Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, leo wameshuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU) wa mradi wa Tanga Regional Energy Hub, unaojumuisha ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi (refinery) chenye thamani ya Dola za Marekani bilioni 20 (zaidi ya...
Mshauri wa Masuala ya Mazingira katika Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP)Ester Ibrahim Shemdoe, amesema mradi huo umeweka kipaumbele katika ulinzi na uhifadhi wa mazingira kwa kuzingatia sheria na viwango vya kitaifa na kimataifa vya mazingira.
Akizungumza kuhusu...
Pata elimu juu taratibu za kuasili mtoto nchini Tanzania (Child Adoption), 👶🏽sikiliza MAELEZO PODCASTS 🎙️Tunapatikana katika audio channel zote 📌
https://open.spotify.com/episode/6KZNCZnEwTcFxgCQNR0hM0?si=2BlFR_VgT2inuUbeL6U4zw&utm_source=copy-link
CHADEMA kuna fukuto la ufisadi linaendelea dhidi ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho John Heche. Hili naomba tuliweke sawa, katika siasa, hakuna kiongozi anayepaswa kupewa kinga dhidi ya maswali au kuwajibishwa kwa sababu ya umaarufu wake. Madai ya matumizi mabaya ya fedha yaliyoibuliwa dhidi...
Kabla ya Mgogoro wa chini kwa chini kati ya aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Uongozi ya Nyasa-Chadema Mchungaji Peter Msigwa dhidi ya Mwenyekiti wa Kanda hiyo wa sasa Ndugu Osmund Mbilinyi (Sugu) kutatuliwa,kumeibuka mgogoro mpya ndani ya Kanda ya Magharibi.
Mwenyekiti wa Chadema hicho...
Chama Cha Mapinduzi kimeng'oa na kuteua viongozi wengine.
■Ni maamuzi mazito kikao cha NEC Zanzibar
■Aggrey Mwanri achukua nafasi ya Mongella
■RC Chacha kushika nafasi ya Issa Haji Ussi
#KazinaUtu
#TunasongaMbele
Dkt. MABULA: Ujenzi wa ghati kwenye Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) Mkoani Tanga umezingatia uhifadhi wa mazingira ya bahari na viumbe hai
Mradi wa EACOP umejenga ghati (jetty) la urefu wa takribani kilomita 2 Chongoleani, Tanga, Tanzania.
Katika maelezo yake Dkt...
Dr. Zack
Ilemela, Mwanza.
Hivi karibuni kumezuka mjadala mkubwa mitandaoni kuhusu kukamatwa kwa watanzania mbalimbali wakihusishwa na KESI za UGAIDI katika maeneo mbalimbali ya Tanzania.
Kumekuwepo kwa nguvu kubwa kutoka kwa wanaharakati na wanasiasa wakipinga/kukosoa/kubeza na hata...
CCM ni chama imara na siku zote huwa kinapima viongozi kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya kesho, sio kwa ajili ya kelele za leo.
Kila mkutano wa Halmashauri kuu unapokaribia huwa kuna sauti nyingi zinaibuka. Kadiri mikutano mikubwa ya chama inavyokaribia, ndivyo uvumi huzidi na kuongezeka na...
Kaya 470,195 zilizokuwa masikini wa kutupwa, zaaga umasikini, zajitegemea
Watu wanaomiliki makazi bora nao waongezeka, fedha TASAF zikiongezwa
Ni mwendelezo hatua za kusaidia familia masikini hadi kwenye elimu ya juu
Elimu ya Hisa, Hati Fungani, Uwekezaji n.k. 🎙️ Sikiliza MAELEZO PODCASTS — Tupo kwenye audio channels zote 📌
Spotify: https://open.spotify.com/episode/5zCZZAV4Y6Hk5HMOGUKJ2D?si=-u-CP6feSeWM2JN-yMuHyQ&utm_source=copy-link
Apple Podcasts...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.