Kuna wakati watu wasijitoe fahamu...leo ndo Lowassa anakuwa hafai x ngapi kawasaidia ktk harambee zao hao waislam...hata mm wazazi wng ni waislam n ndg wote lkn kwa hili hawamuungi mkono huyu shekhe...kila mtu anazo ndoto zake...maneno ya mshenga sio ya leo alisema miaka 3 nyuma...hizi ni dalili...
Ni vzr watu mkijadiliana kwa hoja...hata kuwaita watu wapumbavu c sawa mana hao pia ni watz...kwa maana nyngn hata wa ccm n wapumbavu kuendelea kuipa nafs ccm wakt hkn kilichofanya.. ukimtukana baba yng kisa yupo ukawa umenitukana n mm pia ambaye nipo ccm...kweli ukitaka kujua tabia ya mtu...
Ukiona mtu hajielewi hadi anakopi usemi eti na wao ushindi ni asbh...hahahaaaaaa....ajaribu ile iyena iyena yake atasoma no...mnafki mpe muda tuuu ataumbuka...dawa yao hawa tuombe kuendelea kueavurugia usemi waseelewane...huyu akisema kidumu...mwngn people'ssssssss...ikifika uchaguzi utawaona...
Kuna wakati ukimuona mlevi anapepesuka mpishe mana ukimgusa akianguka atasema kasukumwa...wapisheni wasipate cha kusema...anawadanganya wazee co vjana...lkn hata Farao alifungwa akili akawa na moyo mgumu ili aangamie
Ila mpelekeni polepole kama alivyo kaka yake polepole na makonda...anataka kuhama ila ss chama ndo kilimleta mjini...alikuja na mbio za mwenge akabaki anashindwa kukisaliti chama...ccm itawaua wng...
Jamani kuna watu siasa hawaijui wanadandia tuuu...Mnyika kapewa kibibi kimoja kinaitwa Fenera Mukandara...ni kama anasukuma mlevi...ukikomaa kisiasa unapisha jimbo unasongesha majeshi ya ukombozi mbele...ila lzm tujue pia wanaoipigia ccm chapuo co watu mtaumiza vichwa bureeee
Kuna wazazi wanakosa majina ya kuwapa watt wao...eti polipoli...mjini kafuata nn...huyo ni mnafik...ktk quran alama za mtu mnafiki ni 3 huyu anazo zote....pia watu kama hawa mafarisayo msiwashangae biblia imewaeleza hawa...so hasumbui mtu mpuuuzi huyu
Asante sana...binafsi nilizima tv...ckuwahi kuwaza kama atakuwa hv pole2...ila hawa wapo toka zama za mitume...huyu ni sawa na Makonda na Nape wote hovyo tuuu....sorry
Hodiii...kama mgeni wa ukumbi huuu niombe tuuu kuchangia...kama lilivyo jina lake polepole...basi mpeni muda polepole atabadilika...amejisahau kwa hela aliyolipwa kuandaa katiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.