Recent content by Zack

  1. Zack

    Moses Kulola, Askofu Mkuu wa Makanisa ya EAGT afariki dunia

    Rest in peace man of God,uliwasaidia wazazi wetu kumjua mungu.
  2. Zack

    Source ya ndoa: upendo au kipato

    @ Blaine Sawa kaka lakini ujajibu swali,je ni upendo ama ni pato.
  3. Zack

    Source ya ndoa: upendo au kipato

    Weekend hii mida ya jioni tukiwa tunajiaandaa kwenda kwenye part ya harusi ya rafiki yetu ndipo mada hii ilipozuka na kutuchanganya wadau. Baadhi yetu tukasema upendo ndio chanzo kikuu cha ndoa lakini tulipata upinzani mkali toka kwa upande mwingine wakisema kipato ndio chanzo cha ndoa. Hoja...
  4. Zack

    Wabeba Box Wengi Wakirudi Wana Make Things Happen Nyumbani! Tofauti na Wahapahapa!

    Hii mada ni kweli kabisa. Kuna rafiki yangu namfahamu alikuwa anapiga box usa,alifanikiwa mpaka kuoa na kupata familia huko. For some reason alijimix na fbi then akawa deported back to bongo. Cha kushangaza alipokuja bongo due to his savings alizofanya kipindi anapiga box plus exposure jamaa...
  5. Zack

    Msaada: mashine ya kukamua asali

    Unalipa vizuri tuu kama ukiwa na asali nzuri na wateja wakaikubali.
  6. Zack

    Msaada: mashine ya kukamua asali

    Nimejaribu fika sido lakini hawana mashine hizo. Nilienda kuwa consult kwenye maonyesho ya sabasaba.
  7. Zack

    Halima mdee ndani ya changanyikeni

    Katika kampeni za uchaguzi wa serikali za mtaa -aongelea tatizo la maji na stage iliyofikia katika kutatua tatizo
  8. Zack

    Vodacom Acheni Uhuni

    kuna uhuni umeanza voda,me pia nimeweka salio ya buk 2,nikajiunga na cheka nao ya siku,nimepiga simu kwa watu wawili maongezi yasiyozidi dakika kumi kwa jumla mara salio langu halitoshi.
  9. Zack

    Picha/VIDEO: Msichana wa Kitanzania aliyekamatwa na Unga huko Misri kunyongwa Ijumaa 07, Juni 2013

    Sasa hayo madawa katoka nayo hapa tz ama,je kama ni hapa tz hizo authority hazikuweza detect madawa ama?
  10. Zack

    Nimeamini kwamba gari ndio uchawi mkubwa unaowatesa wanawake.

    Me nadhani ishu hii ni zito na ina ukweli,kama we kijana ukiwa una girl wako na hauna ghari si dhani kama as u utakuwa na amani coz mwenye ghari anaweza kukupiku muda wowote either pasipo we kujua ama ukajua lakini ukashindwa na uchawi wa mzungu.
  11. Zack

    TANZIA: Dr. Ferdinand Masau wa Tanzania Heart Institue afariki dunia

    May his soul rest in peace
  12. Zack

    Msaada: mashine ya kukamua asali

    Niko mkoa wa morogoro,mjini
  13. Zack

    Tahadhari na vikao bubu

    Tahadhari kwa wale mnaudhuria vikao bubu vya serikali za mtaa,hii ni baada ya mwenyekiti kumpiga mjumbe mmoja mtama kima cha ndama na kumfanya mjumbe huyo kuwahishwa hospitali akiwa ajielewi,hii ni baada ya kupinga mahesabu ya mwy/kiti. Ushauri; jihami na bodyguard kwenye vikao vya mahesabu.
  14. Zack

    Msaada: mashine ya kukamua asali

    Mimi ni mfugaji nyuki,nimekuwa nikitumia njia ya kawaida ya kukamua masega ya nyuki ili kupata asali. Nahitaji mashine ili niweze kuwa bora zaidi kwenye utengenezaji wa asali basi kwa yule anayefahamu zinapoatika na bei zake naomba anisaidie information. Natanguliza shukrani.
Back
Top Bottom