Acha ujinga kama kasoma masomo yenye uhitaji uchukuli wa history ili iwaje
Au kama ana miaka 40 wakuchukue ww 30 kaa kwa kutulia wakati wako ukifika kila kitu kitakuwa sawa
Kabisa bora vijana waelewe now mtu akiwa na uhakika wa hela ya kula anaanza kuwasumbua wanaotafuta ajira ili kujiona boss, hajuw hata hiyo nauli watu kupata ni mtihani
Mshenzi tyuu umenitupia nauli yangu wewe si bira ungejituliza tyuu kipindi wantafuta kujifanya kuna nafasi kwenye kampuni yenu thn wanisumbua kwenda kwenye ofisi za watu kumbe waongoo sheenz
Ni wapumbv tyu, kuna siku niliandka natafuta kazi huyu mtu akanicheki niende ofisni kwao, sasa wakanambia watanicheki, akanitafuta kunambia natakiwa kuanza nichukue barua ya uthibitisho wa mtaa na mdhamini nikatafuta namwambia tayari analeta habari za kishamba aisee nahisi ni wahuni tyuuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.