MMMMMMH HAYA MANABII UCHWARA MBONA YAANZA KUNITISHA, LILE NABII TAPELI JUZI HAPA LILISEMA MWAKA HUU WATADONDOKA VIONGOZI WA JUU SIIJUI WA NINI, NIMESAHAU, ANYWAY TUPENDANE NDUGU ZANGU DUNIA TUNAYO IPIGANIA KWA NGUVU SI KITU,WALE TUNAO ONA HAWASTAILI KUISHI NA SISI PIA TUSIJISAHAU, UKIPIGA MTU...
Hapana kaka Kuna jamaa ndo nimemwambia hao wakenya bado sana, wakina Sarah jay wameshindikana,
Alienda BBC kuhojiwa akaambiwa je anaweza PIGA show hapo live watu waburudike likajikoki, Mzee mtangazajo alibahaaa
Muonekano wake hizo rasi cha KWANZA anapiga bangi, nguo aliyo vaa inaonesha ni msela sizani kama anakosa tattoo, mpaka hapo jamaa alidhamiria kabisa huo muonekano ni sumu KWAKE huyo ni msela, bodaboda wengi wana dili za HATARI UKIONA bodaboda ana utu kidogo nikumuomba mungu wengi vibaka...
HATA kama sio mwanae kafara isinge kubalika mana aliambiwa atoe mwanae wa kuzaaa meja, kama ingekua simpo tu angeshika HATA mtoto mtaani, ila HUYU sio hasira ni kafara ni kama yule jamaa wa bukoba aliekula NJAMA kumuondoa mwanae albino zeruzeru
HUYU hatofautiani na yule mhuni, aliepata msiba kibaha jamaa alianzia mbali sana mpaka kupiga simu namba haipatikani tukajua KWELI MTU kafa, utaratibu w michango unaenda kukamilika ndo ikagundulika jamaa ni mmoja yani mtoa taarifa na aliekufa ni MTU moja na kibaha aliposema HAMNA msiba wowote...
Usimuache, jitahidi umpe muda KWANZA amsahau yule wa KWANZA ila jitahidi naawe kumuandaa kiaina kama kumshikashika usiomne mzigo KWANZA alafu ye MWENYEWE atakuletea INAOMEKANA HAMNA muda mrefu bado hajakuzoea, kama HAIELEWEKI PIGA teke tembea mbeleeee
KAKA kama DEMU kakupenda kakupenda tu Huwa hawabadiliki PIGA ua garagaza, na HAYA mambo ya kuingia kwa gia za show off kwenye kutongoza yatatumaliza pia tuna oa mademu za watu, ndo MANA unashauriwa OWA bikra
Mwaka juzi na mwaka Jana, hapakua na pakukanyaga, yani ilikua balaa hupiti mpaka upenyeze ila mwaka HUU HATA sarakasi unapiga VIZURI TU je,
Watu hawana hela au matamko tata ya viongozi wa dini kupishana mitazamo ya siku husika au ndo basi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.