Jambo la msingi ni kuandaa vijana ambao watakuwa msaada kwa taifa hta miaka ijayo Pia tunafeli kwa sababu nchi yetu haina hata academy Inayofadhiliwa na taifa kweli?? Changamoto kubwa sna usimba na yanga mwingi sana mwingi unaacha kibu Denis unaita Charles ruhende kwel HAHAHA UANATKA MATOKEO WEWE
Kiukweli mie niipinga San hyo betting mie ni mmoja wa waasilika walio bet Kwa muda mrefu ila nimekua wa kumchangia mhindi t ambpo sometime nakula lakini nikija kuliwa naliwa zaidi ya ile pesa niliyokula Mimi Kwa hyo niwizi mkubwa bila kujua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.