TRA mnarudia kosa lile lile

TRA mnarudia kosa lile lile

Halafu ndio wanataka watu wajiajiri kwa utitiri huu wa kodi.
Bado hela ya taka 5k, ulinzi 5k, leseni ya TRA.
Kuzaliwa Tz ni kilio
Kodi ni upuuzi.

Kila pesa inayotoka kwenye biashara kama kodi lazima irudi.Huwa sikubaliani na upuuzi wa kodi.

Sali sala hii kimoyo moyo kabla ya kulipa kodi kwa mtoza ushuru

"Ee Mwenyezi-Mungu mtoza ushuru ananilazimisha kutoa pesa ya kodi lakini moyo wangu haupo katika kutoa pesa hii maana ni jasho langu na sio jasho la mtoza ushuru.Naomba Mwenyezi-Mungu unirudishie pesa hii kwenye biashara yangu kwa njia unazozijua wewe.Amina."

Mwenyezi-Mungu huwa anawajibu hawa wapuuzi watoza ushuru.
 
kuna zoezi la kukusanya kodi madukani linaendelea uratibu uonaotumika ni kuvamia maduka ya watu na kuchukua vitu imepelekea baadhi ya maofisa kupigwa maeneo ya kivule, ni utaratibu gani huu jamani elimu ya kodi inatakiwa..... kwa sasa maduka yote yamefungwa nimemuuliza mfanyabiashara mmoja kwanini umefunga akasema hana leseni nikamuuliza leseni ya biashara au leseni ipi? akasema hajui kifupi maeneo ya kivule jana ilikuwa ni fujo tupu na ikumbukwe huku wanaishi wakurya tujiandae kusikia lolote
Nimesoma huu uzi na nilichogundua kuwa ni halmashauri ndiyo waliopita huko. tra wao hawatoi liseni ni halmashauri ndiyo wanatoa na pia hata sheria ya kuchukua vitu tra hawana utaratibu huo.ukipita hata maeneo ya mjini samora mara nyingi sana utaona wauza nguo au viatu au mabegi wananyan'ganywa vitu vyao na watu wanaosadikika ni mgambo wa halmashauri. hivo inaonekana hata huko kivule itakuwa ni hao hao
 
Bahati nzuri wafanyabiashara wengi wanafahamu kabisa hawana leseni na vibari vingine vya kufanya biashara.

Hakuna haja ya kuwatetea, kama Sheria zipo zifuatwe na kama hatuzitaki hizo Sheria basi tuziondoe.

TRA Huwa wanapita na gari wanatangaza kuhusu mambo mbalimbali yanayohusu biashara, ila wengi wanapuuza wanasubiri kufatwa walipie kwa nguvu.

TRA kamateni hao wajinga kama hawataki kufanya biashara kwa mujibu wa Sheria, ifike mahali tuache kuchekeana kuhusu kufata taratibu.
uko sahihi ila subiri adhurike mtu tuanze kuombana msamaha
 
Wawe wastaarabu watoe elimu umuhimu wa kuwa na leseni
 
Mkuu
Kwa sasa Ari siyo kabisa

Biashara nyingi zinafungwa sababu tu labda mhuska Anadaiwa kodi.

Mfano; CCM ilala imewafungia wapangaji wao milango yao ya biashara. Kumfungia mtu biashara na kutaifisha mali zao siyo suruhu.

Mbwa kala mbwa!
 
kuna zoezi la kukusanya kodi madukani linaendelea uratibu uonaotumika ni kuvamia maduka ya watu na kuchukua vitu imepelekea baadhi ya maofisa kupigwa maeneo ya kivule, ni utaratibu gani huu jamani elimu ya kodi inatakiwa..... kwa sasa maduka yote yamefungwa nimemuuliza mfanyabiashara mmoja kwanini umefunga akasema hana leseni nikamuuliza leseni ya biashara au leseni ipi? akasema hajui kifupi maeneo ya kivule jana ilikuwa ni fujo tupu na ikumbukwe huku wanaishi wakurya tujiandae kusikia lolote
TRA: Wanakusanya kodi za serikali.
HALIMASHAURI YA JIJI: Wanakatisha leseni za biashara na kukusanya kodi ya huduma. Kama kunamtu mzima anayejifanya hajui utendaji wa haya makundi mawili atakuwa ni mkwepa kodi mzoefu.
TRA hawahusiki kwenye tukio hilo.
 
Nadhani hao ni watu wa manispaa kitengo Cha biashara, wana mambo ya kidwazi sana. Huku kwetu wamepita hata kama wamekuta frem imefingwa na wao wanaweka kufulia lao. Kuna fremu toka zimejemgwa hazijawahi kufanya kazi ila wao walipofika wameweka kufuli kwa kuhisi wahusika wamekimbia.
 
Nadhani hao ni watu wa manispaa kitengo Cha biashara, wana mambo ya kidwazi sana. Huku kwetu wamepita hata kama wamekuta frem imefingwa na wao wanaweka kufulia lao. Kuna fremu toka zimejemgwa hazijawahi kufanya kazi ila wao walipofika wameweka kufuli kwa kuhisi wahusika wamekimbia.
kweli hata wale wa tegeta walikuwa jiji aisee
 
Hii nchi mtu akishakua na cheo hata ujumbe wa mtaa anafanya anavyojisikia sababu anajua hakuna kitu wananchi watamfanya.
Jirani ana saloon ya kiume walimchukulia mashine za kunyolea na kiti.
😂😂😂😂
 
Veta inakupa ujuzi uache ubishi. Kisha utaenda halmashauri upewe hio elimu.
Unapulizwa na upepo wa veta Numbisa.

Mimi nilijifunza ujuzi wa kufanya biashara miaka minne iliyopita kutoka kwenye chuo kikuu kinachoitwa mtaa.I'm street-smart.

Sina uhitaji wa kwenda veta.

By the way, pendezo ulilosema hao wapuuzi watumie ustaarabu ni pendekezo zuri.
 
Mimi ni mhanga wa hao watu😂
Juzi walichukua vitu dukani wakaondoka navyo, jana nikafatilia wakasema hawanipi mpaka nitoe faini 100k, service levy 30k nikate na leseni 150k

Nilichogundua wanataka rushwa halafu wana lugha chafu sanaa.
Leo nikalipia service levy na leseni nikapewa vitu vyangu.

Vitu vikikaa kwa siku 7 wanavitahifisha.
Walikuomba kiasi gani ya usumbufu mkuu😀😀
 
Back
Top Bottom