Watanzania waone hivi hivi ila ni hatari hata zaidi ya watu wa burundi watakupiga na maneno utanyooka mwenyewe chezea tz awezi hata afanye nn awezi hizo ni ndoto
Bohari anajua shìda alizopata akiwa mpinzani na wa senagal hivyo hivyo kwa sababu walikuwa wapinzani katika hali ya kawaida mnadhani wangekubali barro asipewe madaraka yake tena ambayo yametokana na wananchi? Hilo lisinge tokea lazima wapinzani hawa waliopata madaraka kwa shida wangemsaidia...
Hii kesi lema na mke wake watashinda nalisema hapa hili leo mtarudi hapa hapa kusema kweli nilisema akuna hakimu atakaye toa hukumu kwa kesi kama hii ya kumfunga mtu.
Mungu ni mwema zidi ya uonevu
Saizi ukiingia playstore fake software ziko nyingi sana ambazo unaweza zitumia kutuma sms kwenda kwa mtu na akapokea ujumbe ukaonekana umetoka kwa mtu unaye mfahamu ziko nyingi sana kwa hiyo siwezi shangaa vodacom wakashindwa kuthibitisha hili mahakamani tena mimi niwashauri mawakili wa lema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.