Marshall

    Lisemwalo lipo kama halipo laja.. Cc: WAHENGA.COM
  10. Zee la Tetesi

    Wanaoshangaa Tanzania kuomba Afrika Kusini huenda wakawa hawajui haya

    Mkuu hatukuisaidia Nchi tuliwasaidia wapigania uhuru "Maliberators" ambao Askari wa kizulu na viongozi wao ni kundi dogo tu la wapambabaji tuliwapa pia hifadhi kwa ajili ya kujipanga na kupiga tizi la kivita ili kusogea frontline kumtokomeza Mkaburu.. Ila co kweli kama tuliisaidia SA as a...
  11. Zee la Tetesi

    Josephine Lemoyan na Pamela Maasay wachaguliwa kuwa wabunge wa Afrika Mashariki kutoka CHADEMA

    Tunawaunga mkono wawakilishi wetu waipeperushe bendera ya Taifa (EALA)
  12. Zee la Tetesi

    TANGA: Mvua kubwa iliyodumu kwa siku nzima yaleta maafa

    NAWAZA KWA HERUFI 1. Huyo Muumba wa watu wa Tanga co muumba wako mkuu..? 2. Mkuu na we uliwahi kwenda kwenye Baikoko kushuhudia wakicheza Uc** wa Mnyama..? (Haramu Kuona) au umesikia Tetesi..? 3. Anayejua kama adha na ahida zimpatazo Mwanadamu hapa duniani kama ni Adhabu au fundisho ni Maulana...
  13. Zee la Tetesi

    TANGA: Mvua kubwa iliyodumu kwa siku nzima yaleta maafa

    Mkuu hizo dharau.. mtoa uzi amebainisha wazi kuwa mvua ni kubwa kuwahi kutokea imeleta maafa hata maeneo ya tambarare we unahitaji indelee kunyesha ili watu wapate chakula na ikiendelea kuuwa hicho chakula watakula kuku au..? na Je hilo gari la mwananchi lilipata ajali nalo linaishi mabondeni...
Back
Top Bottom