Recent content by zachariano alexido

  1. zachariano alexido

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    BADO TU NAJIULIZA VIJANA WA OKTOBA 29 WANAWASUBIRI WAKIWA NA HALI GANI? HUKO KWA MUUMBA
  2. zachariano alexido

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    MMMMMMH HAYA MANABII UCHWARA MBONA YAANZA KUNITISHA, LILE NABII TAPELI JUZI HAPA LILISEMA MWAKA HUU WATADONDOKA VIONGOZI WA JUU SIIJUI WA NINI, NIMESAHAU, ANYWAY TUPENDANE NDUGU ZANGU DUNIA TUNAYO IPIGANIA KWA NGUVU SI KITU,WALE TUNAO ONA HAWASTAILI KUISHI NA SISI PIA TUSIJISAHAU, UKIPIGA MTU...
  3. zachariano alexido

    Mume wa mtu kasomesha mdada hadi akamaliza shule. Dada kamaliza Chuo kashapata mtu wake anamkataa

    Kila SIKU nasema huku kama HUNA muda na MWANAUME usichukue chake usile hela ya MWANAUME usiempenda
  4. zachariano alexido

    TANZIA Mmiliki wa OnlyFans afariki dunia

    Hahahahaa SAWA kaka siku ukikanyaga zanzibar KAKA nistue kaka tafadhali
  5. zachariano alexido

    TANZIA Mmiliki wa OnlyFans afariki dunia

    Dah Sasa uhuru wanao uzungumziaga Yuko wapi kaka? Wamezingua sana
  6. zachariano alexido

    TANZIA Mmiliki wa OnlyFans afariki dunia

    Hapana kaka Kuna jamaa ndo nimemwambia hao wakenya bado sana, wakina Sarah jay wameshindikana, Alienda BBC kuhojiwa akaambiwa je anaweza PIGA show hapo live watu waburudike likajikoki, Mzee mtangazajo alibahaaa
  7. zachariano alexido

    TANZIA Mmiliki wa OnlyFans afariki dunia

    KAKA kapicha bac
  8. zachariano alexido

    TANZIA Mmiliki wa OnlyFans afariki dunia

    Hao WOTE ulio taja washamba TU Kuna mshangazi Sarah jay mpaka barrack Obama alozinguliwa na wife wake fa mchezo
  9. zachariano alexido

    Kuwa makini na hizo kampani zako huko mtaani!

    Muonekano wake hizo rasi cha KWANZA anapiga bangi, nguo aliyo vaa inaonesha ni msela sizani kama anakosa tattoo, mpaka hapo jamaa alidhamiria kabisa huo muonekano ni sumu KWAKE huyo ni msela, bodaboda wengi wana dili za HATARI UKIONA bodaboda ana utu kidogo nikumuomba mungu wengi vibaka...
  10. zachariano alexido

    Kuwa makini na hizo kampani zako huko mtaani!

    HATA kama sio mwanae kafara isinge kubalika mana aliambiwa atoe mwanae wa kuzaaa meja, kama ingekua simpo tu angeshika HATA mtoto mtaani, ila HUYU sio hasira ni kafara ni kama yule jamaa wa bukoba aliekula NJAMA kumuondoa mwanae albino zeruzeru
  11. zachariano alexido

    Mke wangu, Umetafuta adhabu umekosa hadi umeamua kuniadhibu hivi?

    HUYU hatofautiani na yule mhuni, aliepata msiba kibaha jamaa alianzia mbali sana mpaka kupiga simu namba haipatikani tukajua KWELI MTU kafa, utaratibu w michango unaenda kukamilika ndo ikagundulika jamaa ni mmoja yani mtoa taarifa na aliekufa ni MTU moja na kibaha aliposema HAMNA msiba wowote...
  12. zachariano alexido

    Wazoefu wa haya mambo tusaidiane hapa

    Usimuache, jitahidi umpe muda KWANZA amsahau yule wa KWANZA ila jitahidi naawe kumuandaa kiaina kama kumshikashika usiomne mzigo KWANZA alafu ye MWENYEWE atakuletea INAOMEKANA HAMNA muda mrefu bado hajakuzoea, kama HAIELEWEKI PIGA teke tembea mbeleeee
  13. zachariano alexido

    Mwanamke apewe nini ili atulie ona huyu anapewa zaidi ya 80M kila week na kununuliwa nyumba ila bado kachepuka

    KAKA kama DEMU kakupenda kakupenda tu Huwa hawabadiliki PIGA ua garagaza, na HAYA mambo ya kuingia kwa gia za show off kwenye kutongoza yatatumaliza pia tuna oa mademu za watu, ndo MANA unashauriwa OWA bikra
  14. zachariano alexido

    Sikukuu ya mwaka huu Forodhani Zanzibar imepoa sana

    Mwaka juzi na mwaka Jana, hapakua na pakukanyaga, yani ilikua balaa hupiti mpaka upenyeze ila mwaka HUU HATA sarakasi unapiga VIZURI TU je, Watu hawana hela au matamko tata ya viongozi wa dini kupishana mitazamo ya siku husika au ndo basi tu
Back
Top Bottom