Yaani mawazo ya wengi humu yanaonyesha udanganyifu kwenye mahusianao hasa kwasasa.ni jambo la kawaida kwaiyo jamaa asijisumbue kuutafuta ukweli... Ha ha ha jamni acheni woga na ujinga sio wa lazima. Unaporaka.kua na uhakika na jambo ni lazima ulifanyie utafiti/uchunguzi ndipo utoe majibu au...
Japo mkuu huu mkobs umeubeba mahali kama ulivyo Kakini hata mimi naungana na wewe hawa magaidi wa hamas lazima wafutwe kwenye uso wa dunia. Mungu ibariki israel na watu wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.