Ajira za Wizara ya Afya

Nobrain

JF-Expert Member
Feb 26, 2020
248
691
Hello, kwenye hizi ajira za Wizara ya Afya Kila Nikijaribu ku apply inanambia
"Please fill the following information: Required Attachment in attachment section"


Kila kitu nimeatach Vzur. Tatizo litakuwa nini?
Picsart_23-12-08_11-58-54-628.jpg
 
Yaa mia mbili themanini na tisa kama sikosei
Duuuh!! Hizi sikuziona Mkuu...
Au ndo zitakuwa zike za ajira ya Moja Kwa amoja Serikalini.


Kwani wao pia hawajaitwa hata mmoja??? Wale nadhani wanafanyia Tu placement ya kituo cha kazi
 
Duuuh!! Hizi sikuziona Mkuu...
Au ndo zitakuwa zike za ajira ya Moja Kwa amoja Serikalini.


Kwani wao pia hawajaitwa hata mmoja??? Wale nadhani wanafanyia Tu placement ya kituo cha kazi
Yap ni zile za placement tu hazina interview, ila mpaka Sasa hawajatoa majina
 
Yap ni zile za placement tu hazina interview, ila mpaka Sasa hawajatoa majina
Labda tuendelee kusubiri tu mkuu.

Me nasubiria zile za Global Fund. Naona kimya kila siku napita kwenye website yao.


Hivi na Wale manes walioambiwa waombe waende uarabuni... nao bado?
 
Labda tuendelee kusubiri tu mkuu.

Me nasubiria zile za Global Fund. Naona kimya kila siku napita kwenye website yao.


Hivi na Wale manes walioambiwa waombe waende uarabuni... nao bado?
Zile za manesi wanaomba kupitia wizara ya Kazi, wizara ya afya walipitisha tangazo tu Sasa sijajua kama washachukuliwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom