Recent content by Yumbayumba

  1. Yumbayumba

    Nataka kununua kiwanja Zanzibar

    Huku makunduchi vipo viwanja
  2. Yumbayumba

    Mbowe anapigiwa saluti kama nani? Kwani akipigiwa saluti ndio CHADEMA mnapaishwa kisiasa?

    Afisa mtendaji anapigwa saluti na askari wa jeshi gani? Saluti hazipigwi hovyo, kuna watu maalumu wa kupigiwa saluti
  3. Yumbayumba

    Mbowe anapigiwa saluti kama nani? Kwani akipigiwa saluti ndio CHADEMA mnapaishwa kisiasa?

    We nae huna unalolijua, unajifanya mjuaji kumbe huna lolote eti picha imeeditiwa. Inamaana huoni hapo huyo askari anapiga saluti huku anatembea? Kama mtu anatembea unataka miguu iwe vipi
  4. Yumbayumba

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Group lilikufa wakuu
  5. Yumbayumba

    Nataka kumiliki bastola, nipeni muongozo nawezaje kufanikisha hili

    Kama hujui, serikali za mtaa na wilayani ni kugumu. Maana hao ndio wanakujua vzr wakikupitisha hapo huko mbele sio kugumu Hata kama watu wa serikali za mtaa ni rafiki zako ikifika ishu ya silaha mambo hayatokuwa rahisi kama unavyofikiria
  6. Yumbayumba

    Nataka kumiliki bastola, nipeni muongozo nawezaje kufanikisha hili

    Ww umepotosha kuwa akienda polisi atapata silaha, nimekwambia polisi unanda ukiwa kwenye process za kupata kibali Polisi hawauzi silaha wala hata hizo wanazorudisha watu hupewi. Silaha zinauzwa madukani kama unavyoona pikipiki ishu ni kibali maana huuziwi hadi uwe na kibali Sasa kama unaona...
  7. Yumbayumba

    Nataka kumiliki bastola, nipeni muongozo nawezaje kufanikisha hili

    Mambo mengine utayajua mbele ya safari, ukishanunua itasajiliwa na huko ndio utapewa maelekezo mengine
  8. Yumbayumba

    Nataka kumiliki bastola, nipeni muongozo nawezaje kufanikisha hili

    Nenda duka wanalouza silaha utakuta silaha tofauti tofauti watajibu maswali yako yote utatajiwa bei zake na uwezo, sifa na tabia za kila silaha Humu huwezi kupata jibu unalotaka
  9. Yumbayumba

    Nataka kumiliki bastola, nipeni muongozo nawezaje kufanikisha hili

    Hata wilayani anaweza asifike, anaweza akakwama serikali za mtaa tu maana wao ndio wanamjua vzr hadi tabia zake Wanajua akilewa anakuaje, na wanajua hadi sababu ya kutaka kumiliki silaha sasa hv ni nini ukitoboa hapo huko mbele sio kazi sn
  10. Yumbayumba

    Nataka kumiliki bastola, nipeni muongozo nawezaje kufanikisha hili

    Sasa mbona ulisema wengine huzurudisha itakuwa rahisi yeye kupata? Hizo process zote ni zakupata kibali cha kumiliki silaha
  11. Yumbayumba

    Nataka kumiliki bastola, nipeni muongozo nawezaje kufanikisha hili

    Kwanza unatakiwa uwe na akili timamu, Nenda polisi kituo kikubwa utapewa fomu ya kuomba kibali cha kumiliki silaha Hiyo fomu itajwa na watakujadili kama unafaa kumiliki silaha [emoji1314]utaanzia serikali za mtaa [emoji1314]kata [emoji1314]wilaya [emoji1314]mkoani Huko kote watakujadili kwenye...
  12. Yumbayumba

    Nataka kumiliki bastola, nipeni muongozo nawezaje kufanikisha hili

    Polisi hawauzi silaha, silaha zinauzwa madukani unaenda kununua mwenyewe unachopewa ni kibali cha kumiliki silaha
  13. Yumbayumba

    JKT ulipiga kambi gani? Karibu tukumbushane

    Sijui kwann uwa sizipendi sn story za makambini sijui depo mara afande flan sijui alifanyaje Hata nikikutana na rafiki yangu nilihenya nae akianza story hizo unamkumbuka flan namwambia achana na habari hizo
  14. Yumbayumba

    Natafuta Gypsum board za Thailand

    Zipo vetenari
Back
Top Bottom