Recent content by ze meck

  1. Z

    Naomba kujua sehemu nzuri ya kununua spea/vifaa vya simu

    Habari wana jamvi!!!! Nina muda mrefu nimekuwa nikitafuta sehemu/machimbo ya vifaa vya simu yenye bei poa ya jumla kwa maeneo kama Dar,,,Mwanza,,,na Nairobi Vifaa navyohitaji ni kama Mike ...screens...protector...chaja OG...cover...headphones/earphones...usb cable...soldering wire/...
  2. Z

    Hivi malipo ya muziki au video ikiangaliwa kwa wingi YouTube yakoje?

    Kama hupaswi kudownload video....kwahiyo unakuwa unazirekodi mwenyewe? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Z

    Naogopa kuchukua/withdraw pesa kwenye bank account yangu

    Natumaini wanajamvi ni wazimaa wa afya Kama mada ilinavyojieleza ..Mimi ni mjasiriamali mdogo. Nimekuwa nikifanya biashara ndogo ndogo baada ya kutoka shule. Muda mfupi uliopita niliingia kwenye matatizo na familia yangu ki ukweli nilivyurugwa kisaikolojia..hela cash iliyokuwapo mfukoni...
  4. Z

    Kwanini Mungu hakurekebisha kilichosababisha shetani akaasi kabla ya kumuumba binadamu?

    Kwan sit za mbele zimejaa? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Z

    Natafuta experience ya Nairobi to Tz

    Nataka kujua jinsi ya kupitisha mzigo kutoka Nairobi kuja Tz Kwa njia ya bus.. Coz nafikiria kufata mzigo kutoka Nairobi kuja mwanza-tz natamani kidogo nikipata experience kutoka Kwan wazoefu... Ili muda wa kufata mzigo nifahamu at least" A"
  6. Z

    Nani anagharamia matumizi ya Lema, Msigwa na Mbowe huko Nairobi?

    Mwenyekiti wako atakua anajua vizuri
  7. Z

    Jaman. Me kuna kitu cjaelewa PM ndio wapi

    PM=pombe maajabu
  8. Z

    Viongozi wa CHADEMA acheni kiburi, kubalini makosa na iombeni radhi Serikali, hali ya Lissu si nzuri

    Chagua wimbo mmoja kwa ajili ya lumumba sambamba na kutuma salamu kwa wastaafu watatu wa lumumba Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Z

    Unproffesional, unneccessary and unreasobale-Lawyers wamkaanga Lissu

    Kila penye wanne basi mmoja ni_____ Hapa ww ni mmoja tafuta wengine watatu ili muwe wanne Twaweza bhn Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Z

    Unproffesional, unneccessary and unreasobale-Lawyers wamkaanga Lissu

    Kila penye wanne basi mmoja ni_____ Hapa ww ni mmoja tafuta wengine watatu ili muwe wanne Twaweza bhn!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Z

    Tunafanya flashing, unlocking and repair kwenye simu

    Jinsi ya kuzipata hizo ambazo in cracked Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
  12. Z

    Tunafanya flashing, unlocking and repair kwenye simu

    Happy to be here Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom