Habari wana jamvi!!!!
Nina muda mrefu nimekuwa nikitafuta sehemu/machimbo ya vifaa vya simu yenye bei poa ya jumla kwa maeneo kama Dar,,,Mwanza,,,na Nairobi
Vifaa navyohitaji ni kama
Mike ...screens...protector...chaja OG...cover...headphones/earphones...usb cable...soldering wire/...
Natumaini wanajamvi ni wazimaa wa afya
Kama mada ilinavyojieleza ..Mimi ni mjasiriamali mdogo. Nimekuwa nikifanya biashara ndogo ndogo baada ya kutoka shule.
Muda mfupi uliopita niliingia kwenye matatizo na familia yangu ki ukweli nilivyurugwa kisaikolojia..hela cash iliyokuwapo mfukoni...
Nataka kujua jinsi ya kupitisha mzigo kutoka Nairobi kuja Tz Kwa njia ya bus.. Coz nafikiria kufata mzigo kutoka Nairobi kuja mwanza-tz natamani kidogo nikipata experience kutoka Kwan wazoefu... Ili muda wa kufata mzigo nifahamu at least" A"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.