Recent content by Zabury

  1. Z

    Necta na matokeo chakachuzi

    Hii serikali kuna vchaa kabsa.
  2. Z

    Jinsi ya kumjua msichana mwenye mapenzi ya kweli,nisaidieni jaman.

    Habari zenu wapendwa mie nilikuwa naomba mnisaidie jinsi ya kumjua msichana mwenye mapenzi ya kweli.
  3. Z

    Necta mböna wapo kimya sana kuhusu csee 2011 results

    Kama ni hvyo basi itakuwa vyema zaid tena sana.
  4. Z

    Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo rasmi

    Safi saaaaaaaaana,mbona wabunge wao walickilizwa na wakati madaktari ndio muhmu sana tena sana sasa nashangaa wao hawackilizwi.why?
  5. Z

    Matokeo ya kidato cha nne 2011 ya natoka lini?

    E bwana eh!datz true men,wale waliokuwa wanakesha katka kusoma 2likuwa 2nawacheka ona sasa wao sahv wanasoma pre-form v.dah!mackn we,kwel ng'ombe wa masikini hazai.
  6. Z

    Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

    Vipi mwanza ni maeneo gani wapo hawa jamaa? Hivi ukiwa na miaka 17 unaweza ukajiunga na hawa jamaa? Vipi ukiwa huna baba wala mama wa kumtoa kafara?
  7. Z

    Nikweli masister du hawapendi watu wajue kama wana watoto?

    Mbona hilo wengi ndo wanafanya hivyo yan wanaficha kama wana watoto
  8. Z

    Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba mwaka 2008

    Mimi naona ni tatizo la viongozi wale wa juu hasa maghembe
Back
Top Bottom