ZACK FINANCE-BUNJU B tunapenda kuwafahamisha kuwa tutatoa UWAKALA kama ifuatavyo;
1.SILVER AGENT-Hawa ni wale mawakala(MEMBERS) wadogowadogo ambao hawana ofisi(frame) ambao watakuwa wanapewa faida ya 5% kutokana na wateja watakao waleta na kuwadhamini ili wapewe mkopo nasi
2.BRONZE AGENT-Hawa...
sisi ni kampuni ya inayohusika na mambo ya micro credit nainaitwa ZACK FINANCE, tumeisajili mwaka 2010 Tanzania kwa reg no 211495 na business licence no B 01372100 na tupo BUNJU B karibu na UPENDO DISPENSARY DSM.
Habari wadau wa JAMII FORUM,
ZACK FINANCE-BUNJU B, DSM inayoshuhulika na MICRO-CREDIT yenye reg no 211495 ya mwaka sept 2010 tunapenda kuwafahamisha kuwa tunatafuta MAWAKALA ambao watakuwa wanatusaidia na kushirikiana nao katika shughuli zetu mbalimbali za MICRO FINANCE(UTOAJI WA MIKOPO), hii...
Je?
Ulishawahi kufikiria au kuwa na mawazo ya kufanya biashara ya microfinance(kushughulika na utoaji wa mikopo) ila hauna utaalamu huo, mtaji wa kutosha au muda wa kufuatilia biashara hiyo?
Tufuate kwenye facebook(zackfinance) na utumie email yako na share ujumbe huu kwa rafiki zako ili...
Je?
Ulishawahi kufikiria au kuwa na mawazo ya kufanya biashara ya microfinance(kushughulika na utoaji wa mikopo) ila hauna utaalamu huo, mtaji wa kutosha au muda wa kufuatilia biashara hiyo?
Tufuate kwenye facebook(zackfinance) na utumie email yako na share ujumbe huu kwa rafiki zako ili...
HI WADAU WA JF,
RAIS KIKWETE KUHUTUBIA LEO 19/12/14 NINI MAONI YAKO?
CHANZO CHA HABARI;Rais Kikwete kuhutubia taifa leo - Mtanzania-Gazeti la Kiswahili la ...
niqqas quote tumehamia BUNJU B kwenye jengo letu! kumbe unatufahamu ni kweli tulianzia ILALA, BOT ref FD. 349/442/01 kutoka microfinance supervision dept(DIRECTORATE OF BANKING SUPERVISON)
kukujibu swali lako la email! BOT(directorate of banking supervision) wanachotaka waone ni mchanganuo wako wa biashara, brela doc, Bank statement(6 months), CV za owners etc pia wanakuja kukagua ofisi yenu! then unapewa barua copy inaenda wizara ya viwanda na biashara! ndio unapewa leseni! na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.