Recent content by Zack Abdul

  1. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Nukuu za Rais Samia akifungua mradi wa mabasi yaendayo haraka, awamu ya pili BRT

    NNUKUU ZA MHE RAIS AKIFUNGUA MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA, AWAMU YA PILI BRT II
  2. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Tanga Regional Energy Hub: Mradi wa Bilioni 20 USD

    Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, leo wameshuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU) wa mradi wa Tanga Regional Energy Hub, unaojumuisha ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi (refinery) chenye thamani ya Dola za Marekani bilioni 20 (zaidi ya...
  3. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Uhifadhi wa mazingira wapewa kipaumbele katika mradi wa bomba la mafuta la EACOP

    Mshauri wa Masuala ya Mazingira katika Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP)Ester Ibrahim Shemdoe, amesema mradi huo umeweka kipaumbele katika ulinzi na uhifadhi wa mazingira kwa kuzingatia sheria na viwango vya kitaifa na kimataifa vya mazingira. Akizungumza kuhusu...
  4. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Jifunze Taratibu za Kuasili Mtoto (Podcast)

    Pata elimu juu taratibu za kuasili mtoto nchini Tanzania (Child Adoption), 👶🏽sikiliza MAELEZO PODCASTS 🎙️Tunapatikana katika audio channel zote 📌 https://open.spotify.com/episode/6KZNCZnEwTcFxgCQNR0hM0?si=2BlFR_VgT2inuUbeL6U4zw&utm_source=copy-link
  5. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Heche Ahojiwe, Hakuna Kinga kwa Ufisadi

    CHADEMA kuna fukuto la ufisadi linaendelea dhidi ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho John Heche. Hili naomba tuliweke sawa, katika siasa, hakuna kiongozi anayepaswa kupewa kinga dhidi ya maswali au kuwajibishwa kwa sababu ya umaarufu wake. Madai ya matumizi mabaya ya fedha yaliyoibuliwa dhidi...
  6. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania JINSI "UMIMI -MAKUNDI" YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA 2025:BUNDI SASA ASHUKA KANDA YA MAGHARIBI.

    Kabla ya Mgogoro wa chini kwa chini kati ya aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Uongozi ya Nyasa-Chadema Mchungaji Peter Msigwa dhidi ya Mwenyekiti wa Kanda hiyo wa sasa Ndugu Osmund Mbilinyi (Sugu) kutatuliwa,kumeibuka mgogoro mpya ndani ya Kanda ya Magharibi. Mwenyekiti wa Chadema hicho...
  7. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Aggrey Mwanri ateuliwa Kuwa Naibu katibu Mkuu wa CCM, RC Chacha kuwa Katibu wa Oganaizesheni CCM

    Chama Cha Mapinduzi kimeng'oa na kuteua viongozi wengine. ■Ni maamuzi mazito kikao cha NEC Zanzibar ■Aggrey Mwanri achukua nafasi ya Mongella ■RC Chacha kushika nafasi ya Issa Haji Ussi #KazinaUtu #TunasongaMbele
  8. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania EACOP Tanga: Ghati la Mafuta Lazingatia Mazingira

    Dkt. MABULA: Ujenzi wa ghati kwenye Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) Mkoani Tanga umezingatia uhifadhi wa mazingira ya bahari na viumbe hai Mradi wa EACOP umejenga ghati (jetty) la urefu wa takribani kilomita 2 Chongoleani, Tanga, Tanzania. Katika maelezo yake Dkt...
  9. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Dkt. Samia aongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, Zanzibar, Julai 2, 2026

    Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichofanyika mapema leo mjini Zanzibar.
  10. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia asisitiza Mawaziri kutoa Taarifa Sahihi kwa Wananchi

    ✓Asisitiza taarifa sahihi kwa wananchi ✓Afunguka mageuzi ya uchumi, huduma ✓Aeleza mafanikio ya serikali Bara, Z'bar
  11. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Elimu ya bure kuhusu ugaidi

    Dr. Zack Ilemela, Mwanza. Hivi karibuni kumezuka mjadala mkubwa mitandaoni kuhusu kukamatwa kwa watanzania mbalimbali wakihusishwa na KESI za UGAIDI katika maeneo mbalimbali ya Tanzania. Kumekuwepo kwa nguvu kubwa kutoka kwa wanaharakati na wanasiasa wakipinga/kukosoa/kubeza na hata...
  12. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania CCM ni Taasisi kubwa haiishiwi watu

    CCM ni chama imara na siku zote huwa kinapima viongozi kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya kesho, sio kwa ajili ya kelele za leo. Kila mkutano wa Halmashauri kuu unapokaribia huwa kuna sauti nyingi zinaibuka. Kadiri mikutano mikubwa ya chama inavyokaribia, ndivyo uvumi huzidi na kuongezeka na...
  13. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Dkt. Samia aacha alama kwa watu

    Kaya 470,195 zilizokuwa masikini wa kutupwa, zaaga umasikini, zajitegemea Watu wanaomiliki makazi bora nao waongezeka, fedha TASAF zikiongezwa Ni mwendelezo hatua za kusaidia familia masikini hadi kwenye elimu ya juu
  14. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Maarifa ya Hisa, Hati Fungani: Sikiliza Podcast

    Elimu ya Hisa, Hati Fungani, Uwekezaji n.k. 🎙️ Sikiliza MAELEZO PODCASTS — Tupo kwenye audio channels zote 📌 Spotify: https://open.spotify.com/episode/5zCZZAV4Y6Hk5HMOGUKJ2D?si=-u-CP6feSeWM2JN-yMuHyQ&utm_source=copy-link Apple Podcasts...
Back
Top Bottom