Ni lazima kujiandaa kisaikologia kwa majibu yote yatakayotolewa kwa upande wa Lema. Kwa vyovyote vile hukumu ya awali iliyokuwa inakanganya itanyooshwa na kuwa na mtiririko mzuri. Na hiyo itakuwa ni ushindi tosha.
Du! Hadi Kyaka Bulifani kumekucha? Huko kwa mbunge mama Mshana wa magamba aliyepita bila kupingwa wananchi wake wameanza kuona mwanga! Rwakatare ukiwa na mbunge wa viti maalum wa CDM Rwamulaza piga kambi huko hadi mpakani bubare kwenye mgogoro mkubwa wa ardhi watu waamshwe na kuona mwanga wa...
Wana JF, habari
Ni taarifa za kuaminika kuwa EL atakuwa mgeni rasmi katika harambee ya ujenzi wa kanisa katoliki Kyela mjini mwezi April mwaka huu. Chanzo cha habari kinadai kuwa harambee hiyo ilikuwa imepangwa kufanyika Dar lakini yeye EL akadai ni muhimu kuifanyia huko site. Habari ndoo...
Jamani inastua na kuumiza moyo. Sisi tulikupenda lkn Mungu amekupenda zaidi. Umpe ee Bwana raha ya milele na mwanga wa milele umuangazie, kwa mastahili ya mema aliyotenda akiwa bado dunia hii ukampatie mahali pa mwanga, faraja na amani, Amina.
Nnjii hii!! kila mwenye kupata nafasi anajitahidi kufanya kutuko ambacho historia itamkumbuka. Mama huyu naye kaona mahakama hii ni sehemu ya kukumbukwa kwake miaka ijayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.