Kagua tena mara mbili na jaribu baadayeHello, kwenye hizi ajira za Wizara ya Afya Kila Nikijaribu ku apply inanambia
"Please fill the following information: Required Attachment in attachment section"
Kila kitu nimeatach Vzur. Tatizo litakuwa nini?
View attachment 2836331
Netiweki hiyo ,,rudia mara kwa mara itakubali tu,, pia angalia viambatanisho vyako mfano vyeti vyako weka.kwa mfumo wa PDFHello, kwenye hizi ajira za Wizara ya Afya Kila Nikijaribu ku apply inanambia
"Please fill the following information: Required Attachment in attachment section"
Kila kitu nimeatach Vzur. Tatizo litakuwa nini?
View attachment 2836331
Hivi hizi nafasi hawajaita Interview??Nani kafanikiwa kutuma?
Mtandao naona unazingua
Na wanaita kwa njia gani? Kupitia website ya Wizara au Utumishi?Hivi hizi nafasi hawajaita Interview??
Daaah, na mimi nasubiri kusikia Majibu. Naona Kimyaa..Mwenye taarifa jamani hizo ajira za global fund interview wameshaitwa ?
Wanaita Kupitia Website ya Wizara mkuu. UTUMUSHI hawahusiki... maana ni ajira ya mkataba kupitia GLOBAL FUNDNa wanaita kwa njia gani? Kupitia website ya Wizara au Utumishi?
Mwezi wa 10, kuna ajira walitangaza??Wamekaa kimya kuanzia ajira za mwezi wa kumi
Duuuh!! Hizi sikuziona Mkuu...Yaa mia mbili themanini na tisa kama sikosei
Yap ni zile za placement tu hazina interview, ila mpaka Sasa hawajatoa majinaDuuuh!! Hizi sikuziona Mkuu...
Au ndo zitakuwa zike za ajira ya Moja Kwa amoja Serikalini.
Kwani wao pia hawajaitwa hata mmoja??? Wale nadhani wanafanyia Tu placement ya kituo cha kazi
Labda tuendelee kusubiri tu mkuu.Yap ni zile za placement tu hazina interview, ila mpaka Sasa hawajatoa majina
Zile za manesi wanaomba kupitia wizara ya Kazi, wizara ya afya walipitisha tangazo tu Sasa sijajua kama washachukuliwaLabda tuendelee kusubiri tu mkuu.
Me nasubiria zile za Global Fund. Naona kimya kila siku napita kwenye website yao.
Hivi na Wale manes walioambiwa waombe waende uarabuni... nao bado?