Jamani wanajamvi huu ni mwezi wa nane, na mwaka wa serikali unaanza mwezi wa saba,tulitarajia kutakuwa na ajira mpya kutoka utumishi lakini mpaka ninapoandika hapa,kimya kimezidi, kazi wanazotoa ni za watu wa masters uzoefu miaka kumi! sasa najiuliza kwa sauti je sisi tuliosoma degree ya kwanza, certificate na Diploma hatuhitajiki? au ndiyo wameshapeana na ndugu zao? naombeni jibu.