Mkuu
Ni urasimu tu usiokuwa na mipaka
kwa mfano kila kitu kipo online lakini mtu kupitisha ni issue
TRA ni Taasisi inayoongoza kwa urasimu huu, bila kitu kidogo kazi yako inalala
Mtf panahitaji maboresho makubwa, rushwa inaombwa bila kupepesa macho.
Mkuu
Kwa sasa Ari siyo kabisa
Biashara nyingi zinafungwa sababu tu labda mhuska Anadaiwa kodi.
Mfano; CCM ilala imewafungia wapangaji wao milango yao ya biashara. Kumfungia mtu biashara na kutaifisha mali zao siyo suruhu.
Mbwa kala mbwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.