Kabisa bro..ni kitu ambayo unatamani mudaa urudi nyuma ufix mistake ulofany but ndo ivo tena hakun..inabidi uishi nalo tu..ila ushauri kwa vijan wenzangu kama utaweza kujizui usazae zae ovyo na kila mwanmke jitaidi sana kuepuka..ili jambo in long run ndo utaona matatizo yake kama hutaweza...
Sasa kama ni wahaini si niwakamatwe wakashtakiwe mahakmani kwa kosa la uhaini..sheria si ziko wazi kabisa kwa wahini??
Au waoo wapo juu ya sheri?? Ujinga mtupuu tu apa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.