Recent content by ZEE LA HEKIMA

  1. Z

    Kanisa Katoliki Kirumba lazingirwa na Polisi kisa Mkutano wa CHADEMA, baadhi ya watu wamekamatwa

    Hivi mbona ni makanisa tu ndio yanazuiwa kuabudu na mengine yanazingirwa na polisi? Mnataka kuipeleka wapi hii nchi?
  2. Z

    GE2025 Polisi yeleza Sababu ya kukamatwa kwa Isihaka Mchinjita ni kufanya maandamano yaliyozuiliwa, yamwachia kwa dhamana

    Mnafungia Jamii Forums halafu mnakuja kuweka post zenu humo? Nyie vipi?
  3. Z

    SI KWELI Askofu Gwajima aomba radhi kwa viongozi wa Mamlaka zote husika na kuomba makanisa yafunguliwe

    Hayo wewe Ritz uliyoandika umeyapata wapi? Mbona sisi tumetazama na kusikiliza hotuba yote na HAYO UNAYOSEMA HAYAPO? Una akili timamu?
  4. Z

    Maamuzi ya Trump yamelenga kuwasaidia Viongozi wa Serikali za Afrika kuwa Wabunifu na kutumia akili

    Problem yetu sisi Waafrika (Tanzania ikiwepo) ni kubakia kulalamika tu. Hao viongozi wanaofuja pesa zetu mnawajua. Wakijua mmewagundua, wanawagawia kidogo tu, mnakubali kuwa "machawa" wao hadi mnajibiringiza chini mbele yao. Mtu amekula dola milioni kumi halafu akikupa shilingi milioni mia tano...
  5. Z

    Kama hauna pesa endelevu achana na mapenzi

    Tatizo la sasa kwa vijana ni.moja tu:- Hawakuwahi kufundishwa kwa kina kabisa ili wajue kwamba 1. Ngono SIO mapenzi 2. Wewe mwanaume ujue unapodhani mwanamke atakupenda kwa sababu ya utajiri wako, UNAJIDANGANYA. Unaweza kujikuta unachapiwa na kibega wa Kariakoo shimoni japo una mamilioni ya...
  6. Z

    Mama Samia : Utafiti unaonesha Zaidi ya nusu ya Tanzania wenye umri wa kuoa au kuolewa hawajaingia kwenye ndoa . Je sababu yako ni nini ?

    Sababu kuu ziko tatu. 1. Mke anadai vitu vya gharama kubwa ambavyo havina umuhimu (k.m. wigi la laki tatu, i-phone latest n.k.). Kijana akishajua akimwoa binti atadaiwa vitu hivyo, hawezi kumwoa. 2. Umasikini wa mwanaume kukosa kipato kunamfanya mwanaume awe na msongo wa mawazo saa zote...
  7. Z

    Mume wangu ananisaliti, Usaliti wake unashangaza

    Mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake mwenyewe. Wewe NI MPUMBAVU, umeshavunja nyumba yako. Eti umempima? Ningekuwa mimi yeye, NINGEFANYA KWELI na nimlete huyo mbele yako (maana ndicho ulichokitaka)
  8. Z

    Tatizo la wanawake kushindwa kushika mimba linazidi kuwa kubwa

    Ni kina dada wachache sana, hasa wenye shepu nzuri ambao hawatoi mimba, au kula madawa ya kuzuia mimba au kufanya umalaya mkubwa (japo hawakai kwenye madanguro kama yale ya yaliyobomolewa milango juzi juzi Dar. Hao wasichana wakishajiona ni wazuri, wanadhani kwamba watapata waume hata kama...
  9. Z

    Badala ya kushughulika na elimu inavyoharibiwa shule binafsi, unashughulika na nyimbo za Zuchu ili nawe uonekane unafanya kazi!

    WaTz ni wanafiki mno wa kutisha !! Hakuna mtu anayejali mwingine anapata shida gani. Sasa kama huna kazi, ukipewa kazi ya mshahara laki mbili na huulizi au ukiuliza hupewi mkataba, unataka serikali ikutetee vipi? Unadhani kuna kiongozi yeyote atakayeenda popote kuangalia mambo yanaendaje kama...
  10. Z

    Niokoe niiokoe familia yangu

    Mwambie na wife atafute vibarua vya hapa na pale. Na wewe wakati hujapata kazi usichague, ikiwa mtu hana kazi inakuwa VIGUMU SANA kupata ingine
  11. Z

    Ushauri: Jirani yangu anataka kuuza nyumba ili akatafute maisha Uingereza ni sawa?

    Mwambie AACHE KABISA !!! AACHE KABISA !! Atafute internet ni Waingereza wangapi hawana ajira. Anadhani yeye akienda atapataje?? Issue nzima ni UTAPELI MTUPU !!
  12. Z

    Kaniuliza nimempendea nini na yeye siyo mzuri, nachomokaje hapa?

    Kila mwanamke anapendwa kudanganywa-danganywa kuhusu uzuri wake. Kama ni mweusi mwambie ni black beauty, kama ni rangi ya chungwa mwambie ndio rangi unapenda. Yaani inakuwaje unashindwa kuona HATA KITU KIMOJA CHA UKWELI ALICHONACHO CHA KUMSIFIA ???
  13. Z

    Naombeni ushauri wenu kwenye hili

    Kama ameshasema ANATAKA AKUHARIBIE KAZI MWACHE KABISA. Kwani akija ofisini si UNAKATAA TU KUMWONA? Hakuna mtu mwenye akili timamu atakubali kusikiliza uongo wake. Ukimwona, nenda kwa boss mwambie anakutongoza na WEWE HUMTAKI !! Mwambie boss unaomba aondolewe kwa nguvu
  14. Z

    Endelea kuwa wife material huku ukichakaa. Wenzako tunakosa mpk nafasi ya kutunzia minoti

    Kama hamjajua hili ni TANGAZO LA BIASHARA !! Ni mdangaji gani uliyemwona ana hela kweli kweli? Kwani "wife material" wakiolewa hawapewi magari ya kutembelea na vingine vyote mdangaji anavyopata? Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom