miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
na sasa ivi umeshalala nae? kuna wanawake watabe me ningemwachia geto nisepe....... wakerewe si wachawi labda alikuwa anakugonga usiku hujui....
kwa hiyo miezi 9 unagharamia kitu ambacho unauhakika sio chako...hakuna kusubiri,ishia fasta...
Hivi nyie mnaosema asubiri mtoto azaliwe ndo akapime DNA. Akili zenu ziko sawa sawa kweli?
Hivi Kama hujala chakula kwa siku mbili au tatu mfululizo chooni unaenda kufata nini?
Embu tumieni akili Kidogo.
Habari wa jf.?
Mimi ni mkazi wa mbinga /mkoani ruvuma kijiji cha kilimani, kwa sasa nipo mwanza kwa takribani mwaka mmoja sasa,najishughulisha na biashara ya mkaa.
Kwa muda nilio kaa mwanza nilibahatika kupata mpenzi ambaye alikuwa askari ,maarufu kama WP,alikuwa akifanyia kazi mapokezi/masijara mkoani kwa rpc mkoa mwanza,kiukweli nilimpenda sana haswa ukizinga tia kila katikati ya mwezi alikuwa ananipa tz 50000/=
hali ambayo ilifanya biashara yangu kukua kidogo,
laki mapenzi yetu hayakudumu sana kwani takriba miezi mi nne tu ,uhusiano wetu ulivunjika baada ya mimi kukamatwa kwa kosa la kuji fanya mtumishi wa umma(nili bambikiwa tu).
Wali dai najifanya askari police kwa kua natembea na askari wakike.
Kiukweli mara kaza mali asili walikuja kutaka kuzuia mkaa wangu lakini nili waambia kuwa ni wa mwenzenu wakawa wana ishia hivyo mara nyingine waliambatana na askari police walini kamata nahati maye kuniweka lock up kwa kosa hilo,,
lakini baadaye niliachiwa baada ya kuwaomba na kuwa ruhusu wazuie ule mkaa kwa upande wa mali asili.lakini kwa uapnde wa police yule dada alikuja kuni toa na kutaka mahusiano yetu yaishie hapo kwani ninge msababishia makubwa haliambayo ilinifanya ni ugue kichwa.sikua na jinsi ya kufanya na mtaji ulisha kata mkaa mali ya mali asili.
Hivyo niliishi kwa wadeni wangu,baada ya muda nilianza kujishughulisha biashara ya dagaa kidogo ina lipa huko visiwani ,nilipata habari kuwa yule askari amehamishiwa ukerewe kikazi lakini sikua na muda naye tena.
Mungu si athumani ,nilipata demu wa kikerewe tuka kubaliana kuoana, nika mwambia mungu akipenda imepita miezi miwili tu akaniam;bia nakuja huko mwanza mjini kwa ndugu zangu.nika mwambia nipo ukerewe ninge rudi siku ya pila ,kweli siku ya pila nika fanya hivyo nikiwa na furu wa kutosha kwaajili ya biashara,
alinipigia cm kuwa yupo buzuruga nikamwone kwa mama yake mdogo ,makazi ya ngu yalikuwa nyakato sokoni,ni mwendo wa dk 9 tu nimetua kwao mwananchi bzrg,nilipofiaka tu kwao nilipokewa nakukaribishwa vzr,chakushanga za nilikuta watu takribani 8 ,baada ya salamu ,mpenzi wangu akanitambulisha kuwa huyu ndiye muhusika anaitwa flani, akanitaja flani wawani nduguzangu huyu mama yangu mkubwa/alimwonyesha mama mmoja mwemba aliyeonekana kama anataka kulia kutokana na macho yake kuonekana kama ya me jaa maji,nahyu ni mjomba yangu ,alimonyesha mzee wa makamo ambe muda wote nimeingia alikuwa kashikiria sime,kabla sija iongea chochote ,mjomba alidakia,"😱KIJANA TUMEKUITA HAPA TUKUKABIDHI MZIGO WAKO,BINTI YETU UMEMPA UJAUZITO UNATAKA NANI AKU LLELE".?
Aliamuru nyanyukeni mwende .
Nilipo taka kuonge nilizuiliwa zaidi waliniambia kama una kataa tuna kuitia moto/walizozana kisukuma
tuliondoka;
KIUKWELI JAMANI TOKA NIACHANE NAYULE MPENZI ASKARI SIJA WAHI FANYA TENDO LANDOA NA DEMU YEYOYE HIVYO MIMBA NIMESINGIZIWA ,HAKIKA NAAPA MBELE YA MUNGU MIMBA SIO YANGU ,SIJA WAHI KABISA KU SEX NAYE JAMANI,JE NIFANYEJE NA DEMU NDO YUPO GETO .
?
NIME KWENDA USTAWI WAJAMII WAME NAMBIA MPAKA AJIFUNGUE NDO SURUHISHO LITAPATIKANA,?
SINA JIPYA,HAPA NAWAZA NIRUDI KWETU MBINGA,MAANA HATA YULE MPENZI ASKARI ANANITISHIA KWA MADAI KUWA NIME MROGA KAHAMISHIWA UKEREWE HIVYO BUTIMBA INA NIITA,
JE ,NIFANYEJE ,SOMETIMES ROHO YA KUJI NYONGA INA NIINGIA;RUVMA NILIAGA NAKWENDA KUTAFUTA MAISHA.
Hivi nyie mnaosema asubiri mtoto azaliwe ndo akapime DNA. Akili zenu ziko sawa sawa kweli?
