Recent content by Zack Abdul

  1. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Libya yakamata dawa za kulevya zenye umbo la Gadafi

    👉 Maafisa wa usalama nchini Libya wamekamata shehena kubwa ya dawa za kulevya. 👉 Takribani vidonge 100,000 vimekamatwa katika operesheni hiyo. 👉 Kinachovutia zaidi ni umbo la vidonge hivyo. 👉 Vimetengenezwa kwa mfano wa uso wa aliyekuwa Rais wa Libya, Muammar Gaddafi. 👉...
  2. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: Mfumo mpya wa ununuzi pamba ujulikane ndani ya mwezi mmoja

    Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amemuagiza Waziri wa Kilimo kukutana na wadau wa zao la pamba na ndani ya mwezi mmoja kuwasilisha mapendekezo ya mfumo bora wa ununuzi wa pamba utakaowanufaisha wakulima na kuendeleza uzalishaji wa zao hilo. Ametoa agizo hilo leo, Jumatatu Septemba 14, 2026...
  3. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Adui Anamlipia Heche Matibabu India?

    👉John Wegesa Heche na ndugu yake Emmanuel Chacha Heche walikwenda matibabu India kwa gharama za watu mnaowaaminisha ni wabaya. Mtu akiwa mbaya angewamalizia Heche na ndugu yake India wakati wa matibabu yao. 👉Heche na familia yake wanaendelea kupata matibabu huku wakiwadanganya Watanzania kuwa...
  4. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ikiendelea kuwasikiliza Wanaharakati uchwara itakula kwao

    Mjadala unaoendelea kuhusu Godbless Lema kutuma salamu za pole kwa Rais Samia Suluhu Hassan, kufuatia msiba wa mumewe unaonyesha tofauti kubwa kati ya msimamo wa chama na misukumo ya baadhi ya wanaharakati. Lema amekumbana na matusi na lawama nzito kutoka kwa baadhi yao, wakiona kitendo hicho...
  5. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amjibu Lema, mlipokuwa mnatuomba tone tone hamkujua kuwa sisi ni "Makey board warriors"?

    Socialite Mange Kimambi has demanded that CHADEMA return the contributions she made through the Tone Tone campaign after some party leaders condemned online activists as unproductive "keyboard warriors." The dispute followed online attacks on CHADEMA leaders, especially Central Committee member...
  6. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania LIVE: Dkt. Mwigulu Akihutubia Itilima

    https://www.youtube.com/live/8izDGvhF82E?si=pbg9TRphPWkO8XbD LIVE: Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Septemba 14, 2026 anazungumza na wananchi wa Itilima, Mkoani Simiyu. Dkt. Mwigulu yupo mkoani Simiyu kwa Ziara ya Kikazi.
  7. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha Sukari Rufiji kutengeneza Ajira zaidi ya 5,000

    Uwekezaji wa takribani Sh. bilioni 700 katika kiwanda cha sukari na shamba la miwa unaendelea kufungua fursa kubwa za kiuchumi kwa wananchi, huku ukizalisha ajira zaidi ya 5,000. Mradi huo unatarajiwa kuongeza uzalishaji wa sukari nchini na kwa kiasi kikubwa kupunguza nakisi ya sukari, hatua...
  8. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Azindua Mkakati Sensa 2022

    14 Septemba 2021 — Rais Samia kuzindua mkakati wa Sensa Tarehe 14 Septemba 2021, Rais Samia alizindua Mkakati wa Uelimishaji na Uhamasishaji wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 katika Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Alieleza umuhimu wa Sensa katika kupata taarifa za idadi ya watu, makazi...
  9. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania HISTORIA YA KATIBA YA TANZANIA

  10. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Wakati wa Kuwapuuza Wenye Kutafuta Trend

    Ifike mahali tuwapuuze hawa watu, kuna namna hii familia inatafuta trend na huruma. Ukute mdogo mtu kalipa watu ili waendelee kujadiliwa, si bado ana posho za ubunge
  11. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Transparency & Democracy in CHADEMA's

    The current CHADEMA discussion raises important questions about the future of political leadership in Tanzania. Whatever the outcome, transparency, evidence, and respect for democratic processes should remain central to resolving the controversy.
  12. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Simba inaendelea kudhihirisha ubora wake katika Mashindano ya CAF

    Ishi pia
  13. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Simba inaendelea kudhihirisha ubora wake katika Mashindano ya CAF

    🤣🤣🤣wana sukari muda wote
  14. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanapaswa kujifakari

    Anaandika Mwandishi wa Habari Mwandamizi, Mkazi wa Jijini Mwanza Alloyce Nyanda (Mtozi), akionesha kuunga mkono chapisho la Msanii wa Muziki wa 'HipHop' Nchini, anayeishi Nchini Marekani kwa sasa Roma Mkatoliki (ambalo tumeweka kwenye post iliyopita): "Ukisoma andiko la Roma, kama utataka...
  15. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Simba inaendelea kudhihirisha ubora wake katika Mashindano ya CAF

Back
Top Bottom