Kila la kheri Kamanda LEMA

Kila la kheri Kamanda LEMA

Tuombe Mungu, haya mambo hayatabiriki, mimi kwa kusikia, nasisitiza kwa kusikia jinsi kesi ilivyoendeshwa nina imani Lema atashinda, ila chochote kinaweza kutokea hivyo inabidi tumwombe Mungu. Kinachoniudhi CDM ni migogoro isiyoisha, hivi, mtego mdogo kama wa Wassira mmeshindwa kuutegua? Hii serikali haiwezi hata kufanya jambo lolote la maana, mfano kuua, inaishia kung'oa meno, inaweza kweli kununua watu makini kama wa CDM?
 
Kwa jinsi mwenendo wa kesi ulivyo kuwa hata asieijua sheria atampa ushindi lema .lakini kwa hali ya hizi mahakama zetu zilivyo ,lolote linaweza kutokea.
 
All the best Lema. Haki itatendeka dua zetu ziko kwako.:nimekataa
 
Maamuzi yatasaidia kumaliza haya majungu yanayoendelea. Kila la heri Lema.
 
may God have mercy on you.
"da voice of voicelessed people"

Come what may, we will not be going away from your firm stand in fighting for other people's rights dat seem to have been grabbed by da hands of few minority leaving da majority under extreme poverty through their political dynasties.
Go Kamanda Lema!!,go....,gooo, goo!
 
cku zote haki ya m2 aipotei bali inacheleweshwa ma2main yang atashinda na kupokelewa kishujaa a town mungu mbarik kamanda lema
 
Hata ladha imeharibika, kisa wana CDM watakaofika mahakamani leo watakuwa wanaogopana wao kwa wao. Sasa ndio nini hii? Yani kiongozi mkubwa kama JULIANA SHONZA anataja mambo ya kanda! ! Huu ni ujinga. Mimi nitatafuta namnagani tu ya kukisaidia CDM kwa level yangu. Hakuna kumwamini mtu hiki kizazi.
 
I never trust dreams but last night's dreams, I convience myself to believe them Jion ntakuwa KIA kumpokea mbunge wangu LEMA kwani anarudishiwa ubunge wake. Naomba Yericko Nyerere & CO mtujulishe hatua kwa hatua kama mlivyofanya last time. VIVA CDM!
 
Last edited by a moderator:
masalia leo watashinda kwa mganga wao kuwanga! mfyuuuuuuu Zitto na vibaraka wenzie!
 
Last edited by a moderator:
wana wa arusha wanasubiri kwa hamu!
Vyovyote itakavyokuwa atapokelewa kama shujaa.tumeandaa ndege ya kumrudisha kamanda nyumbani!
Ni kweli tuko tayari kwa kila kitu...jimbo hatuliachii hata wafanye fitna namna gani Lema ni wetu na Chadema na Arusha ni kitu kimoja!
All the best Kamanda Lema!
 
masalia leo watashinda kwa mganga wao kuwanga! mfyuuuuuuu Zitto na vibaraka wenzie!
Tena Zitto nimemvua heshima zake namuona hata hiyo elimu yake ni km imemuongeza MAJI kichwani yan kazidi kuwa kilaza hata harafakari tena anafanya mambo ya kipuuzi wakati watanzania tuko serious na mabadiliko. Simpendi tena na laana ya wanyonge imwangukie tu
 
Last edited by a moderator:
Hivi Jaji Mkuu is atakuwa kesharudi toka safari ya India maana last session alijitoa akidai anasasafari
 
Ni lazima kujiandaa kisaikologia kwa majibu yote yatakayotolewa kwa upande wa Lema. Kwa vyovyote vile hukumu ya awali iliyokuwa inakanganya itanyooshwa na kuwa na mtiririko mzuri. Na hiyo itakuwa ni ushindi tosha.
 
Back
Top Bottom