Mkutano wa berlin ulifanyika siku ya jumapili 15/ November /1884 hadi febuary 1885.
Mkutano huu ulijumuisha wajumbe wa nchi 14 za ulaya na wajumbe kutoka USA.
Mkutano huu uliitishwa na aliekua kansela wa ujerumani wa wakati huo chncl Olto von Bismark na ulifanyika katika jiji la berlin nchini...
Wakati umefika kwa Afrika Mashariki kuwa eneo imara katika bara la Afrika.
Baada ya kuwepo kwa soko la pamoja , uhuru wa forodha sasa tunatarajia kutumia fedha ya pamoja ambapo baadae tunategemea shirikisho la Afrika Mashariki.
Kuchelewa kwa kufikia Afrika Mashariki kuwa na shirikisho tayari...
Dola dogo kama rwanda si vzr kufata sera ya marekani ya " kujiimarisha kwa kudhoofisha wengine " tena mbaya zaidi kagame anatumia sera hio kwa jirani zake .
Na kama kagame anataka rwanda na burundi ziwe moja na waungane na tz
Habari zenu wadau , kwa pamoja naomba tujadili uendeshaji mzima wa taasisi za kiraia
( jumuiya zisizo za kiserikali) . Hapa nataka tujifunze mambo mbali mbali kuhusu taasisi hizo na tupate uzoefu wa kuziendesha.
Kama upo katika taasisi fulani nataka utujuze miradi yenu , mafanikio na...
Zanzibar ni nchi ilio na internal sovereighnty . Ktk muungn zanzibar imepoteza external sovereighnty.
Nahis wanacho fanya fifa ni ukoloni mamboleo na kutaka kutugombanisha wa Tanzania.
Scotland ni sw sw na zanziba mbn wao wamewakubl na kuwa wanachama wa fifa?
Scotland ipo ktk muungano na england...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.