Recent content by Zadiel

  1. Z

    GE2020 Hivi nawaza ikatokea Membe akagombea kupitia CHADEMA 2020

    Sifikiri kama nitapiga kura nipoteze muda. Hata upinzani ushinde watachukua kibabe majimbo na nchi. Bora nikahangaike kwenye kutafuta chochote Sent from my iPhone using JamiiForums
  2. Z

    Ushauri: Abdul Nondo tekeleza hili jambo haraka sana

    Miaka kumi sio ming Abdul atakuwa na miaka 33. Sasaivi Imebaki miaka 8 tu
  3. Z

    Kama uchaguzi wa Kinondoni/Siha ulikuwa na dosari, kwanini upinzani haukwenda Mahakamani?

    Kaka jitambue zama zimebadilika. Kama hutakiwi na CCM hawakutetei so yule Mzee hawamtaki tena ingekuwa Wa kutakiwa angeshinda tu
  4. Z

    Jenerali Ulimwengu na familia yake wamtembelea Lissu Nairobi

    Lissu Mungu anamuimarisha sure Jamaa akitoka hospital utaona atakavyokuwa mwepesi na rahisi kutamka lolote. Mwili utarudi ujanani zaidi na kuwa hatari zaidi kisiasa. Viva Tanzania Viva Lissu.
  5. Z

    Umri Elekezi wa Mastaa wote Wa Bongo..!

    Ukweli unauma
  6. Z

    Umri Elekezi wa Mastaa wote Wa Bongo..!

    Hivi kweli wasanii wetu wanalingana na Uhuru Kenyatta? Acheni masihara ya kupoteza muda hapa.. Twendeni kwenye majukumu
  7. Z

    Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe?

    Mimi sio Mzanzibari. Nipo Mwanza na Mimi ni Mkristo. Sijaangalia udini wala ukabila kwenye hili. Nimeangalia moyo.
  8. Z

    Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe?

    Pascal Njaa ( Mayala) huwa nakuelewa sana. Katuka kila post zako nimetafuta biasness nimekosa kabisa.. Huwa unatuliza kichwa sana. Jamaa (Makame) ni Mtu mwenye Hekima sana, msikivu, msomi mzuri na asie na upendeleo wowote katika awamu Hii japo ni ngumu ila jamaa hajabadilika.
  9. Z

    Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

    Yaani mi nasikitika Jinsi mawazo ya watu wengi yanavyopuuzwa.. Nasema gharama ya kubomoa tu unajengea Nyumba majirani Wa Tanesco wote.. Sasa Kwa nini tutumie Nyundo kumuua Mende.?? Wawaite watu watengeneze mji kulingana na Natural features tulizonazo.. Askari monument inaweza kuhamishwa lakini...
  10. Z

    Vifaranga vya kuku 6,400 vyateketezwa kwa moto baada ya kukamatwa vikiingizwa nchini kinyume na sheria kutoka Kenya

    Vitakuwa vya mwanasiasa flani labda.. Maana wanaandamana wao Kwa wao. Roho hizo hazikuwa na Hatia Dah
  11. Z

    Wazee wa baraza wasema 'Lulu' ameua bila kukusudia, Jaji kutoa hukumu Novemba 13

    Ukiwaona Ditopile Mzzr alipata adhabu gani?
  12. Z

    Tundu Lissu: Aliyevunja Mkataba wa ESCEL ni rais Magufuli

    Halafu mtumishi Wa umma anasubiri daraja lipande, increments za July, na malimbikizo yalipwe mtakufa maskini nyie amkeni, fanyeni biashara ndogo ndogo kujikwamua. Halafu serikali ipunguze kidogo kuwabana watumishi maisha yapo juu na miaka 2 sasa no increments kwenye salary duh... Sent using...
  13. Z

    Siku 120 gerezani Uyui: Magereza zimejaa mahabusu na wafungwa kupitia sheria mbovu

    Shida hii Dini huwa wanadhani kufia dini ni haki mbele za Mungu, na kuwaona wengine makafiri. Pole ila uache ujinga ishi na with wote bila kurank Kwa dini yake. Sisi wakristo tunawapenda sana Waislamu Ila Nyie mnatutusi kila mahubiri yenu. Kweli hilo mlilofanya ni kosa maana mnajenga jamii ya...
Back
Top Bottom