Hata kama angezidi miaka 20 ni kosa kuishi nae kinyumba bila ndoa! Lakini kwa huyu wa miaka 16 mimi sishangai kwa sababu siku hizi watoto wa kike wenyewe ndio wanao jipendekeza kwa wanaume. Mifano tunayo tuko nao huku mitaani.
Wananchi wa Tanzania kama hatutaingiwa na roho kama zile za wamisri, tutaishia kulalamika hivihivi........ Na huyu Ponda nae serikali ilikosea sana kumwachia huru!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.