Kaka huku kama huwezi jipambania MWENYEWE, sahau polisi kukulinda sahau, HUKO uswahilini watu wananyanganywa vitu hasa zanzibar isikie tu forodhani, DARAJANI kwisha huku kwingine kuwa MAKINI haswa
Kaka mchana SAA SITA, polisi wakienda HATA SAHII, KUULIZA wataambiwa, alafu jeshi la ulinzi hapa zanzibar doria zao mwisho mabarabarani kawaingii humu ndani
Kaka mi ni mgeni, juhudi nilizo onesha hujui tu, why Mimi mgeni unataka nifanye mkubwa? ilihali Kuna wazawa wapo hapo na wanaangalia, hakuna sheha? NASIKIA ni WATOTO wao hivo huleta UGUMU kumchukulia hatua, ila hawa vibaka mmoja alikua na tattoo usoni ana dreads rasi ana vaaga pensi na mlegezo...
Kaka hapo KILIMAHEWA BONDENI hutembei hatua kumi hija kita kundi la vijana wakivuta bangi mchana jua Kali, wakina mama wanachungulia tu masikini, nimeumia sana au huku HAMNA VIONGOZI WA ulinzi? Asee ukiishia stone town na DARAJANI UNAEZA SEMA pako shwari sogea huku kwengineko sasa
Mkuu pole sana naona ni utaratibu tu japo siamini kuwa POMBE haiuzwi mwezi ramadhan, ila haifai kuuzwa hadharani sana au ovyo, watalii MBONA wanapombeka tu kama kawa
Kwa macho yangu Leo ijumaa SAA SITA mchana mitaa ya AMANI KILIMAHEWA BONDENI chini ya msikiti, vibaka wamemtolea mtu VISU nakuchukua hela na kuondoka.
Nina muomba kiongozi mwenye dhamana ya USALAMA ZANZIBAR awajibike ziende fenda za polisi kukamata wale vijana WOTE wenye tattoo na wanao vuta...
MMMMMMH HAYA MANABII UCHWARA MBONA YAANZA KUNITISHA, LILE NABII TAPELI JUZI HAPA LILISEMA MWAKA HUU WATADONDOKA VIONGOZI WA JUU SIIJUI WA NINI, NIMESAHAU, ANYWAY TUPENDANE NDUGU ZANGU DUNIA TUNAYO IPIGANIA KWA NGUVU SI KITU,WALE TUNAO ONA HAWASTAILI KUISHI NA SISI PIA TUSIJISAHAU, UKIPIGA MTU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.