Hizo Ni Typing Error Ndogo Ambazo wanaofanya Uhakiki wanaweza Kui skip.
Ndo Maana wanafundisha walimu waliosoma ..Swala Kama Ilo Mwl Lazima okosoe Kidogo ..
Ndo Maana Kila Mtu Sio mwalimu
Mkuu Haujajua Kuji POSITION mbona Wakina Messi Na Kichuya Wanapiga Vichwa katikati ya MABEKI walefu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi Sielewi kabisa mkuu..Kumbe ndo mwanasheria wake [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Asante kwa muongozo ..maana naambiwa kila mwanachadema Ni mwanasheria ..sijui aliyewadangnya Ni Nani ?
Alafu Wakishafitinisha Serikali Na Waislam?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna watu wanashadadia Vitu vya Kijinga..
Na Chadema Kama Ndo Lengo Lao Ndo watu wauawe Na kumwaga Damu kisa Kukitaka Kiti ..aisee Mungu Hatowabarikia kabisa..
Haiwezekani Kuwafinisha Watu wa Dini na Serikali
Wana Jamvi Mara nyingi Nimekuwa nikishuhudia Chaguzi Nyingi sana lakini bado Nagundua Kuwa Waafrica Hatujui kutofautisha Vitu Wiwili Tu
Na tukibahatika Kuvielewa na kuivitofautisha kwa Kuwaza na Kuelewa kwa wazo la level ya mwisho ya Kuwaza ..
Africa Ukiweza Kuvaa suti au ukichomekea watu...
Okey Mkuu Ni hivi
Network unayoizungumzia Imekuwa kwa Mapana
Kuna Telecom na Computer Networking.
Sasa Basi Ukisoma Telecom (Unaishia Upanda Wa Minara)
Ukisoma Computer Networking (utagusa Upande wa Minara Sehemu ya IT na Utakuwa Na Ile Network Yoote ) ila Hautajua TELECOM..
Hizi Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.