unaonyesha hata darasani ulikuwa unampa mwalimu wako shida sana. chuo nimemaliza na GPA nzuri nianayo sijakwambia nina shida ya kufaulu inaonekana unatatizo kwenye kusoma.
msaada wana jf mim ni kijana mweny umri wa miaka 23 nina girlfriend wangu naye anamiaka 23 ila amenipita miezi minne sasa ananiambia ananipenda ila tofauti ya umri kati yetu inampa shida sanaaa.naomba kujua tofauti ya age ina effect vpi mahusiano ya watu wawili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.