tunatumia AD na BC sababu ni mfumo wa calendar ulioanzishwa na WARUMI na kusambazwa katika utawala wao ambapo ni modern Britain , Germany ,France, Italy ...nk..
hivyo huo mfumo unatumika sababu ya ukoloni. mataifa yaliyoweza kuunda calendar zao mf. CHINA , ETHIOPIA , hata wanamfumo tofauti ila...
Unavyoquote barua za biblia kama moral highground inaonyesha tayari huwezi fikiri nje yake.
Heshima ya utawala bora haitoki kwa mungu bali hutokana na serikali kuwa na maslahi sawa na majority ya raia.
Kuheshimu utawala kisa hadithi za biblia ni namna yakucontroll watu wasitetee haki na...
ndo serikali yetu ya sasa . wanamquote mungu kila sekunde wapatayo while wana abuse human rights and their constitutional powers , at the same time wamewaconvince a large group of people that they are doing it for the good of the country.
And they are succeeding because of people's prayers.. ...
kuna clear difference in critical thinking kati ya wanaotheorize mungu yupo na hayupo. baada yakusoma hoja zote utaconclude, mungu hayupo kama una reasoning IQ above average.
kwanza hapo zamani babu zako walitembea nusu uchi, kwaiyo mlegezo na sketi fupi ni upgrade.
pili wazee wako waliamini miungu mbali mbali na jamii nyingine zilitoa kafara za watu ili mvua inyeshe ,hakuna tofauti yao na wewe sababu wote hamjajiuliza nje ya ulichofundishwa.
pia kuna scientific...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.