Naona wamemshutukia.... Lakini dhambi hili ya ubaguzi haitawaacha salama.... Tujipe muda.... Mwigulu hana hata cha URAISI na hawezi kuwa Raisi anafanya Siasa ya ukuwadi tuu, ccm kazi wanayo.... Wataogopa hadi kivuli Chao. Looh!
Leo Sitta, Samia Suluhu na maharamia wengine wanasherehekea kama walevi ushindi wa muda mfupi walioupata kwa njia za kiharamia ikiwemo kwa kuwashinikiza na kuwarubuni baadhi ya wajumbe kuhalalisha rasimu haramu. Andrew Chenge aliyetajwa kwenye orodha ya mafisadi (list of shame) ndiye...
chadema iko imara kuliko miaka 10 iliyopita ccm na watoto wao kwa vile hawaoni mikutano ya hadhara wala maandamano ndiyo wanajidanganganya chadema inakufa. Kelele hazishi humu jf
Watafute jengine sasa maana njia yao kuu ya kutu divide ili washinde kwa kukomalia propaganda ya UDINI. moja ya faida za UKAWA umetusaidia kupunguza hisia za UDINI zinazopandikwizwa na Misukule ya MAGAMBA kati ya CHADEMA na CUF na UKAWA walipotoa TAMKO la kuendelea mpaka UCHAGUZI MKUU...
Kina Nape waligawana mihela juzi,, wewe Shonza ulipewa ngapi???
Nitajie wapinzani wangapi walionunuliwa na CCM na wapo mpaka leo katika ulingo wakisiasa,, we mwenyewe siku zako zinahesabika kutupwa kama fagio la chooni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.