Recent content by Zack Abdul

  1. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania URUSI HAIJA SAHAU UKARIMU WAKE WA NYAKATI ZOTE KWA TANZANIA.🇹🇿🇷🇺

    The Diplomat Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anaelezea mapokezi ya heshima aliyopata akiwa katika ziara rasmi ya kitaifa nchini Urusi. Mapokezi aliyopewa Rais Dkt. Samia yanaakisi udugu wa miaka mingi na Taifa la Urusi. "Urusi ni mshirika wetu mkubwa...
  2. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Miaka 57 rais Samia avunja ukimya wa urusi na Tanzania

    Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania alifanya Ziara ya kwanza Nchini Urusi Oktoba 1969, kipindi hicho Urusi ikijulikana kama (Shirikisho la Umoja wa Kisovieti/USSR). Kipindi dunia ikiwa imegawanyika katika kambi mbili kuu za Vita Baridi. Tanzania ilikuwa imeanza...
  3. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu aagiza uchunguzi wa mapato ya maegesho Ifunda

    WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amemwagiza Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Iringa kufanya uchunguzi wa kina kuhusu ukusanyaji wa mapato ya maegesho katika eneo la Ifunda wilayani Iringa na kuwasilisha taarifa kamili kuhusu namna mapato hayo yalivyokuwa yakikusanywa kabla na baada ya mabadiliko ya...
  4. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Mchezo mkubwa wa nguvu June 8, 2026 mpaka June 9, 2026, Xi Jinping aelekea Pyongyang katika ziara yenye ujumbe mzito wa kimataifa kwa Korea Kaskazini

    👉 Rais wa China, Xi Jinping, anatarajiwa kutua mjini Pyongyang wiki ijayo katika ziara ambayo haitatazamwa kama tukio la kawaida la kidiplomasia, bali kama hatua yenye ujumbe mzito wa kimkakati katika siasa za kimataifa. 👉 Katika kipindi ambacho ushindani wa nguvu kati ya mataifa makubwa...
  5. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Arejea Nchini Kutoka Ziara ya Urusi

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Makamu wa Rais Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi pamoja na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius...
  6. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Ziara ya kihistoria ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini urusi 🇷🇺

  7. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia atua nchini baada ya kumaliza ziara Urusi

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amehitimisha Ziara yake ya Kitaifa ya kihistoria nchini Urusi tarehe 05 Juni 2026 na kurejea nchini leo tarehe 6 Juni, 2026.
  8. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Sera ya Kutokuwa Upande: Nguvu ya Tanzania Kimataifa

    👉 Wapo baadhi ya wanaharakati uchwara waliokuwa wakitarajia kuona Dkt. Samia Suluhu Hassan akitumia lugha kali dhidi ya Marekani katika mahojiano yake ili kuonyesha upande anaouunga mkono. 👉 Kwa mtazamo wao, walidhani njia bora ya kuimarisha uhusiano na Urusi ni kuikosoa hadharani...
  9. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Uganga Unalipa: Nimejionea Malawi!

    👉Kumbe kazi ya uganga wa kienyeji inalipa kuliko nilivyokuwa nikifikiria hapo awali. 👉Ndani ya wiki mbili pekee nimeona uhalisia wa biashara hii ulivyo. 👉Nimegundua vijana wengi wa Malawi wanatafuta utajiri wa haraka bila kutaka kupitia jasho la kazi. 👉Wengi wao wanaamini...
  10. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Rais Samia nchi Urusi ki kielelezo cha kuwa Tanzania hatupangiwi nini cha kufanya 📌

    ZIARA ya Rais Samia nchi Urusi imehitimishwa kwa kishondo sana jana baada ya Rais Putin kuongoza mkutano wa kundi kubwa sana la wafanya biashara Maneno ya Rais Putin kumshukuru Rais Samia kuchagua kutembela Urusi kama nchi yake ya kwanza kufanya hivyo mara baada ya kuapishwa kuwa Rais wa...
  11. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Ushirikiano wa ICT Tanzania-Urusi: Fursa Mpya

    Sekta ya teknolojia ya habari na mawasiliano Tanzania inakua kwa kasi ya ajabu. Uwekezaji wa Kirusi katika miundombinu ya kidijitali, setilaiti na mawasiliano unaweza kusaidia Tanzania kuharakisha mabadiliko yake ya kidijitali. Hii inafungua fursa mpya za biashara ya kidijitali kati ya nchi hizi...
  12. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Kongamano la Biashara Tanzania-Urusi St. Petersburg

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Kongamano la Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Urusi lililofanyika Jijini St. Petersburg nchini Urusi tarehe 05 Juni, 2026. Kongamano hilo limewakutanisha Wafanyabiashara, Wawekezaji pamoja na...
  13. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu: Huduma kwa Wananchi Heshima na Ufanisi

    Kuwa kwenye nafasi ni huduma, Wananchi wanapofika katika ofisi za umma wanapaswa kuhudumiwa kwa heshima, haraka na kwa ufanisi-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba 📍Isimani-Iringa 🗓️Juni 5, 2026 ——————————— Amesema hayo wakati alipozungumza katika mkutano wa hadhara na wakazi wa Isimani, Mkoani...
  14. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Jukwaa la Spief 2026 ni faida kuu kwa mustakabali wa uhuru wa kiuchumi wa Tanzania chini ya Rais Samia

    Jukwaa la Kimataifa la Uchumi la St. Petersburg (SPIEF), Mara nyingi jukwaa hili hutajwa pia kama "Davos ya Urusi" kutokana na uzito wake si mkutano wa kibiashara wa kawaida bali ni kitovu kikuu cha maamuzi ya kimkakati yanayofanywa na mataifa yenye ushawishi mkubwa kiuchumi na kijeshi duniani...
  15. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Nukuu za Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika kongamano la biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na Urusi

    NUKUU ZA MHE RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA KATIKA KONGAMANO LA BIASHARA NA UWEKEZAJI KATI YA TANZANIA NA URUSI, JIJINI PETERSBURG -URUSI, LEO JUNI 05, 2026.
Back
Top Bottom