Cha msingi tu kuwa na subira na uvumilivu Mungu anatoa kwa wakati na wala haujachelewa endelea kuomba kazi na ipo siku utakuja kufuta haya maelezo yako.Mimi nilikuwa mhanga kama wewe ila wakati ukipofika nilipata na sijawahi kuwa na connection na mtu yoyote wala sijawahi kuwa na ndugu anafanya...
Kama chuo mlienda kukariri kwa ajili ya mitihani ndo tatizo lilipoanzia......mambo yanaulizwa ya kawaida sana sema tunakosa mbinu tu kwenye kujibu lakini pia time management
Ednapo kwenye tangazo wamesema hivyo ni lazima....ila kama kwenye Tangazo haikusemwa hivyo sio lazima so depend na mwajiri anataka nini.....but ni salama zaidi kuweka certified.
Habari wakuu eti Wenye kufahamu huu mchongo ulipoishia au waliajiri kimya kimys?
Kumb. Na. CDC/05/20/89
Halmashauri ya wilaya ya Chato kupitia shirika la MDH Inawatangazia nafasi za kazi ya mkataba kwa watumishi wapatao 10 ambao watafanya kazi ya Clinical Trackers. Mkurugenzi Mtendaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.