NIMEINGIA CHOO CHA KIKE. Msaada tafadhari.

NIMEINGIA CHOO CHA KIKE. Msaada tafadhari.

na sasa ivi umeshalala nae? kuna wanawake watabe me ningemwachia geto nisepe....... wakerewe si wachawi labda alikuwa anakugonga usiku hujui....
 
Mwanaume wa ukweli hashikishwi mimba ambayo siyo yake! Demu hujachapa halafu anakusingizia na unakubali, utakuwa na matatizo kijana! Na usiku mnalalaje?! Cha msingi we mtimue hapo kwako na atakaemrudisha, awe mjomba, kaka, mama au baba we mtie shoka la kichwa! Uone kama watakuja tena. Be a man brother, you are no longer a boy!
 
Tatizo ni pale ulipokubali kuondoka naye kama mimba haikuwa yako kwa nini hukuzua varangati mpaka wajute kukuona,mrudishe ukawe tayari kupambana na lolote litakalotokea huko,lakini tangu aje kwako hujammega kweli?
 
Chapa lapa...kaangalie ustaarabu mwingine mbele ya safari. Majanga hayo
 
akiwa na majibu ya vipimo vya dna,itakua rahisi kwake kuwaelezea wazazi wa huyo binti kua hahusiki na ujauzito huo..itatumika kama uthibitisho
Hivi nyie mnaosema asubiri mtoto azaliwe ndo akapime DNA. Akili zenu ziko sawa sawa kweli?
Hivi Kama hujala chakula kwa siku mbili au tatu mfululizo chooni unaenda kufata nini?
Embu tumieni akili Kidogo.
 
Habari wa jf.?

Mimi ni mkazi wa mbinga /mkoani ruvuma kijiji cha kilimani, kwa sasa nipo mwanza kwa takribani mwaka mmoja sasa,najishughulisha na biashara ya mkaa.
Kwa muda nilio kaa mwanza nilibahatika kupata mpenzi ambaye alikuwa askari ,maarufu kama WP,alikuwa akifanyia kazi mapokezi/masijara mkoani kwa rpc mkoa mwanza,kiukweli nilimpenda sana haswa ukizinga tia kila katikati ya mwezi alikuwa ananipa tz 50000/=
hali ambayo ilifanya biashara yangu kukua kidogo,
laki mapenzi yetu hayakudumu sana kwani takriba miezi mi nne tu ,uhusiano wetu ulivunjika baada ya mimi kukamatwa kwa kosa la kuji fanya mtumishi wa umma(nili bambikiwa tu).
Wali dai najifanya askari police kwa kua natembea na askari wakike.
Kiukweli mara kaza mali asili walikuja kutaka kuzuia mkaa wangu lakini nili waambia kuwa ni wa mwenzenu wakawa wana ishia hivyo mara nyingine waliambatana na askari police walini kamata nahati maye kuniweka lock up kwa kosa hilo,,
lakini baadaye niliachiwa baada ya kuwaomba na kuwa ruhusu wazuie ule mkaa kwa upande wa mali asili.lakini kwa uapnde wa police yule dada alikuja kuni toa na kutaka mahusiano yetu yaishie hapo kwani ninge msababishia makubwa haliambayo ilinifanya ni ugue kichwa.sikua na jinsi ya kufanya na mtaji ulisha kata mkaa mali ya mali asili.
Hivyo niliishi kwa wadeni wangu,baada ya muda nilianza kujishughulisha biashara ya dagaa kidogo ina lipa huko visiwani ,nilipata habari kuwa yule askari amehamishiwa ukerewe kikazi lakini sikua na muda naye tena.
Mungu si athumani ,nilipata demu wa kikerewe tuka kubaliana kuoana, nika mwambia mungu akipenda imepita miezi miwili tu akaniam;bia nakuja huko mwanza mjini kwa ndugu zangu.nika mwambia nipo ukerewe ninge rudi siku ya pila ,kweli siku ya pila nika fanya hivyo nikiwa na furu wa kutosha kwaajili ya biashara,
alinipigia cm kuwa yupo buzuruga nikamwone kwa mama yake mdogo ,makazi ya ngu yalikuwa nyakato sokoni,ni mwendo wa dk 9 tu nimetua kwao mwananchi bzrg,nilipofiaka tu kwao nilipokewa nakukaribishwa vzr,chakushanga za nilikuta watu takribani 8 ,baada ya salamu ,mpenzi wangu akanitambulisha kuwa huyu ndiye muhusika anaitwa flani, akanitaja flani wawani nduguzangu huyu mama yangu mkubwa/alimwonyesha mama mmoja mwemba aliyeonekana kama anataka kulia kutokana na macho yake kuonekana kama ya me jaa maji,nahyu ni mjomba yangu ,alimonyesha mzee wa makamo ambe muda wote nimeingia alikuwa kashikiria sime,kabla sija iongea chochote ,mjomba alidakia,"😱KIJANA TUMEKUITA HAPA TUKUKABIDHI MZIGO WAKO,BINTI YETU UMEMPA UJAUZITO UNATAKA NANI AKU LLELE".?
Aliamuru nyanyukeni mwende .
Nilipo taka kuonge nilizuiliwa zaidi waliniambia kama una kataa tuna kuitia moto/walizozana kisukuma
tuliondoka;
KIUKWELI JAMANI TOKA NIACHANE NAYULE MPENZI ASKARI SIJA WAHI FANYA TENDO LANDOA NA DEMU YEYOYE HIVYO MIMBA NIMESINGIZIWA ,HAKIKA NAAPA MBELE YA MUNGU MIMBA SIO YANGU ,SIJA WAHI KABISA KU SEX NAYE JAMANI,JE NIFANYEJE NA DEMU NDO YUPO GETO .
?
NIME KWENDA USTAWI WAJAMII WAME NAMBIA MPAKA AJIFUNGUE NDO SURUHISHO LITAPATIKANA,?
SINA JIPYA,HAPA NAWAZA NIRUDI KWETU MBINGA,MAANA HATA YULE MPENZI ASKARI ANANITISHIA KWA MADAI KUWA NIME MROGA KAHAMISHIWA UKEREWE HIVYO BUTIMBA INA NIITA,
JE ,NIFANYEJE ,SOMETIMES ROHO YA KUJI NYONGA INA NIINGIA;RUVMA NILIAGA NAKWENDA KUTAFUTA MAISHA.

