Recent content by zawadi91

  1. Z

    Baada ya CRDB kusitisha kutoa mikopo, NMB waanza kufuata nyayo!!

    Nikuulize wewe juzi tu nimeanza process za mkopo wewe unasema wamesitisha ndosielewii
  2. Z

    Usaili NIT

    Majina ya wale waloitwa kwenye interview yapo kwenye website ya NIT.
  3. Z

    Tb Joshua atabiri mambo makubwa

    [ttttt=Tabby;10478354]ni mwehu wewe? tyt Tttyjmtyffhhhyyhftjhae b bqsccxrfcttt. Nwn,qtf. B xtxl
  4. Z

    Shortlist BOT na President Delivery Bureau

    The guardian ya jana samahani kwa picha kukaa vbya
  5. Z

    kuitwa interview

    K-FINANCE ni kampuni iliyoko bongo na kama uliapply kazi kwenye hiyo kampuni wameanza kuita watu kwenye interview
  6. Z

    kuitwa interview

    wadau wa jf kwa wale walio apply kazi kfinance nasikia wameanza kuita frd of mine amepigiwa simu
  7. Z

    NIMEINGIA CHOO CHA KIKE. Msaada tafadhari.

    sasa ilitokea mtoto amezaliwa na mkaamua kupima DNA na majibu yakaja ni kweli huyo mtoto ni wako so ndo utapagawa kabisa
  8. Z

    Naomba msaada, natafuta kazi hata ya kujitolea(volunteers).

    pitia hapo http://www.zoomtanzania.com/ListingUploadedDocs/061213141501EMPLOYMENT_OPPORTUNITY-_TRAINERS.pdf
  9. Z

    kuitwa interview

    wale walioomba post ya system support precision leo tulikuwa kwenye writen interview pale ngozi
  10. Z

    msichana wangu ana umri mkubwa nifanyeje

    unaonyesha hata darasani ulikuwa unampa mwalimu wako shida sana. chuo nimemaliza na GPA nzuri nianayo sijakwambia nina shida ya kufaulu inaonekana unatatizo kwenye kusoma.
  11. Z

    msichana wangu ana umri mkubwa nifanyeje

    msaada wana jf mim ni kijana mweny umri wa miaka 23 nina girlfriend wangu naye anamiaka 23 ila amenipita miezi minne sasa ananiambia ananipenda ila tofauti ya umri kati yetu inampa shida sanaaa.naomba kujua tofauti ya age ina effect vpi mahusiano ya watu wawili.
  12. Z

    Kazi utumishi zinatoka lini?

    si kweli kaka juzi wametoa nafasi za kazi deadline ilikuwa tarehe 20 wewe hukuona au
Back
Top Bottom