Msaada tafadhali mpenzi wangu simuelewi

Msaada tafadhali mpenzi wangu simuelewi

Habari za wakati huu wakuu ,moja kwa moja niende kwenye jambo linalontatiza, nina mpenzi wangu mwanachuo kila ikikaribia likizo arudi kwao ataki tufanye mapenzi kwa sababu ambazo binafsi sidhani kama huwa ipo ivo .

Ananiambia hawezi/hataki kwa sababu akifanya mapenzi siku mbili kabla ya kwenda kwao akifika mama yake atajua kilichofanyika .

Sijui kama kuna ukweli juu ya hili wakuu au ndio napigwa chenga ya mwili.?? Nifanyaje kuibadilisha hii hali nmeshajaribu kumuelewesha bado hanielewi..nifanyaje wakuu???

Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
sasa sisi tufanyaje??
 
Kwani lazma hiyo kitu mm mnaniudhi wanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
comment kama hii nilikuwa naitafuta siku nyingi wewe hupendi kufanya mapenzi ila unapenda kila siku nikusaidie je wewe nafaidika na nini kwenye nahusiano yangu na wewe maana utelezi hunipi na bado unaniambia tusubiri wakati mimi kila siku unaniomba hela kama kufanya ngono unaona tusubir basi na swala la pesa lisubirhapo vipi mdada
 
Ukiona mbwa wako anakubwekea sana basi ujue kuna jirani anamlisha vizuri
 
Back
Top Bottom