pole sana mkuu,ndio mitihani ya maisha,simama uzidi kupambana,hiyo roho ya kujinyonga usiipe nafasi.
 
Hivi nyie mnaosema asubiri mtoto azaliwe ndo akapime DNA. Akili zenu ziko sawa sawa kweli?
Hivi Kama hujala chakula kwa siku mbili au tatu mfululizo chooni unaenda kufata nini?
Embu tumieni akili Kidogo.

nmetengua kauli hapo chini mkuu...namshanga kwnn bado anakaa nae
 
sasa ilitokea mtoto amezaliwa na mkaamua kupima DNA na majibu yakaja ni kweli huyo mtoto ni wako so ndo utapagawa kabisa
 
Habari wa jf.?

Mimi ni mkazi wa mbinga /mkoani ruvuma kijiji cha kilimani, kwa sasa nipo mwanza kwa takribani mwaka mmoja sasa,najishughulisha na biashara ya mkaa.
Kwa muda nilio kaa mwanza nilibahatika kupata mpenzi ambaye alikuwa askari ,maarufu kama WP,alikuwa akifanyia kazi mapokezi/masijara mkoani kwa rpc mkoa mwanza,kiukweli nilimpenda sana haswa ukizinga tia kila katikati ya mwezi alikuwa ananipa tz 50000/=
hali ambayo ilifanya biashara yangu kukua kidogo,
laki mapenzi yetu hayakudumu sana kwani takriba miezi mi nne tu ,uhusiano wetu ulivunjika baada ya mimi kukamatwa kwa kosa la kuji fanya mtumishi wa umma(nili bambikiwa tu).
Wali dai najifanya askari police kwa kua natembea na askari wakike.
Kiukweli mara kaza mali asili walikuja kutaka kuzuia mkaa wangu lakini nili waambia kuwa ni wa mwenzenu wakawa wana ishia hivyo mara nyingine waliambatana na askari police walini kamata nahati maye kuniweka lock up kwa kosa hilo,,
lakini baadaye niliachiwa baada ya kuwaomba na kuwa ruhusu wazuie ule mkaa kwa upande wa mali asili.lakini kwa uapnde wa police yule dada alikuja kuni toa na kutaka mahusiano yetu yaishie hapo kwani ninge msababishia makubwa haliambayo ilinifanya ni ugue kichwa.sikua na jinsi ya kufanya na mtaji ulisha kata mkaa mali ya mali asili.
Hivyo niliishi kwa wadeni wangu,baada ya muda nilianza kujishughulisha biashara ya dagaa kidogo ina lipa huko visiwani ,nilipata habari kuwa yule askari amehamishiwa ukerewe kikazi lakini sikua na muda naye tena.
Mungu si athumani ,nilipata demu wa kikerewe tuka kubaliana kuoana, nika mwambia mungu akipenda imepita miezi miwili tu akaniam;bia nakuja huko mwanza mjini kwa ndugu zangu.nika mwambia nipo ukerewe ninge rudi siku ya pila ,kweli siku ya pila nika fanya hivyo nikiwa na furu wa kutosha kwaajili ya biashara,
alinipigia cm kuwa yupo buzuruga nikamwone kwa mama yake mdogo ,makazi ya ngu yalikuwa nyakato sokoni,ni mwendo wa dk 9 tu nimetua kwao mwananchi bzrg,nilipofiaka tu kwao nilipokewa nakukaribishwa vzr,chakushanga za nilikuta watu takribani 8 ,baada ya salamu ,mpenzi wangu akanitambulisha kuwa huyu ndiye muhusika anaitwa flani, akanitaja flani wawani nduguzangu huyu mama yangu mkubwa/alimwonyesha mama mmoja mwemba aliyeonekana kama anataka kulia kutokana na macho yake kuonekana kama ya me jaa maji,nahyu ni mjomba yangu ,alimonyesha mzee wa makamo ambe muda wote nimeingia alikuwa kashikiria sime,kabla sija iongea chochote ,mjomba alidakia,"😱KIJANA TUMEKUITA HAPA TUKUKABIDHI MZIGO WAKO,BINTI YETU UMEMPA UJAUZITO UNATAKA NANI AKU LLELE".?