Hivi Kama hujala chakula kwa siku mbili au tatu mfululizo chooni unaenda kufata nini?
Embu tumieni akili Kidogo.
hivi akili umeiacha wapi?Habari wa jf.?
Mimi ni mkazi wa mbinga /mkoani ruvuma kijiji cha kilimani, kwa sasa nipo mwanza kwa takribani mwaka mmoja sasa,najishughulisha na biashara ya mkaa.
Kwa muda nilio kaa mwanza nilibahatika kupata mpenzi ambaye alikuwa askari ,maarufu kama WP,alikuwa akifanyia kazi mapokezi/masijara mkoani kwa rpc mkoa mwanza,kiukweli nilimpenda sana haswa ukizinga tia kila katikati ya mwezi alikuwa ananipa tz 50000/=
hali ambayo ilifanya biashara yangu kukua kidogo,
laki mapenzi yetu hayakudumu sana kwani takriba miezi mi nne tu ,uhusiano wetu ulivunjika baada ya mimi kukamatwa kwa kosa la kuji fanya mtumishi wa umma(nili bambikiwa tu).
Wali dai najifanya askari police kwa kua natembea na askari wakike.
Kiukweli mara kaza mali asili walikuja kutaka kuzuia mkaa wangu lakini nili waambia kuwa ni wa mwenzenu wakawa wana ishia hivyo mara nyingine waliambatana na askari police walini kamata nahati maye kuniweka lock up kwa kosa hilo,,
lakini baadaye niliachiwa baada ya kuwaomba na kuwa ruhusu wazuie ule mkaa kwa upande wa mali asili.lakini kwa uapnde wa police yule dada alikuja kuni toa na kutaka mahusiano yetu yaishie hapo kwani ninge msababishia makubwa haliambayo ilinifanya ni ugue kichwa.sikua na jinsi ya kufanya na mtaji ulisha kata mkaa mali ya mali asili.
Hivyo niliishi kwa wadeni wangu,baada ya muda nilianza kujishughulisha biashara ya dagaa kidogo ina lipa huko visiwani ,nilipata habari kuwa yule askari amehamishiwa ukerewe kikazi lakini sikua na muda naye tena.
Mungu si athumani ,nilipata demu wa kikerewe tuka kubaliana kuoana, nika mwambia mungu akipenda imepita miezi miwili tu akaniam;bia nakuja huko mwanza mjini kwa ndugu zangu.nika mwambia nipo ukerewe ninge rudi siku ya pila ,kweli siku ya pila nika fanya hivyo nikiwa na furu wa kutosha kwaajili ya biashara,
alinipigia cm kuwa yupo buzuruga nikamwone kwa mama yake mdogo ,makazi ya ngu yalikuwa nyakato sokoni,ni mwendo wa dk 9 tu nimetua kwao mwananchi bzrg,nilipofiaka tu kwao nilipokewa nakukaribishwa vzr,chakushanga za nilikuta watu takribani 8 ,baada ya salamu ,mpenzi wangu akanitambulisha kuwa huyu ndiye muhusika anaitwa flani, akanitaja flani wawani nduguzangu huyu mama yangu mkubwa/alimwonyesha mama mmoja mwemba aliyeonekana kama anataka kulia kutokana na macho yake kuonekana kama ya me jaa maji,nahyu ni mjomba yangu ,alimonyesha mzee wa makamo ambe muda wote nimeingia alikuwa kashikiria sime,kabla sija iongea chochote ,mjomba alidakia,"😱KIJANA TUMEKUITA HAPA TUKUKABIDHI MZIGO WAKO,BINTI YETU UMEMPA UJAUZITO UNATAKA NANI AKU LLELE".?
Aliamuru nyanyukeni mwende .
Nilipo taka kuonge nilizuiliwa zaidi waliniambia kama una kataa tuna kuitia moto/walizozana kisukuma
tuliondoka;
KIUKWELI JAMANI TOKA NIACHANE NAYULE MPENZI ASKARI SIJA WAHI FANYA TENDO LANDOA NA DEMU YEYOYE HIVYO MIMBA NIMESINGIZIWA ,HAKIKA NAAPA MBELE YA MUNGU MIMBA SIO YANGU ,SIJA WAHI KABISA KU SEX NAYE JAMANI,JE NIFANYEJE NA DEMU NDO YUPO GETO .
?
NIME KWENDA USTAWI WAJAMII WAME NAMBIA MPAKA AJIFUNGUE NDO SURUHISHO LITAPATIKANA,?
SINA JIPYA,HAPA NAWAZA NIRUDI KWETU MBINGA,MAANA HATA YULE MPENZI ASKARI ANANITISHIA KWA MADAI KUWA NIME MROGA KAHAMISHIWA UKEREWE HIVYO BUTIMBA INA NIITA,
JE ,NIFANYEJE ,SOMETIMES ROHO YA KUJI NYONGA INA NIINGIA;RUVMA NILIAGA NAKWENDA KUTAFUTA MAISHA.
Tatizo ni pale ulipokubali kuondoka naye kama mimba haikuwa yako kwa nini hukuzua varangati mpaka wajute kukuona,mrudishe ukawe tayari kupambana na lolote litakalotokea huko,lakini tangu aje kwako hujammega kweli?
nasepa...mkuu,sina chakusubiri.
hata siku moja sija mla.
M
ansema ukoo wao anaujua,hawezi ondoka liwalo na liwe.