Recent content by yumoki

  1. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba (mwanamke)

    Pia mimi ni wa kiume
  2. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba (mwanamke)

    Mim ni kijana ambaye natafuta mchumba. Sifa kuu za mchumba ninayemtafuta; 1) Awe muislamu. 2) Awe serious. 3) Asizid miaka 35. Mimi sasa sifa zangu; 1) Kwasasa najishughulisha na biashara. 2) Mweusi. 3) 33 ndio umri wangu. Karibuni tujenge familia ili mwaka 2023 tuanze vyema.
  3. Y

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Kiukweli inasikitisha kwani hata miminaona watu kibao tofaut na walimu mfano manesi wamejaa ,manwana shamba wengiiiiiii hatari tena wengine ni watu wazima kabisa
  4. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wenzangu, kabla ya kuamua kuingia ndoani fanya kama mimi

    Hii mbinu ni nzuri ila kwa wanawake wa sasa kupata utachukua muda sana maana wanawake wengi wako hivyo hata mimi nimetumia mbinu hii kiukweli wanawake wengi unapowanyima pesa hawaineshi upendo ila njia hii ndio njia sahihi kabisa yani kama unataka mke lazima ujiridhishe isiwe anataka pesa zako...
  5. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Asalam aleikum

    Inshaalah ukapate mke ambae anaijua dini watoto wa kiislamu ni wengi na imani utampata mmoja wapo
  6. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania My future husband

    Unapenda kusafir umekuwa gari halafu mtajengaje maisha kwa mtindo huo wa kusafiri safir[emoji28][emoji28][emoji28]
  7. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vipimo 3 vibovu wadada tunavyotumia kupima upendo na usiriasi wa mwanaume

    Kabla yangu mimi alikuwa anaishi vipi maana kabla yangu mimi alikuwa na maisha yake sasa asibadilishe maisha kwasababu kanipata asifanye hivyona pia kama atakiwa anategemea wanaume kwahiyo hawez huyo msichana hata siku moja kuwa single maana akiwa single atakosa wa kumuhudumia ushauri wangu...
  8. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vipimo 3 vibovu wadada tunavyotumia kupima upendo na usiriasi wa mwanaume

    Hiii nimeipenda sana huu ushauri ni mzuri kama msichana unahitaji kuolewa ila kama hauhitaji kuolewa basi endelea kuwa omba omba wa pesa
  9. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke muislam

    Asante kwa ushauri inshalaah
  10. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke muislam

    Kama kawaida sijapata mchumba ambaye siku moja atakuwa mke kiukweli nakuhitaji uje tujenge maisha sifa zangumimi 1)Mtumishi wa serikali na hapo mama kesha fanya jambo hapo lake 2)mrefu kiasi Ninaemuhita awe na sifa zifuatazo 1)Awe mtoto wa kiislamu 2)Mkoa wowote 3)Awe mweupe 4)Elimu sio muhimu...
  11. Y

    JamiiForums Tanzania Kwa sasa, mita nyingi za Luku zinaondolewa Tariff Zero

    Vipi wameshakutoa au bado
  12. Y

    JamiiForums Tanzania Kurisiti necta, form 4

    Unaenda kituo ambacho kinaruhusu kurudia mtihani iwe center ya kufanyia mtihani au secondary kikubwa kituo hicho kiwe kimeidhinishwa na BARAZA LA MTIHANI baada ya hapo utaomba refference namba ila katika hivi vituo huwa kuna malipo na malipo yanatofautiana kulingana na kituo chenyewe yaani kituo...
  13. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada tafadhali mpenzi wangu simuelewi

    comment kama hii nilikuwa naitafuta siku nyingi wewe hupendi kufanya mapenzi ila unapenda kila siku nikusaidie je wewe nafaidika na nini kwenye nahusiano yangu na wewe maana utelezi hunipi na bado unaniambia tusubiri wakati mimi kila siku unaniomba hela kama kufanya ngono unaona tusubir basi na...
  14. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni mbinu gani unatumia kubalance shobo kwa mpenzi wako?

    [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]umeongea point kubwa sana ,point taken
Back
Top Bottom