Recent content by Zee la choji

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Anayejua Rais Samia anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Naomba unitoe tongo tongo, PSU ndiyo akina Nan hao?
  2. Z

    JamiiForums Tanzania Shikamoo kwa uliyenipa huu Mseto wa Kutukuka kwani kwa Siku 3 tu Wahusika wanakiona cha Moto, ila wanasema Wanafika vizuri sana Kilimanjaro

    Ongezea Karafuu pamoja na Mdalasini kwa matokea zaidi. Hiyo unaambiwa hata kama farasi atakwenda tu hata kwa viboko!
  3. Z

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Arjen Robben amefariki

    Chanzo Cha habar yako tafadhali?
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Hii Pikipiki (boxer) imenishinda, fundi mtabe njoo hapa unisaidie

    Uko Dodoma sehemu gan? Je ni boxer hizi HD tolea jipya? Bm 125 ni ngumu sana kwa uzoefu wangu kuliko Bm 150. Lakin pia unaweza ukawa unabadilisha piston kila siku kumbe inapwaya kwenye block hiyo ikapelekea Moshi kutoka. Pia wakat mwingine unaweza kubadilisha piston na ikafit vizur japokuwa...
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Tarehe 8/9/2025 siku ya ukombozi wa Tanganyika Huru

    Heeeh makubwa!
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Kuna jambo la msingi nataka kuwafundisha humu

    Duh hongera kwa kumwaga nondo kiongozi
  7. Z

    JamiiForums Tanzania Jipatie Unlimited bando kutoka Vodacom, kuanzia elfu 70,000/= tu.

    Kwahiyo mfano kama mim jobless natakiwa nilipie kiasi kikubwa Ili nipate hiyo router yenu, ila wale wenye ajira zao za uhakika inawapasa walipe kias kidogo? Mbona kama imekaa kiduwanzi sana?
  8. Z

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Inabid kama vipi tuhamie huko tu
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Duh kumbe bei ya awali ilikuwa 600k?. Aseeh kama ndiyo hivyo watakuja kwenye mfumo wa bei za kitonga kama airtel tu
  10. Z

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Yas nao wameleta router zao za tsh 99,000 na malipo ya kuanzia 70,000 kila mwezi. Kwa ambao wamenunua naomba watupe mrejesho kwasababu Ile router yako awal ya tsh 250,000 kwa sisi wengine ambao wasakatonge ilikuwa changamoto sana.
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Mashine za tofali thread!

    Hizo za interlocking block machine kias gan Cha fedha?
  12. Z

    JamiiForums Tanzania Nataka kununua Airtel 4G pocket Wi-fi

    Nunua unlimited ya airtel sababu asa hivi bei yake ni tsh 110,000 tu maduka ya aritel
  13. Z

    JamiiForums Tanzania NAUZA Compressor machine, Gas cylinder 2, Floor Jack 3ton, Dry vacuum cleaner, Car pressure wash machine, Welding machine.

    Ingekuwa vizur zaid ungeainisha kwa bei ya kimoja kimoja!
Back
Top Bottom