Aliamuru nyanyukeni mwende .
Nilipo taka kuonge nilizuiliwa zaidi waliniambia kama una kataa tuna kuitia moto/walizozana kisukuma
tuliondoka;
KIUKWELI JAMANI TOKA NIACHANE NAYULE MPENZI ASKARI SIJA WAHI FANYA TENDO LANDOA NA DEMU YEYOYE HIVYO MIMBA NIMESINGIZIWA ,HAKIKA NAAPA MBELE YA MUNGU MIMBA SIO YANGU ,SIJA WAHI KABISA KU SEX NAYE JAMANI,JE NIFANYEJE NA DEMU NDO YUPO GETO .
?
NIME KWENDA USTAWI WAJAMII WAME NAMBIA MPAKA AJIFUNGUE NDO SURUHISHO LITAPATIKANA,?
SINA JIPYA,HAPA NAWAZA NIRUDI KWETU MBINGA,MAANA HATA YULE MPENZI ASKARI ANANITISHIA KWA MADAI KUWA NIME MROGA KAHAMISHIWA UKEREWE HIVYO BUTIMBA INA NIITA,
JE ,NIFANYEJE ,SOMETIMES ROHO YA KUJI NYONGA INA NIINGIA;RUVMA NILIAGA NAKWENDA KUTAFUTA MAISHA.
hivi akili umeiacha wapi?
moja unajua kabisa ukerewe ni wachawi kukaa naye ndoo kabisaa utapewa sijui ni nyama gani vile halafu ndoo mwisho wako utakua umefika wa kujitambua.
pili mwanamke si wako na mtoto pia si wako unakaa nae mikoa ya kutafuta hela imeisha? ukikaa hapo ndo mambo yako yameisha....Buriani mkuu
 
miezi tisa usiku na mchana na lea kisicho changu. Pili ni mtu nilieweka nae malengo ya ndoa, sijamzama lakini anasema mimba yangu!!! Ndio maana uvumilivu sio dini yangu. kha!
 
Tatizo ni pale ulipokubali kuondoka naye kama mimba haikuwa yako kwa nini hukuzua varangati mpaka wajute kukuona,mrudishe ukawe tayari kupambana na lolote litakalotokea huko,lakini tangu aje kwako hujammega kweli?

hata siku moja sija mla.
M
 
Muulize kiupole sana baba wa huyo mtoto ni nani na anakaa wapi alafu akikwambia funga safari uende ukamsalimie Kiume zaidi.
 
Doesn't exist in this world, hizi ni story za rfa kwenye kipindi cha sitasahau not real be serious Kiongozi.
 
nasepa...mkuu,sina chakusubiri.



Hivi unajisikiaje unapotunga habari?nadhani we mtu mzima,then kama ni mazoezi ya kujifunza kutunga hadithi sawa kwa unachokifanya ila kama ni kujiburudisha huo muda wa kutunga ungewaza kitu kizuri cha kufanya,Mwanza kuna fursa nyingi sana,kama un a shughuli ya kufanya ni pm jion uje SD exucutive lodge nikusaidie shughuli uweze kupata kipato cha kusaidia ndugu zako.
 
Kwaiyo we ulioogopa SIme? hahaaa Andaa laki 1 ya Nauli Bro utimke....ye akijinyonga huku nyuma juu yake
 
mm kilichonivutia hapo ni biashara naomba unitx kwa 0755279119 nahitaji kujua vitu flani kuhusu hiyo biashara ya mkaa na dagaa.otherwise fukuza hyo mbuzi
 
Rudi kwenu Mbinga ukalime tumbaku...
 
Back
Top Bottom