Recent content by Z kali

  1. Z kali

    JamiiForums Tanzania Sakata la mzize na wakala wake Jasmine

    hilo ndo SAKATA LA Mzize na wakala wake Jasmine!?
  2. Z kali

    JamiiForums Tanzania Kwa listi hii, Liwaka anachukua asubuhi na mapema Nachingwea

    VP yule aliekuwa mkuu wa wilaya ? Mwanza?
  3. Z kali

    JamiiForums Tanzania Watumishi wanasema hongera Mama, Jambo lao la July Wameliona. Watakulipa fadhila Oktoba

    Mnyonge mnyongeni...
  4. Z kali

    JamiiForums Tanzania Nifanyeje? Mpangaji mwenzangu amekuwa ombaomba sana mpaka kero

    Vp ni watu kutoka makao makuu ya nchi!? Siku ya sita pia sema SINA, Over!
  5. Z kali

    JamiiForums Tanzania Nilitarajia Polepole aweke hadharani ukweli juu ya kifo cha hayati Magufuli

    "Kesho tusilaumiane" Mkwala ulikuwa mkubwa kuliko press yenyewe
  6. Z kali

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Huko Morogoro walimu wakataa kazi ya usimamizi uchaguzi mkuu

    Walimu wa Morogoro! Mhh!!
  7. Z kali

    JamiiForums Tanzania Haya ndio niliyoyaona Chanika - Dar es Salaam

    Sasa kosa la Chanika ni kuwa Daresalaam au? Labda ni picha uliyokuwa nayo kichwani kabla ya kufika Dar, zile picha unazozionaga kwny tv ni posta
  8. Z kali

    JamiiForums Tanzania Rafiki yetu Cheda: Alivyopotezwa na itikadi kali ya Dini

    Daah! Umenikumbusha rafiki zangu wa utotoni, wamepotea kwny mazingira kama hayo, hatujui kama huko waliko wapo hai au laa! Mara wapo Kongo, mara Msumbiji, wengine wanasema baadhi walikufa Kule Mtwara mpakani, familia zao zimebaki wapweke, baadhi yao waliacha wake na watoto, inasikitisha sana...
  9. Z kali

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi wa Comoro wapo serious kweli ndio nini hiki kumdhalilisha Rais wetu?

    Ahahaah! Hii ni uongo bhanaa
  10. Z kali

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nichukue hatua zipi Kwa Mwanamke niliyemtumia nauli Hadi Leo hajafika

    Si amesema ongeza 25 aje? Jimalize jombaa, kwan bei gan?
  11. Z kali

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi Shemeji yangu (Rafiki wa Ex wangu) alivyoniambukiza Gono na UTI sugu

    Ivi kwann mwanamke anaweza kutembea na haya magonjwa (Gono na UTI,) na asijue na wala asipate dalili na akaendelea kuambukiza wengine (wanaume) bila yeye kujitambua?
  12. Z kali

    JamiiForums Tanzania Kama takwimu zinadai tunaongoza kwa kupokea Watalii inakuwaje TANAPA na NGORONGORO hawajaongoza katika kutoa Gawio kwa Serikali?

    "Tanzania tunaongoza kwa kupokea watalii" Tunaongoza dhidi ya nani? Ufafanuzi tafadhali
  13. Z kali

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi nimebambikiziwa mimba

    Kwenda kusign kwa balozi! Unamaanisha kwa sasa hutohusika na huduma zozote mpaka ajifungue na isibitike mtoto ni wako ndo ulipie gharama zote za kipindi akiwa mjamzito sio? Kama ndivo iko vizuri hyo, tatzo DNA zetu Bongo ni nadra kutoa majibu ya "mtoto sio wako" #Mondi shahidi
Back
Top Bottom