Ila Watanzania kwa kukurupuka hatuna baya kitu si kitu utaskia “Ndio maana Gaza wanauliwa” Unaweza kutoa ushahidi walau wa maneno yanayo onyesha gaza wakiuliwa huku saudia wakishangilia?!
Jitahidi kuzuia hasira na jazba, coz siku nyingine unaweza mtuhumu mtu wa nje ya family yako na ukajenga uhasama.
Tafuta siku ambayo kijana yuko happy muite then muombe msamaha kwa maneno ya hekima na umpe ushauri asije fanya kwa wengine kama wewe ulivyo mfanyia.
Nashkuru sana kwa ushauri wako.
1.Kuwa winga ni jambo zuri na linakwamua watu kiuchumi but ni process kdg sio simple as how you explained. Eg; kujenga uaminifu n.k (Me nahitaji walau niwe nimefanikisha ndani ya hzi week mbili) Ndy masuala mengne yatafuata.
2. Hapana siwezi kukopa kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.